Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, June 30, 2015

Ugiriki yaomba miaka 2 kukomboa uchumi

Ugiriki imeomba mwafaka wa miaka miwili wa kuiokomboa kiuchumi kutoka kwa jumuiya ya ulaya. Mapendekezo yake yanajumuisha kufanya marekebisho mengi yatakayiwezesha kulipa madeni makubwa inayodaiwa. Tangazo hilo limetolewa karibu dakika za mwisho. Mapema ugiriki ilikuwa imethibitisha kuwa itashindwa kulipa deni lake kufikia mwisho wa siku na wanahabari wanatilia shaka mapendekezo haya ya anthens. Chanzela wa Ujerumani Angela Merkel alinukuliwa akisema mapema kuwa hakutazamia matokeo haya. Awali Waziri Mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras aliwaomba wapiga kura wakatae masharti ya wakopeshaji wa nchi hiyo wakati wa kura ya maoni hapo Jumapili. Bw Tsipras amesema kwa kupinga kubana matumizi, Ugiriki itaweza kushauriana zaidi na kupata suluhu la mozozo wa sasa wa kifedha. Siku ya mwisho kwa Ugiriki kugharamia madeni yake ni Jumanne wiki hii ambapo inatakiwa kulipa deni la Euro bilioni 1.6, kwa shirika la fedha duniani{IMF}.Viongozi wa Muungano wa Ulaya wameonya hatua ya kukataa kulipa madeni yake ni sawa na Ugiriki kujiondoa kutoka kanda inayotumia sarafu ya Euro. Hata hivyo Waziri Mkuu Tsipras amesema hataki nchi yake kuitema Euro.Mazungumzo kati ya Ugiriki na wakopeshaji wake yalivunjika wiki jana, hatua iliyosababisha benki za nchi hiyo kufungwa.

ELCA Global Mission and EECMY-DASSC sign Memorandum of Understanding

Continued cooperation of ongoing projects in the area of diakonia GENEVA, 25 June 2015 (LWI) - The Development and Social Services Commission of the Ethiopian Evangelical Church Mekane Yesus (EECMY-DASSC) and the Global Mission unit of the Evangelical Lutheran Church in America (ELCA) have signed a Memorandum of Understanding to continue project cooperation of ongoing projects in the field of Diakonia. In doing so, both the ELCA and the EECMY have made use of an existing provision in the 2013 EECMY General Assembly decision. The highest decision-making body of the EECMY severed partnership ties with the ELCA and Church of Sweden, but indicated the possibility to continue engagement in diaconal projects that were under implementation at the time of its decision. Commenting on the importance of the signature, the LWF Vice-President for the African region, Presiding Bishop Dr Alex. G. Malasusa of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania encouraged the churches to not regard the signed document as a result, but as a step towards resumption of the cooperation in ongoing diaconal projects. “Let this not become another signed document without tangible effects, as they are so many in our world today, but a document which translates into concrete actions.” He attended the signing ceremony in the LWF Communion Office on 19 June. The LWF Vice-President for North America, National Bishop Susan Johnson of the Evangelical Lutheran Church in Canada also witnessed the signature of the project cooperation MoU. In her remarks, she underlined the role of the LWF communion as a space that is shared by all member churches, and the importance of accompaniment with a view of healing and reconciliation. ”I am glad we were able to gather at the table for a meal. I am delighted we are gathered at a meeting table for this signing. I look forward, with hope, to the day these churches can meet again at the table of the Lord.” EECMY President Rev. Dr Wakseyoum I. Negeri referred to the door that the EECMY had left open for continued support of ongoing development and social services’ projects. “I am glad that now an atmosphere of understanding is created that such support continues within the limits of the decisions of the EECMY, where the EECMY DASSC makes careful follow up on the implementation of these ongoing projects”, he expressed. “We will continue to pray to God to provide us with better future”, he added. For the ELCA Presiding Bishop Elizabeth Eaton the Memorandum of Understanding “defines us as neighbors despite the distance and the contexts that divide us. But we are more than neighbors, more even than brothers and sisters. St. Paul writes, ‘So we, though many, are one body in Christ, and individually members one of another.’ (Romans 12:5) I pray that this MoU will lead to deeper conversation, reconciliation and restoration of community between our churches”. LWF President Bishop Dr Munib A. Younan said: “I believe this is a day of joy: for the poor who will be served, for the two churches involved and for the entire communion. Without any doubt God’s Spirit has brought this day to come. We trust in God’s ongoing guidance and inspiration for the journey of healing and restoration that is still ahead. In his report to the Council, the LWF General Secretary Rev. Martin Junge pledged “the LWF’s efforts to continue accompanying these (two) churches. The moment we as a communion stop feeling the pain of the fracture in relationships (….) we have ceased to be a body and given up on our vocation to live and witness together as churches in communion”. - See more at: https://www.lutheranworld.org/news/elca-and-eecmy-sign-memorandum-understanding#sthash.hwP84zxr.dpuf

