JUBILII YA MIAKA 50 YA
KANISA
LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA
21-24 JUNI, 2013
CHUO KIKUU CHA
TUMAINI MAKUMIRA
Alisema Juni 22 litakuwepo kongamano ambapo mada tano zitajadiliwa kuhusu kazi za Kanisa miaka 50 iliyopita na nini kifanyike kwa miaka 50 ijayo. Siku ya Jumapili 23 Juni ndipo itafanyika Ibada. Tarehe 21 jioni Mkuu wa KKKT anatarajiwa kufungua maonyesho ya kazimbalimbali na usiku kutakuwa na mkesha wa kwaya yenye watu 350.
Kanisa linatarajia wageni wapatao 5,000 toka ndani na nje ya nchi kuhudhuria maadhimisho hayo yatakayofanyika Usa River, nje kidogo ya jiji la Arusha. Wageni wa nje ni kutoka makanisa na vyama vya misioni vya Afrika, Ulaya na Marekani. Kutoka ndani ni pamoja na wawakilishi wa Dayosisi za KKKT, viongozi wa Serikali na wa dini na kwaya.
Chuo cha Makumira ni mojawapo ya vituo vya pamoja kama Kanisa (vijulikanavyo kama vituo vya Kazi za Umoja KKKT) kinachounganisha Dayosisi zote 22 za KKKT. Ni kituo cha mafunzo kilichoanza kama chuo cha Theologia hivyo viongozi wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki, Kati, Kusini na Magharibi mwa Afika na Mashariki ya Mbali (Middle East) wakiwemo Wachungaji na Maaskofu wamesoma katika chuo hicho. Chini ya mpango wakubadilishana wanafunzi baadhi ya wanafunzi na wakufunzi wametoka Ulaya na Marekani.
KKKT ni muungano wa makanisa saba ambayo baadhi yao yalianza kutekeleza utume wa Mungu wa kueneza Injili nchini zaidi ya miaka 150. Tarehe 19 Juni 1963 viongozi wa Makanisa hayo saba kwa hiari yao waliweka tofauti zao
kando na kuamua kuunda Kanisa moja na kugeuza Makanisa yao kuwa Sinodi au Dayosisi za KKKT. Kadiri muda ulivyokwenda KKKT ikakubaliana kuacha mfumo wa Sinodi na kuwa na mfumo wa Dayosisi.
Watu 5000 kuhudhuria maadhimisho ya jubilii Wageni wapatao 5,000 wanatarajiwa kuhudhuria matukio ya kilele cha jubilii ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) tarehe 22 na 23 Juni 2013 kukumbuka miaka 50 tangu Makanisa saba ya Kilutheri nchini kuunganana kuunda Kanisa moja. Katibu Mkuu wa KKKT, Bw. Brighton Killewa alisema hivi karibuni, kilele kitaadhimishwa katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (Tumaini University Makumira -TUMA), Usa River kinachomilikiwa na KKKT kitakuwa na matukio yasiku mbili.
Alisema Juni 22 litakuwepo kongamano ambapo mada tano zitajadiliwa kuhusu kazi za Kanisa miaka 50 iliyopita na nini kifanyike kwa miaka 50 ijayo. Siku ya Jumapili 23 Juni ndipo itafanyika Ibada. Tarehe 21 jioni Mkuu wa KKKT anatarajiwa kufungua maonyesho ya kazimbalimbali na usiku kutakuwa na mkesha wa kwaya yenye watu 350.
Kanisa linatarajia wageni wapatao 5,000 toka ndani na nje ya nchi kuhudhuria maadhimisho hayo yatakayofanyika Usa River, nje kidogo ya jiji la Arusha. Wageni wa nje ni kutoka makanisa na vyama vya misioni vya Afrika, Ulaya na Marekani. Kutoka ndani ni pamoja na wawakilishi wa Dayosisi za KKKT, viongozi wa Serikali na wa dini na kwaya.
