Writen by
sadataley
3:57 PM
-
0
Comments
ASKOFU MSTAAFU DKT. OWDENBURG MOSSE MDEGELLA AKIWA NA MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI - KIHESA MCHUNGAJI UPENDO FILANGALI KOKO MARA BAADA YA KUBARIKIWA KUWA MKUU WA JIMBO HILO KATIKA IBADA ILIYOFANYIKA JANA KATIKA USHARIKA WA KIHESA WA DAYOSISI YA IRINGA .
BAADHI YA WACHUNGAJI NA WASHARIKA WALIOHUDHURIAA IBADA HIYO KATIKA JIMBO LA KASKAZINI - KIHESA AMBAO WALISHUHUDIA DAYOSISI HIYO IKIENDELEA KUWEKA HISTORIA KWA KUMPATA MKUU WA JIMBO WA PILI MWAAMKEE WA DAYOSISI HIYO TANGU IANZISHWE MWAKA 1987 AMBAPO MCHUNGAJI UPENDO FILANGALI KOKO ALIBARIKIWA KUWA MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI KATIKA IBADA ILIYOFANYIKA 26.03.2017 JANA KATIKA USHARIKA WA KIHESA WA DAYOSISI YA IRINGA .
PICHANI WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO MCHUNGAJI GAITANI MKEMWA AMBAYE NI MCHUNGAJI MWENZA WA USHARIKA WA KIHESA AKIWA NA MCHUNGAJI OMBENI SAWIKE CHUSI WA USHARIKA WA MKIMBIZI WAKIFFUATIKIA KWA MAKINI TENDO LA IBADA HIYO MAALUM AMBAPO MCHUNGAJI UPENDO FILANGALI KOKO ALIBARIKIWA KUWA MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI KATIKA IBADA ILIYOFANYIKA 26.03.2017 JANA KATIKA USHARIKA WA KIHESA WA DAYOSISI YA IRINGA .
WAGEI MBALIMBALI WAKITOA SALAM ZAO MARA BAADA YA KUSHUHUDIA DAYOSISI HIYO IKIENDELEA KUWEKA HISTORIA KWA KUMPATA MKUU WA JIMBO WA PILI MWAAMKEE WA DAYOSISI HIYO TANGU IANZISHWE MWAKA 1987 AMBAPO MCHUNGAJI UPENDO FILANGALI KOKO ALIBARIKIWA KUWA MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI KATIKA IBADA ILIYOFANYIKA 26.03.2017 JANA KATIKA USHARIKA WA
KIHESA WA DAYOSISI YA IRINGA MWENYE MIWANI NI BWANA NAYMAN ASANJE CHAVALLA NA MWENYE JOHO NI MCHUNGAJI ADELA KIVEREGE .
ASKOFU MSTAAFU DKT. OWDENBURG MOSSE MDEGELLA AKIWA NA MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI - KIHESA MCHUNGAJI UPENDO FILANGALI KOKO MARA BAADA YA KUBARIKIWA KUWA MKUU WA JIMBO HILO KATIKA IBADA ILIYOFANYIKA JANA KATIKA USHARIKA WA KIHESA WA DAYOSISI YA IRINGA HAPA MKUU WA JIMBO AKIWA KATIKA TAFAKARI.
No comments
Post a Comment