WCC GROUP EVALUATES ECUMENICAL HIV AND AIDS RESPONSE

A World Council of Churches (WCC) group concluded a three-day meeting by acknowledging achievements that have been made in addressing HIV and AIDS. As the meeting closed on 26 June in Limuru, Kenya, the outgoing chairperson of the International Reference Group (IRG) of the WCC’s Ecumenical HIV and AIDS Initiatives and Advocacy (EHAIA), Astrid Berner Rodoreda, recalled the reticence that surrounded the topic of sexuality in church circles when the group first came together in 2003. Rodoreda, who is also the HIV senior adviser for the German organization Bread for the World, was accompanied by her successor, Bishop Godson Lawson of Togo and Rev. Dr Nyambura Njoroge, EHAIA programme executive. The group noted that, from the beginning, they realized that, since HIV and AIDS are sexually transmitted infections, the church could not help people cope with the challenges without addressing sexuality, a difficult subject in many churches and taboo in many wider communities. At the beginning, churches still had a long way to go in addressing not only the subject of sexuality but the even more sensitive topics of lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI). Bishop Lawson, a Methodist minister, noted, however, that when the IRG was established, HIV was low on churches’ agenda, but today, most member churches have set up HIV and AIDS desks. Rodoreda also commented on the 90-90-90 concept and the current status of the HIV and AIDS pandemic. The concept seeks to have 90 percent of people living with HIV knowing their sero-status by 2020. Out of that percentage, 90 percent should be on treatment by 2020, and out of the latter group, 90 percent should have an undetectable viral load to stop the spread of HIV. The outgoing EHAIA chairperson said setbacks persist because many countries no longer view HIV and AIDS as an emergency largely because of free anti-retroviral (ARV) programmes. And yet, “a lot of people are being put on treatment, but a lot of them are falling out,” she said. Part of the problem lay in the much-hyped faith-healing, which makes people on ARVs throw them away on assumption that they are healed, only for them to develop resistance to the virus, for which there is no known cure. “At the moment, we do not have an alternative to ARVs,” she stressed. Rodoreda commended EHAIA for its initiatives in transformative masculinities, which acknowledge the importance of involving men in ending sexual and gender-based violence. Bishop Lawson described a youth manual on stigma and discrimination as an important output of EHAIA work. The last session of the meeting was dedicated to adolescents—an important population segment in addressing HIV and AIDS. This was capped by a public lecture at the St Paul’s University Limuru by Rev. Phumzile Mabizela, executive director of the International Network of Religious Leaders living with AIDS (INERELA+). The title of her lecture was “Adolescents, HIV, Sexual Violence and Sexuality”. Prior to Mabizela’s lecture, the meeting participants and St Paul’s University community officials planted trees in commemoration of the tenth anniversary of Tamar project. The initiative draws its name from the biblical Tamar, who was raped by her half-brother, consigning her to a life of social exclusion.