Chuo cha Makumira ni mojawapo ya vituo vya pamoja kama Kanisa (vijulikanavyo kama vituo vya Kazi za Umoja KKKT) kinachounganisha Dayosisi zote 22 za KKKT. Ni kituo cha mafunzo kilichoanza kama chuo cha Theologia hivyo viongozi wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki, Kati, Kusini na Magharibi mwa Afika na Mashariki ya Mbali (Middle East) wakiwemo Wachungaji na Maaskofu wamesoma katika chuo hicho. Chini ya mpango wakubadilishana wanafunzi baadhi ya wanafunzi na wakufunzi wametoka Ulaya na Marekani.
KKKT ni muungano wa makanisa saba ambayo baadhi yao yalianza kutekeleza utume wa Mungu wa kueneza Injili nchini zaidi ya miaka 150. Tarehe 19 Juni 1963 viongozi wa Makanisa hayo saba kwa hiari yao waliweka tofauti zao
kando na kuamua kuunda Kanisa moja na kugeuza Makanisa yao kuwa Sinodi au Dayosisi za KKKT. Kadiri muda ulivyokwenda KKKT ikakubaliana kuacha mfumo wa Sinodi na kuwa na mfumo wa Dayosisi.
Hadi 26 Mei 2013 Dayosisi za KKKT zimefikia 22 baada ya mbili kuzinduliwa mwaka huu wa Jubilii. Nazo ni Dayosisi ya Kusini Mashariki (Mtwara/ Lindi) iliyozinduliwa Jumapili 26 Mei 2013 na Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria (Shinyanga/ Simiyu) iliyozinduliwa 5 Mei 2013.
Habari na Elizabeth Lobulu-Afisa Habari K.K.K.T
Habari na Elizabeth Lobulu-Afisa Habari K.K.K.T
MADA KUU
1. THE IMPACT OF GLOBALIZATION ON THE CHURCH IN AFRICA.
2. THE ROLE OF AFRICAN EVANGELISTS IN THE WESTERN HEMISPHERE.
3. THE IMPORTANCE OF TEACHING THE FOUNDATION OF FAITH AND
PROFESSIONAL ETHICS IN HIGHER LEARNING INSTITUTIONS AND ITS CONTRIBUTION IN
BUILDING AN ETHICAL NATION.
4. NEW AREAS OF MISSION IN 50 YEARS TO COME (NEW STRATEGIES OF FAST
GROWING CITIES AND THE ROLE OF EVANGELISM AND DIACONATE, INTEGRITY OF CREATION AND
GENDER ISSUES).
5. FACING THE CHALLENGES OF CHARISMATIC MOVEMENT AND PENTECOSTALISM
(Healing and Miracles).
JUBILII HII FUATILIA MTANDAO HUU
Askofu na Mchungaji toka Marekani
Baadhi ya wawezeshaji wakwanza Mchg. Dr. Paslaw, Pofesa Bahendwa na Mchg. Dr. Kimondo toka Chuo Kikuu Iringa
Askofu Dr. O.M. Mdegella akiwa na mama wakifurahi kuiona kwaya toka Iringa
Mchungaji Yekonia Koo Katibu wa Vijana Iringa nae alikuwepo
Mchungaji Mwantepele toka Dayosisi ya Kusini(Njombe)
Askofu Mjema katikati akiwa katika Jubilii hii
Katibu wa Berlin Mision -Afrika Mchg. Reinhard Kees akiwa katika Jubilii
Baadhi ya washiriki
Askofu Dr. Owdenburg Mdegella akichangia katika mada hiyo
Baadhi ya Maaskofu Wastaafu wakiwa na baadhi ya Wenzi wa Maaskofu Wastaafu
"HAYA NI WAKATI WA CHAI" sauti ya Katibu Mkuu KKKT ilisikika
Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Iringa tayari kwa kifungua kinywa
Mwalimu nguli wa Kwaya Kuu Iringa akipata vitafunwa
Wageni mbalimbali wakijumuika kupata chai
Wageni waalikwa wakibadilishana mawazo wakati wa chai
