Vikundi vilivyoongoza watu katika kumsifu Mungu ni pamoja na The Next level, Neema Gospel Choir (N.G.C) kutoka AIC Chang'ombe ambao uimbaji wao umebadilika sana kutokea upigaji hadi uimbaji kwa ujumla na kubariki wengi waliohudhuria kanisani hapo, pia kulikuwa na vikundi vingine vingi ambavyo vilifanyika baraka kwa mamia ya waliofika katika usiku huo wa kuabudu.
Habari picha na Gospel Kitaa
No comments:
Post a Comment