Monday, June 29, 2015

Lowassa amweka Kikwete kitanzini

Dar es Salaam. Ndivyo alivyosema na bila shaka ndivyo anavyoamini Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, lakini kauli ambazo amekuwa akizitoa tangu kuanza kwa mbio za urais zinamuweka katika hali ngumu Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete. Lowassa alirudia moja ya kauli hizo juzi alipokuwa Dar es Salaam kuendelea na kazi ya kutafuta wadhamini aliposisitiza kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kuwa “Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje,” akisisitiza kuwa yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko hayo. Mbunge huyo wa Monduli ametoa kauli hizo kabla ya vikao vya juu vya kufanya uamuzi wa mgombea urais wa CCM vitakavyoongozwa na Rais Kikwete. Vikao hivyo vitaanza Julai 8. Tayari makada 42 wamejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho kikongwe kugombea urais na kutoa ahadi mbalimbali, lakini Lowassa, ambaye amekuwa akipata wadhamini wengi kuliko makada wengine, ndiye ambaye ametoa kauli zinazomuweka Kikwete kwenye hali ngumu. Tangu alipoanza kuzungumzia urais kwenye kikao cha kwanza na wahariri Mei 25 mjini Dodoma, Lowassa amekuwa akitoa kauli kadhaa katika mikoa mbalimbali nchini, akianzia Arusha ambako alitangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM na baadaye kwenye harakati za kusaka wadhamini. Asiyenipenda ahame CCM Akijibu swali kwamba anaweza kuhama chama iwapo jina lake litakatwa kwenye mchakato wa ndani ya CCM, Lowassa alieleza jinsi alivyokitumikia chama na imani yake. “Sina mpango wa kuhama chama changu, sina Plan B. Mimi ni Plan A tu. Tangu nimalize chuo kikuu mwaka 1977, nimekuwa mwana-CCM. Sijafanya kazi nje ya CCM ukiondoa miaka ambayo nilikuwa vitani Uganda na nilipohamishiwa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha. Maisha yangu yote ni CCM,” alisema Lowassa. “Kama kuna mtu ambaye hanitaki ndani ya CCM, yeye ndiyo ahame, siyo mimi.” Safari hii JK ataniunga mkono Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mei 30 wakati akitiania, Lowassa alielezea tukio la kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya CCM kuwania urais mwaka 1995 wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na Kikwete, ambaye pia alichukua fomu hizo. “Wakati ule sote tulikuwa wanasiasa vijana. Pamoja tulikwenda kuchukua fomu na baadaye kwa pamoja tukazungumza na waandishi wa habari. Tulileta hamasa kubwa pale tulipofanya jambo ambalo halikuzoeleka kwa Watanzania kwa kutangaza kwamba yeyote atakayepita kati yetu, mwenzake ambaye hangefanikiwa angemuunga mkono mwingine,” alisema Lowassa na kuongeza kuwa wakati ule alimuunga mkono Kikwete...“Natarajia safari hii, Kikwete ataniunga mkono.” Source Mwananchi

Copa America:Paraguay yaiondoa Brazil

Paraguay imejikatia tikiti ya nusu fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilaza Brazil katika hatua ya robo fainali. Paraguay ilijikatia tikiti hiyo baada ya kuilaza Brazil mabao 4-3 kwa mikwaju ya penalti. Timu hizo zilikuwa zimetoka sare ya 1-1 katika muda wa kawaida. Paraguay sasa itakabiliana na Argentina katika nusu fainali.Robinho alikuwa ameiweka Brazil kifua mbele kunako dakika ya 15 ya kipindi cha kwanza baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Dani Alves . Hata hivyo Thiago Silva aliadhibiwa kwa kuunawa mpira ndani ya eneo la lango na Derlis Gonzalez hakufanya masihara mbele ya lango. Alifuma mkwaju kimiani na kupelekea mechi hiyo kuwa sare ya 1-1. Ilipofika wakati wa mikwaju ya penalti Brazil walipoteza nafasi mbili na hivyo Gonzalez akaihakikishia Paraguay fursa ya kuchuana na Argentina katika nusu fainali ya kombe hilo. Argentina walikuwa wameshajikatia tikiti ya nusu fainali baada ya kuitamausha Colombia katika ile robo fainali ya kwanza.Paraguay watakuwa wanatafuta taji hilo la Copa America waliloshinda mara ya mwisho mwaka wa 1979. Watachuana na Argentina julai mosi katika uwanja wa Concepcion. Chile kwa upande wake itakuwa inatarajia mashabiki wake wataisaidia kuizima Peru katika ile nusu fainali nyengine itakayoandaliwa Santiago.