Haya na tufurahie chai ni maneno ya baadhi ya wajumbe yalisikika
Wengine wakipata chai, Mabanda ya maonyesho yaliendelea kutembelewa
Mama Rachel Ramadhani akiwa na Naibu Katibu Mkuu Fedha na Utawala Bw. Abel Mrema
Hapa akipiga kinanda kwa umahiri mkubwa
Kwaya toka Dayosisi ya Mashariki na Pwani (Dar)
Nguli wa Muziki Mwl Lwendo akifurahia Uimbaji
Mchezaji mahiri wa Ngoma za Asili toka Mashariki na Pwani
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini kati(Mkoani Arusha)
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini Mashariki(Lushoto-Tanga)
Baadhi ya Washiriki
Nje ya Kanisa la Makumira (Chapel)
Waimbaji wa Kwaya Kuu Iringa wakifuatilia Uimbaji
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini mwa Ziwa Victoria (Simiyu/Shinyanga)
Kwaya toka Chuo Kikuu Cha Tumaini Makumira
Mchungaji Dolcus Kimbavalla wa kwanza toka Dayosisi ya Iringa akifurahia Uimbaji
Mmoja wa Wakeleketwa wa Blog hii anayesoma hapa Makumira
Baadhi ya Wageni toka mataifa mbalimbali
Mkuu KKKT akioneshwa picha waliyopiga pamoja na wageni toka Ulaya
Askofu Gulle akiwa na wageni pia
Viongozi waandamizi wa Kanisa la Berlin na Lepzing Ujerumani
Mama Askofu Mdegella akiwa na Mchungaji toka Chicago Marekani
Katibu Mkuu Bw. Brighton Kilewa akipokea zawadi ya KKKT toka Ujerumani
KWA HABARI NA MATUKIO KATIKA PICHA YA
JUBILII HII FUATILIA MTANDAO HUU
NISAFARI YA KUELEKEA ARUSHA KWENYE JUBILII YA KKKT
Mtangazaji wa redio Furaha Noel kaguo tayari kwa safari
Bloger akiwa Chalinze tayari kwenda Arusha
SASA NI KATIKA JUBILEE YA KKKT -MAKUMIRA ARUSHA
KARIBU SANA
Mtoto Brown Lee toka iringa tayari kushiriki Jubilii hii
hapa ndipo katika Ukumbi ulioboreshwa vizuri kwa ajili ya Jubilii hii
Mchungaji Stephane Homstom Katibu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Sweeden
Askofu na Mchungaji toka Marekani
Wageni toka Ulaya na marekani
Baadhi ya wawezeshaji wakwanza Mchg. Dr. Paslaw, Pofesa Bahendwa na Mchg. Dr. Kimondo toka Chuo Kikuu Iringa
Makatibu Wakuu ni Bw. Naymna Chavalla Iringa na Barozi Maliki toka Mashariki na Pwani
Askofu Mkuu Mstaafu Dr. Mushemba akiwa katika Jubilii hii hivi sasa
HIVI SASA NI KATIKA MADA YA UTANDAWAZI(GLOBALISATION)
INAYOTOLEWA
PROFESA WINFRED MLAY
Mkuu KKKT akifuatilia mada kwa umakini mkubwa sana
KWAYA KUU KKKT-DAYOSISI YA IRINGA IKIWA JUKWAANI HIVI SASA
Wimbo "Nimempata rafiki Mwema"
Kwaya Kuu ikiwa katika Jukwaa
wageni wakisikiliza wimbo kwa umakini
Askofu Dr. O.M. Mdegella akiwa na mama wakifurahi kuiona kwaya toka Iringa
Mchungaji Ester Hauli toka iringa akiwa katika Jubilii hii
Mchungaji Yekonia Koo Katibu wa Vijana Iringa nae alikuwepo
Watheolojia wanaosoma Makumira toka Iringa
Mchungaji Mwantepele toka Dayosisi ya Kusini(Njombe)
Maaskofu wastaafu nao wahawakuwa nyuma hapa ni Baba Askofu Mwambungu na Sagaya
Askofu Gulle toka Mwanza mwenye miwani
Askofu Mjema katikati akiwa katika Jubilii hii
