Sunday, July 28, 2013

RAIS KIKWETE AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI KAGERA
 NI KATIKA ZIARA YA UZINDUZI WA MIRADI MBALIMBALI
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Kagoma-Lusahunga katika wilayani Biharamulo
Rais Jakaya Kikwete akikat utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Kagoma -Lusaunga katika Wilaya ya Biharamulo
Rais Kikwete akishiriki kupiga ngoma na kikundi cha utamaduni cha Ngara wakati wa uzinduzi wa kivuko cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo wilayani Ngara
Rais Jakaya Kikwete akishiriki  kupiga  ngoma  kuzindua  ujenzi wa kivuko cha Mv. Ruvuvu  katika mto Rusumo 
Rais Kikwete akisimikwa kuwa chifu wa Wahaya na kukakabidhiwa mgolole na silaha za jadi za Wahaya katika sherehe ya kuzindua wilaya mpya ya Kyerwa (1)
Rais Jakaya Kikwete akivikwa vazi al heshima kuashiria kusimikwa kwake kuwa Chifu wa Wahaya

No comments:

Post a Comment