Uchaguzi wa ubunge wafanyika Burundi

Uchaguzi wa ubunge unaendelea nchini Burundi licha ya wiki ya maandamano ya ghasia dhidi ya uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu. Baadhi ya vituo vya kupigia kura vilifunguliwa kuchelewa baada ya maguruneti kurushwa. Upinzani umesusia uchaguzi huo.Muungano wa Ulaya unasema kuwa uchaguzi huo utazidisha mgogoro uliopo. Umoja wa Afrika umekataa kutoa waangalizi ukisema kuwa baadhi ya masharti yaliowekwa hayajaafikiwa kwa uchaguzi kuwa huru na haki. Zaidi ya watu 70 wameuawa tangu mgogoro huo uanze.Karibu watu 130,000 wamelitoroka taifa hilo.

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo. Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis. Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais aliyepinduliwa , Mohamed Morsi, mwaka 2013. Kundi linalojiita Popular Restistance of Giza limekiri kutekeleza shambulizi hilo.

Saturday, June 27, 2015

CHURCH PILGRIMAGE TO HIROSHIMA AND NAGASAKI SEEKS ACTION TO END NUCLEAR THREATS

In early August, the World Council of Churches (WCC) representatives will embark on an unusual pilgrimage. A group of church leaders will travel to two cities devastated by the deadliest of weapons 70 years ago, then visit governments still willing to destroy thousands of cities in similar fashion today. The Japanese cities of Hiroshima and Nagasaki were attacked with atomic bombs on 6 and 9 August 1945. A lifetime after that fearsome destruction, 40 governments still rely on nuclear weapons. Nine states possess nuclear arsenals and 31 other states are willing to have the United States use nuclear weapons on their behalf. Church leaders from eight of these countries will make the WCC pilgrimage to Hiroshima and Nagasaki, where they will listen to survivors, pray with local churches and reflect with other faiths on the plight of the two cities. Then the bishops and church presidents will bring calls for action home from the two cities. One key step is to urge their governments to join a new inter-governmental pledge to “close the legal gap” and establish a formal ban on nuclear weapons. This humanitarian initiative already has the support of 110 countries. “The 70th anniversary of the atomic bombings is a significant milestone,” said Peter Prove, director of the WCC’s Commission of the Churches on International Affairs. “It is timely because most of the survivors of the 1945 attacks are now in their 80s. Their cries of ‘never again’ must still be heard. It is urgent because the nuclear powers are all modernizing their nuclear weapons instead of abolishing them as promised. It is also hopeful because a growing international majority is forming to ban nuclear weapons and WCC member churches are involved.” The eight member churches involved in the pilgrimage are well-placed to take a stand against the world’s most destructive weapons. Their governments – the US, Germany, Japan, South Korea, Canada, Netherlands, Norway and Pakistan – all avow support for nuclear disarmament, but continue to rely on the very weapons that caused such destruction 70 years ago and pose a threat to humanity today. Except for Pakistan, which has its own nuclear arsenal, all of these governments are prepared for the US to use its nuclear weapons against their enemies. Four accept this Cold War-like posture as members of NATO. Two, Japan and Republic of Korea, do so as US allies in the Pacific. Churches from this group of countries are well-placed to apply ecumenical policy opposing nuclear weapons and exert constructive pressure on their governments today. Current events give this year’s anniversary added significance. Rhetoric about nuclear weapons is being used in the crisis over Ukraine. And last month a major arms control conference at the United Nations collapsed amid strong nuclear-weapon-state resistance to the majority of states which support the humanitarian initiative against nuclear weapons. Most of the church leaders on the pilgrimage are from nuclear-dependent allies of the United States. The humanitarian initiative is consistent with values their governments often espouse. Yet they feel obliged to stand with their nuclear-armed ally, the US, against the initiative. In recent months wide circles of civil society including WCC member churches are increasingly asking these governments a question the church leaders will hear in Japan: Why are nuclear weapons still legal when all other weapons of mass destruction are banned? “This pilgrimage will end by bringing a moral and spiritual critique of the dilemma that began with the attack on Hiroshima 70 years ago to governments that still depend on nuclear weapons today,” said Dr Isabel Apawo Phiri, WCC associate general secretary. “The goal is to help foreign policy officials appreciate the unique opportunity at hand, namely, to align with the majority and promote the common good rather than perpetuate the dangerous, unjust and unstable status quo.” The mission to Japan and the seven other nuclear-dependent countries is part of the WCC Pilgrimage of Justice and Peace. The delegation members are Bishop Mary-Ann Swenson, United Methodist Church, Vice-Moderator, WCC Central Committee and head of delegation; Dr Chang Sang, Presbyterian Church in Republic of Korea and WCC Asia President; Bishop Heinrich Bedford-Strohm, the presiding bishop of Protestant Churches in Germany; Archbishop Nathaniel Uematsu, Anglican Church in Japan; Bishop Mark MacDonald, Anglican Church in Canada and WCC North America President; Bishop Tor Jorgensen, Lutheran Church of Norway; Rev. Karen Van Den Broeke, Protestant Church in the Netherlands; Bishop Samuel Azariah, Church of Pakistan; Rev. Dr Stephen Sidorak, United Methodist Church ecumenical officer based in USA and member of the WCC Commission of the Churches on International Affairs.