Askofu Yesaya Mengele wa pili (Njombe) nae alikuwepo
Katibu wa Berlin Mision -Afrika Mchg. Reinhard Kees akiwa katika Jubilii
Baadhi ya washiriki
Katibu wa Lutheran World Federation Ukanda wa Afrika Mchg. Eliesh Mungure
akitoa itikio la somo la Utandawazo(Globalisation)
WAANDISHI WA RADIO FURAHA NA UPENDO FM WAKIWA KAZINI TAYARI
Sikiliza Redio Furaha kupitia Blog hii
MATUKIO YA JUBILII KANISA KATIKA PICHA MARA BAADA YA KUMALIZIKA KWA SEHEMU YA KWANZA KWA ASUBUHI HII
Profesa Festo Bahendwa akiwa na baadhi ya Maaskofu Wastaafu wakitoka nje
Mkuu KKKT akiwa na Askofu Mstaafu Baba Askofu Kweka
Mwandishi Mwandamizi wa CCT Mchg. Kamoyo akiwa na Mwandishi wa Gazeti la Upengo Miss Manka
Askofu Reinard Mtenji akiwa na Katibu wa Berlin Mision Mchg. Dr. Reinhard Kees
Naibu Katibu Mkuu Mipando na Maendeleo KKKT akiwa na Mchg. Kivambala ambaye ni mmoja wa Wanafunzi toka Dayosisi ya Iringa
Katibu Mkuu wa Lutheran World Federation akiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Sweden
PROFESA FESTO BAHENDWA:
"MATUMIZI YA MTANDAO (INTERNET) YAMESABABISHA KUSHUKA KWA MAADILI NA UTAMADUNI WETU KAMA WAAFRIKA NA WATANZANIA".
1. We have to go back in our normal proper culicullum in our education policy .
2. As far as moral deterioration is a problem in our country what we have to do in life of Tanzania
Mchungaji Profesa Festo Bahendwa
Hapa akitoa mada ya Changamoto za Mmmomonyoko wa Maadili katika vyuo Vikuu Binafsi na Taifa kwa ujumla leo hii hapa Tumaini University Makumira
MCHUNGAJI DR. STEPHEN KIMONDO "MABADILIKO YA MAADILI YANATEGEMEA MAISHA YA VIONGOZI WA KANISA WANAYOISHI ".
Mchungaji Dr. Stephen Kimondo akitoa itikio la mada ya Maadili katika Vyuo Vikuu Binafsi hapa nchini
KAZI YA UMISIONI HUKO ULAYA
Mbele kabisa ni mnara unaoelezea wa namna Makumira ilikotoka
Mchg.ALPHAEUS MLAY akitoa mada
Askofu Dr. Stephen Munga akitoa itikio la mada hiyo
"HAYA NI WAKATI WA CHAI" sauti ya Katibu Mkuu KKKT ilisikika
Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Iringa tayari kwa kifungua kinywa
Wageni mbalimbali wakijumuika kupata chai
Wageni waalikwa wakibadilishana mawazo wakati wa chai
Haya na tufurahie chai ni maneno ya baadhi ya wajumbe yalisikika
Wengine wakipata chai, Mabanda ya maonyesho yaliendelea kutembelewa
Mama Rachel Ramadhani akiwa na Naibu Katibu Mkuu Fedha na Utawala Bw. Abel Mrema
KWAYA ZIKIFANYA MAZOEZI YA PAMOJA TAYARI KWA IBADA YA LEO
Zilikuwa zikiongozwa na Mwl. Randy Stubbs toka Marekani
ambaye ni Mwalimu wa Muziki hapa Chuo Kikuu Tumaini Mkumira
Hapa akipiga kinanda kwa umahiri mkubwa
TAMASHA LA UIMBAJI LILOFANYIKA KATIKA KANISA LA HAPA CHUONI MAKUMIRA USIKU HUU
Mwl. Obeid Mella toka Chuo Kikuu Iringa
ambaye inaaminika kuwa niye mwalimu nguli wa muziki KKKT
Mwl. Habakuki Lwendo toka Chuo Kikuu Tumaini Makumira
Nguli wa Muziki Mwl Lwendo akifurahia Uimbaji
