Writen by
sadataley
2:52 PM
-
0
Comments
Pichani Askofu Dkt. Owdenburg Moses Mdegella mwenye kofia na fimbo akiwa na katika picha ya pamoja na Wachungaji wote na hawa wa mbele kabisa ni baadhi ya Wachungaji waliobarikiwa siku ya jana 19.02.2017 katika Usharika wa Mkimbizi uliopo Iringa Mjini.
Pichani aliyeshika kamera ni Mchungaji Elisande Mhanga ambaye ni Afisa Mafuzno wa KKKT Dayosisi ya Iringa na nyuma yake mwenye miwani ni Mchungaji Lusungu Msigwa ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa KKKT Dayosisi ya iringa na ule wa Mtakatifu Paulo kule Minesota nchini Marekani maarufu kwa jina la Bega kwa Bega na baadhi ya watoto walioshiriki ibada hiyo jana 19.02.2017 iliyofanyika katika Usharika wa Mkimbizi Iringa Mjini.
No comments
Post a Comment