Chadema wafurika kurudisha fomu za ubunge

Makada mbalimbali wa Chadema jana walirudisha fomu za kuwania kuteuliwa na chama hicho katika nafasi ya ubunge katika majimbo ambayo yanashikiliwa na CCM. Mchakamchaka huo wa kurudisha fomu hizo ulifanyika katika maeneo mbalimbali nchini jana ambayo ilikuwa siku ya mwisho. Katika Jimbo la Monduli linaloshikiliwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa tayari makada watatu wamerudisha fomu. Waliorudisha fomu ni Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya hiyo Josephat Sironga, Mwenyekiti Baraza la Wanawake (Bawacha) Mkoa wa Arusha, Cecilia Ndosi na Katibu Mwenezi wa chama hicho Monduli, Patrick Ngala ole Mong’i. Akizungumza jana Mong’i alisema: “Tumechukua fomu sisi watatu na tumerejesha ili kupisha vikao vya maamuzi.” Mkoani Mbeya makada lukuki wa Chadema mkoani humo walimiminika kurudisha fomu katika muda uliotakiwa huku wengine wengi wakitajwa kucheleweshwa na kazi ya kuweka fedha benki. Katika Jimbo la Mbarali linaloshikiliwa na Modestus Kilufi (CCM), makada saba walirudisha fomu hadi saa 10.00 jioni muda ambao ulikuwa wa mwisho. Katibu wa chama hicho wilayani hapo, Nicolaus Lyaumi aliwataja waliorudisha fomu kuwa ni Jidawaya Kazamoyo, Grace Mboka, Dick Baragasi, Tazan Ndingo, Liberatus Mwang’ombe, Rajab Kilemile na Machami Kasambala. Katika Jimbo la Mbozi Mashariki, linaloshikiliwa na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, wanachama 27 wa Chadema walichukua fomu, lakini hadi saa 10.00 jioni, Katibu wa chama hicho, Michael Mwamlima aliwataja waliorudisha kuwa ni Happness Kwilabya, Abraham Msyete, Anastazia Nzowa, Abdul Nindi, Gerald Silwimba, Eliud Msongole, Zablon Nzunda na Eliud Kibona. Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Wilaya ya Vijijini, Jackson Mwasenga alisema jimbo la wilaya hiyo ambalo linashikiliwa na Mchungaji Luckson Mwanjale (CCM), waliorudisha fomu ni Daud Mponzi, Edson Jisandu, Adam Zela, Anthony Mwaselela Hadson Sheyo, Benson Mwamengo, Stephano Mwandiga, Frank Mwaisumbe Christina Kalisoto, William Msokwa, Elias Songela na Jeremiah Mwaweza. Katika jimbo la Kwela linaloshikiliwa na Ignas Malocha (CCM), Daniel Ngogo pekee amerudisha fomu jana huku akitaja vipaumbele vinne ambavyo ni elimu, afya, kuboresha miundombinu ya barabara na ajira jimboni kupitia kilimo. Pia katika jimbo la Sumbawanga Mjini linaloshikiliwa na Aeshi Hilal(CCM) tayari mfanyabiashara wa mjini Sumbawanga, Casiano Kaegele, maarufu kwa jina la Upendo alirudisha fomu ya kuomba kuteuliwa na Chadema kuwania jimbo hilo. Kaegele alisema amesukumwa na mambo kadhaa kugombea ubunge katika hilo ikiwamo kuanzisha miradi ya wajasiriamali, kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana na wanawake, sambamba na miundombinu hususan uwanja cha ndege. Katika jimbo la Morogoro Mjini linaloshikiliwa na Mohammed Abood, makada wa 11 walijitokeza kuomba kuteuliwa baadhi yao ni Marcussy Albaine, James Pawa Mabula, Batromeo Tarimo, Esther Tawete, Steven Daza, Doris Kweka, Gerard Temba, Robert Mruge. Katika jimbo la Kibaha Mjini linaloshikiliwa na Sylivestry Koka (CCM) wanachama sita kati ya saba waliochukua fomu waliorudisha. Katibu wa Chadema Kibaha Mjini, Michael Nkobi aliwataja waliorudisha kuwa ni Michael Mtally, Joachim Mahenga, Frank Mzoo, Henry Msukwa, Bosco Mfundo na Isihaka Omari. Katibu wa Chadema Kanda ya Pwani, Khalfan Mirambo alisema Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, waliorudisha fomu za Ubunge jumla yao ni 60 na kati ya hao, 56 ni viti maalumu. Hata hivyo alisema bado majimbo matatu ya Mkuranga, Rufiji na Chalinze.