Mchezaji mahiri wa Ngoma za Asili toka Mashariki na Pwani
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini kati(Mkoani Arusha)
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini Mashariki(Lushoto-Tanga)
Baadhi ya Washiriki
Nje ya Kanisa la Makumira (Chapel)
Waimbaji wa Kwaya Kuu Iringa wakifuatilia Uimbaji
Kwaya toka Dayosisi ya Kaskazini mwa Ziwa Victoria (Simiyu/Shinyanga)
Kwaya toka Chuo Kikuu Cha Tumaini Makumira
Kwaya Kuu toka Dayosisi ya Iringa ikiwa Jukwaani
Mchungaji Dolcus Kimbavalla wa kwanza toka Dayosisi ya Iringa akifurahia Uimbaji
Mmoja wa Wakeleketwa wa Blog hii anayesoma hapa Makumira
WAKATI WA CHAKULA CHA MCHANA HUWEZI AMINI KUWA NI MAZINGIRA HAYAHAYA YA CHUO CHA MAKUMIRA ANGALIA VIZURI
Mwandishi wa Kanisa akiwa na makatibu Wakuu wa Dayosisi za Iringa na Mashariki na Pwani
Wakuu wa Majimbo toka Dayosisi ya Iringa Mchg. Donald Kiwanga na Mchg. Himid Sagga
wakiwa na Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Dodoma
Wageni wakizungumza wakatika wa chakula
Baadhi ya Wageni toka mataifa mbalimbali
Mkuu KKKT akioneshwa picha waliyopiga pamoja na wageni toka Ulaya
Maaskofu wakijumuika kupata chakula
Askofu Gulle akiwa na wageni pia
Askofu Dr. O.M Mdegella toka Dayosisi ya Iringa akiwa na Maaskofu toka Sweden
Viongozi waandamizi wa Kanisa la Berlin na Lepzing Ujerumani
Askofu Yesaya Mengele akiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Sweden Mchg Stepahne Homstrom
Mama Askofu Mdegella akiwa na Mchungaji toka Chicago Marekani
Katibu Mkuu KKKT akiwa na Askofu wa Kusni Mashariki Askofu Mbedule mwenye miwani
na Askofu Kinyunyu wa Dodoma
NI IBADA YA KILEE CHA JUBILII YA MIAKA 50 YA KKKT HAPA
CHUO KIKUU TUMAINI MAKUMIRA
Madhabahu tayari kwa Ibada
Katibu Mkuu Bw. Brighton Kilewa akipokea zawadi ya KKKT toka Ujerumani
Askofu wa Ujerumani akisalimia na Askofu Mwakyolile
Maandamano yanaendelea hapa Makumira
WAZIRI MKUU MSTAAFU MH.FREDRICK SUMAYE YUPO TAYARI
Tayari kuingia Kanisani
Mkuu KKKT Msataafu akibadilishana mawazo na Askofu Mkuu wa Sweden
Wawakilishi wa chama cha Lepzing Mission hapa Mchg. Kuger akitoa salam
Wawakilishi wa Chama cha DAN Mission wakitoa salam
Sasa ni zamu ya WAASISI wa KKKT
Mjane wa aliyekuwa Askofu Mkuu Dr.Sebastian Kolowa
Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akitoa Salam maalum za Jubilii
Waziri Mkuu akitoa salam za Jubilii
Mkuu KKKT mstaafu akiwa Mkuu KKKT wa sasa hapa wanaelekea kuvua mavazi tayari kwa kupata chakula
Katibu Mkuu wa Fungamano la Makanisa Duniani akiwa na Katibu Mkuu wa Ukanda wa Afrika
Mmiliki wa Blog hii Mchungaji Kurwa Sadataley akiwa na viongozi hao
SASA NI WAKATI WA CHAKULA
Mchungaji Stephane Homstrom
Katibu Mkuu wa Chama cha Uamsho Swedeni
Mtoto akiwa na Mshumaa " Ishara ya Nuru na Iangaze"
WAZIRI MKUU MSTAAFU MH.FREDRICK SUMAYE YUPO TAYARI
Tayari kuingia Kanisani
Wenzi wa Maaskofu
