Wednesday, July 31, 2013

PAPA FRANCIS ALIA NA MTOTO WA BRAZIL AMBAYE ANAPENDA KUWA KUHANI.

Huko Rio de Janeiro, Brazil, Nathan de Brito ambaye ni mtoto mdogo amfanya Papa Francis kutoa machozi baada ya kumwambia kuwa atapenda kuja kuwa kuhani.
                 
                 Papa Francis akidhihirisha, kilio na Nathan wakati wa WYD
"mimi nataka kuwa kuhani wa Kristo, mwakilishi wa Kristo,"mtoto huyo aitwaye de Brito ambaye  alimtia wasiwasi katika masikio ya Papa Francis, baada ya kuruka vikwazo na kufanya njia yake ya kupenda kuwa kuhani katika taifa lake la  Brazil.
"Mimi naenda kuomba kwa ajili yenu, lakini ninawaomba kuomba kwa ajili yangu," Papa Francis alijibu, wakiongozwa na machozi na kuaganana naye.

Imewekwa na Happy Adam


No comments:

Post a Comment