Serikali yakubali yaishe, kutojadili muswada wa habari

Dodoma. Ni rasmi sasa Serikali imekubali yaishe kwa kuundoa muswada wa Sheria ya Upatikanaji Habari 2015 hadi Bunge lijalo ili uweze kuboreshwa na kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza hapo baadaye katika jamii. Hatua hiyo ya Serikali imekuja baada ya kuwapo mashinikizo ya muda mrefu kutoka kwa wadau wa habari wakilalamikia uharaka wa kuipitisha sheria hiyo bila kuwashirikisha tangu muswada ulipoletwa bungeni awali Machi mwaka huu. Akiwasilisha taarifa fupi ya Serikali bungeni jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandyosa alisema, Kamati ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii imeomba uahirishwe ili ipate fursa zaidi ya kupokea maoni ya wadau na kuandaa muswada bora kwa masilahi ya Taifa. Alisema kamati hiyo ilikaa Juni 22 na kujadili kwa kina maoni ya wadau na kushauri kuwa,inataka muda zaidi wa kuujadili. “Serikali imetafakari maoni ya kamati na kuafiki muswada uendele kufanyiwa kazi hadi hapo itakapokuwa imekamilisha kazi ipasavyo na kuwasilisha bungeni.” Aliongeza: “Matarajio ni kwamba muswada huu utasomwa kwa mara ya pili na ya tatu katika Bunge lijalo…naomba kutoa ushauri kwa wadau wanaoendelea kutoa ushauri na ambao bado wanaendelea kufanya hivyo ili tuweze kupata muswada na sheria iliyo bora kwa manufaa ya jamii na masilahi ya Taifa,” alisema na kuondoka kwenda kurudisha fomu za udhamini wa kuwania urais CCM . Hata hivyo, Profesa Mwandyosa alisema, pamoja na kuahirisha muswada huo hadi Bunge la 11, bado Serikali haioni kuwa ulikuwa wa dharura kama wengine wanavyodai kwa kuwa ulichapishwa awali Februari 20 na kusomwa kwa mara ya kwanza katika vikao vya Machi hadi Aprili. Alisema siku zote mchakato wa kutunga sheria nchini ni shirikishi na Serikali inapotunga sheria hizo huangalia manufaa mapana ya jamii na masilahi ya Taifa. Kuondolewa kwa muswada huo uliotakiwa kusomwa leo, katika msululu wa miswada iliyotakiwa kujadiliwa na kupitishwa katika Bunge hili, ni ushindi wa awali kwa wadau mbalimbali wanaotaka Serikali iahirishe shughuli hiyo hadi Bunge lijalo kuzuia kupitishwa na makosa kutokana na ukweli kuwa akili za wabunge zipo majimboni. Kwa majuma kadhaa, viongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri (TEF) walionekana ‘wakikesha’ katika viwanja vya Bunge ili kuishawishi Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Spika wa Bunge, Anne Makinda wauondoe katika ratiba ya sasa.