SASA NI KUINGIA KANISANI TAYARI KWA IBADA
Matukio ya Jubilii katika picha
Waliopta kuwa Maaskofu wa Dayosisi ya Kusini Kati (Makete)
Wakiwa na Mkuu KKKT ni Askofu Dr. Solomon Swalo mwenye vazi jekundu,Askofu Manyewa mwenye vazi la zambarau na Askofu wa sasa Askofu Levis Sanga mwenye vazi jeupe
Wawakilishi wa BAKWATA -Arusha wakitoa Salam zao
Askofu wa Kanisa la Kilutheri Kongo akitoa Salam
Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kilutheri Kenya akitoa Salam
Mkuu wa KKKT-Uganda akitoa salam
Katibu Mkuu wa Fungamano la Makanisa Duniani (LWF) akitoa salam
Mchg. Junge
Hapa akitoa zawadi maalum
Salam toka Makanisa na Vyama vya Kimisionari toka Ulaya na Amerika
Wawakilishi wa chama cha Lepzing Mission hapa Mchg. Kuger akitoa salam
Katibu wa Berlin Mision-Africa Mchg. Dr. Reihard Kees
Wawakilishi wa Chama cha DAN Mission wakitoa salam
Askofu Mkuu wa kanisa la Sweeden
Katibu wa Chama cha Uamsho Sweden Mchg. Stephane Homstrom akitoa salam
Mwakilishi wa Unite Evangelical Mission (UEM)
Mchg. Mwombeki
Askofu wa Makanisa ya United Lutheran Church German
Wawakilishi wa Lapzing Mission -German
Wawakilishi wa Danish Mission
Wawakilishi wa Kanisa la Kilutheri Marekani
Askofu wa Kanisa la Kilutheri Canada
Askofu Mkuu Mstaafu Dr. Samson Mushemba akitoa salam kwa niaba ya Maaskofu Wastaafu
Maaskofu wastaafu na Wachungaji Wastaafu
Mjane wa aliyekuwa Askofu Mkuu Dr.Sebastian Kolowa
Mjane wa aliyekuwa Askofu Mkuu Dr.Sebastian Kolowa akitoa salam
huku Mwenzi wa Mkuu KKKT Mama Askofu Dr. Gehaz Malasusa akimsiliza
Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akitoa Salam maalum za Jubilii
HITIMISHO LA JUBILII YA MIAKA 50
Waziri Mkuu akitoa salam za Jubilii
Mkuu KKKT akitoa salam na itikio la salam za Waziri Mkuu
Mkuu KKKT mstaafu akiwa Mkuu KKKT wa sasa hapa wanaelekea kuvua mavazi tayari kwa kupata chakula
Askofu Kinyunyu wa Dayosisi ya Dodoma, Mkuu wa Jimbo la kaskazini KKKT-Iringa na Askofu Mbedule wa dayosisi ya Kusini Mashariki
Askofu Mstaafu Mkuta wa Dayosisi ya Mara
JUBILII KKKT YAFANA
Huku Waziri Mkuu Mstaaafu Mh Fredrick Sumaye akilitaka Kanisa kuepuka na wanaotoa fedha kwa kutumia mgongo wa dini
Arusha. Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa dini na Watanzania kwa jumla kuwa makini na watu wanaojipitisha na kutoa fedha kutaka uongozi akisema hiyo imezaa matabaka kwa wanyonge kukosa haki za msingi kwa kuwa hawana fedha.
Sumaye alisema hayo jana kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), zilizofanyika Chuo Kikuu cha Makumira, Arumeru.
Mbele ya Maaskofu wote 20 wa Dayosisi zote za KKKT nchini na wageni waalikwa kutoka ndani na nje ya nchi, Sumaye alisema jeuri ya fedha na mamlaka imesababisha mambo mengi machafu katika jamii ikiwamo wanyonge kukosa haki zao za msingi, huku wenye uwezo kifedha wakipata haki kwa kutoa hongo au rushwa.