Mwandosya amuita Lowassa kambi yake

Dodoma. Profesa Mark Mwandosya, ambaye anawania kuteuliwa na CCM kugombea urais, amemtaka Edward Lowassa kujiunga na kambi yake kwa kuwa makada wengine wanne kwenye mbio hizo wanamuunga mkono. Hata hivyo, wawili kati ya makada hao wanne wamekana kumuunga mkono. Mwandosya, ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), alisema tayari Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo, Steven Wasira, Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta na waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe wanamuunga mkono na hivyo kumshauri Lowassa kujiunga na kambi yake. “Kama (wagombea) wengi wananiunga mkono, aliyebakia basi atakuwa ni ndugu yangu, rafiki yangu, Edward Lowassa. Naye angesema hivyo ingerahisisha sana kazi ya chama, ingepunguza sana kazi, makundi yangekuwa yameisha,” alisema Mwandosya baada ya kurejesha fomu za kuomba CCM impitishe kugombea urais. “Halmashauri Kuu isingepata shida, Kamati Kuu isingepata shida nadhani tungeweza kufika pale ambako tungefika tarehe 12 (Julai, siku ambayo Mkutano Mkuu wa CCM utamchagua mgombea urais), bila kikwazo, bila makundi,”alisema mbunge huyo wa Rungwe Mashariki jana. Lakini kauli yake imepokewa kwa hisia tofauti na watu hao aliodai wanamuunga mkono, huku kambi ya Lowassa ikizungumzia kauli hiyo kuwa si ya mtu aliye makini kwenye mbio za urais. Jumla ya makada 40 wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25 na chama hicho kina kazi ngumu ya kumpata mwanachama atakayemrithi Rais wa sasa, Jakaya Kikwete ambaye katiba inamzuia kuendelee kuongoza baada ya kumaliza vipindi viwili vya miaka mitano kila kimoja. Mgombea urais wa CCM pia ndio atakuwa mwenyekiti wa chama hicho. Akizungumza mara baada ya kurudisha fomu jana, Profesa Mwandosya alisema mchakato huo umewafanya wanaoomba urais kuwa marafiki zaidi licha ya kupigana vijembe, akisema ingekuwa nchi nyingine wangefanyiana vurugu. Aliwashukuru wagombea wenzake waliotamka hadharani kuwa watamuunga mkono endapo hawatapitishwa na Kamati Kuu ya CCM kugombea urais. “Namshukuru Benard Membe ambaye ametangaza na kuandikwa (kwenye vyombo vya habari) kwamba yeye ameona katika orodha yote ya watu 40, kama si yeye basi ataniunga mkono mimi na yupo tayari kuzunguka nchi nzima iwapo chama kitaniteua kuwa mgombea,” alisema Profesa Mwandosya. “Namshukuru pia Mheshimiwa Pinda, amelizungumzia hili katika vituo kama si kimoja viwili kuwa moyo wake utakuwa na furaha kama Profesa Mwandosya anaweza kuteuliwa na chama.” Alisema pia kuna baadhi ya wagombea wenzake waliochukua fomu wamesema kwa kupitia mameneja wao wa kampeni kuwa nao wanafikiria kumuunga mkono Mwandosya na kwamba jambo hilo limempa faraja kubwa. “Baadhi ya mameneja wa rafiki yangu sana Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira ni kati ya wale ambao wamesema, lakini hawajasema hadharani sasa sijui kama ninatoa siri au,” alisema Mwandosya ambaye alijitokeza mwaka 2005 kuomba ridhaa ya CCM na kushika nafasi ya tatu. “Na sidhani kwamba Mheshimiwa Sitta atakataa... hataniunga mkono. Kama nikiteuliwa basi ni kundi kubwa. Hilo linatosha kabisa kunivusha, lakini yote haya tutategemea vikao na maamuzi ya chama.” Alisema hayo ndiyo matarajio yake na bila shaka ni ya Watanzania wote. “Mimi nimuogope nani tena? Mimi namuogopa Mwenyezi Mungu. Si kumuogopa tu bali ni kumnyenyekea na kumshukuru kwa yote,”alisema Profesa Mwandosya. Bashe anena Lakini kauli hiyo haikuwa nzuri kwenye kambi ya Lowassa. Mjumbe wa kamati yake ya kampeni, Hussein Bashe alimtaka Prof Mwandosya atatafakari mara mbili wito wake. Bashe alisema anafahamu kuwa waliotangaza kumuunga mkono (Profesa Mwandosya) sio wagombea urais kwa sababu nia yao si kuongoza nchi wala chama chao cha CCM. Alisema Membe alitangaza kumuunga Profesa Mwandosya, akiwa mkoani Mbeya na akafanya hivyo tena mkoni Mara, lakini alimuunga mkono Makongoro Nyerere, ambaye pia anawania kuteuliwa na CCM kugombea urais. “Mwandosya anafahamu katika uchaguzi wa mwaka huu kuna wagombea urais, wagombea vikoba, wachekeshaji na watu makini wenye nia thabiti ya kuongoza nchi na chama chetu,” alisema bashe. Chanzo Mwananchi