Alisema hali imekuwa mbaya kiasi kwamba hata nafasi za uongozi hivi sasa zinapatikana pasi na kuzingatia uwezo kiutendaji na uadilifu wa mhusika na badala yake kinachoangaliwa ni mhusika anayeomba uongozi ametoa fedha kiasi gani za kuwahonga wapiga kura.
“Hata katika baadhi ya dayosisi na sharika zetu watu wamekuwa wakipewa sifa za ajabu si kwa sababu ya uadilifu wao au wema wao, bali kwa sababu tu wamechangia fedha kwa shughuli zetu za kanisa au hata binafsi,” alisema.
Aliwataka viongozi wa kidini kutojielekeza kwenye huduma za kiroho pekee, bali washughulike na mambo yote yanayoikwaza jamii wanayoiongoza ikiwamo kukemea vitendo viovu vinavyohatarisha usalama, amani na misingi ya Taifa.
Akizungumzia amani ya nchi, Sumaye aliwataka Watanzania kukemea vitendo viovu vinavyolikumba taifa bila kujali kama kukemea huko kutawaudhi wenye mamlaka na nguvu za fedha.
Alisema taifa litaangamia iwapo hali ya uhasama wa kiimani, kiitikadi na maeneo mabomu kutupwa kwenye mikusanyiko ya watu kwa nia ya kuua, itaachwa iendelee.
“Taifa linakabiliwa na matatizo mengi. Watu wamefikia hatua ya kuchukiana kwa sababu ya imani zao. Mabomu yanalipuliwa katika mikusanyiko ya jamii na kuteketeza watu wasio na hatia,” alisema Sumaye na kuongeza:
“Je, tumekuwa na ujasiri wa kukemea mabaya hata kama kukemea huko kunawaudhi au kuwakera wenye mamlaka au na wenye nguvu za fedha?”
Sumaye alihoji kilichotokea hadi leo Watanzania waanze kubaguana kwa maeneo wanakotoka, viongozi wa dini kuuawa, makanisa kuchomwa moto na Wakristo na Waislamu kupigana kugombea nani achinje mnyama.
“Haya yote ni mambo mageni nchini mwetu, tuendelee kuiombea nchi yetu amani lakini wakati maombi yakiendelea, Watanzania tujue tunajichimbia kaburi letu wenyewe kama hatutapiga vita maovu haya,” alisema.Sumaye aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 ya Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa, alihoji uadilifu na dhamira ya Watanzania, wakiwamo viongozi wa dini ambao hivi sasa wanawasifia na kuwakumbatia watu wanaotoa michango mikubwa ya fedha madhabahuni bila kujali uadilifu wao na jinsi walivyochuma fedha hizo.
Mkuu wa KKKT, Askofu Alex Malasusa alisema Kanisa halitaogopa kusema ukweli pale panapobidi huku akiahidi kuwa litaendelea kujenga marafiki wema bila kujali itikadi zao kisiasa wala ukwasi.
Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na viongozi wa Kiislamu kitendo ambacho Askofu Malasusa alisema ni ishara ya ushirikiano na uhusiano mwema kati ya dini na madhehebu yote nchini tofauti na chuki inayojaribu kupandikizwa na wasiolitakiwa mema taifa.
TUYAENZI YALE MEMA YA KKKT
Hayo yamesemwa na Mchungaji Elisande Mhanga alipokuwa akihubiri katika kanisa lililopo ofisi Kuu za Dayosisi ya Iringa leo hii. Na alikuwa akikazia Mahubiri toka Mathayo 13:31-32
Pia Mchungaji Stephane Homstrom ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Uamsho Swedeni-(Sweedish Evangelical Mission) kama kijulikanavyo kwa jina la SELM. Naye amesema ni bahati na ni Neema za Mungu tu kutufikisha hapa tulipo na tunapaswa kujipanga kwa ajili ya miaka hamsini (50) ijayo
Mchungaji Elisande Mhanga
Bw. Nayman Chavalla
Katibu Mkuu KKKT-Dayosisi ya Iringa akimkaribisha Mchungaji Stephan Homstrom
ili awasalimu watumishi wa Dayosisi katika Ibada ya leo hii hapa Chapel
Katibu Mkuu wa Chama cha Uamsho Swedeni
No comments
Post a Comment