Ulaya yakataa kuiongeza Ugiriki muda zaidi

Mawaziri wa fedha wa mataifa ya ulaya wamekatalia mbali ombi la Ugiriki la kutaka iongezewa muda zaidi wa kulipa deni lake kutoka Jumanne ijayo. Ugiriki ina hadi Jumanne ijayo kulipa deni lake la zaidi ya dola bilioni moja nukta saba. Serikali ya Uigiriki chini ya Alexis Tsipras ilikuwa imeombamuda wa majuma mawili iliiandae kura ya maoni kuhusu makubaliano yaliyopendekezwa na wakopeshaji wa kimataifa wa nchi hiyo.Ikiwa itaidhinishwa kura hiyo itafanyika tarehe tano mwezi Julai. Awali wagiriki walipiga foleni nje ya mabenki wakihofia kuwa watawekewa masharti dhidi ya kutoa pesa zao. Mwandishi wa BBC mjini Athens anasema kuwa kulikuwa na uvumi kuwa kiwango kipya cha pesa ambacho mtu anaweza kutoa kwa benki kinaweza kuwa euro 80. Bunge la Ugiriki nalo liliandaa kikao cha dharura kujadili pendekezo ya kufanyika kwa kura hiyo ya maoni. Waziri mkuu nchini Ugiriki Alexis Tsipras, anasema kuwa masharti hayo yanayotaka kupunguzwa kwa matumizi ya umma hayawezi kustahimiliwa.Baadaye atakutana na waziri wa fedha wa nchi za ulaya mjini Brussels kuomba kuongezwa muda zaidi wa kulipa kwa mkopo wa sasa wa Ugiriki. Muda unazidi kuyoyoma kwa bwana Tsipras kuwa amelipa deni la dola mbilioni 1.7 kwa shirika la IMF ifikapo jumanne ijayo..

Tuesday, June 23, 2015

MUSSA HASSAN ZUNGU APATA MPINZANI JIMBO LA ILALA

MUSLIM HASSANAL akionyesha FORM ambayo tayari amekwishaijaza na kuirejesha leo Mwanachama wa chama cha Democrasia na maendeleo Chadema jimbo la ilala Bwana MUSLIM HASSANAL leo ametangaza rasmi nia yake ya kumngoa katika kiti cha ubunge mbunge wa jimb o la ilala mh MUSA ZUNGU katika uchaguzi ujao mwishoni mwa mwaka huu. Hayo ameyasema muda huu Jijini Dar es salaam wakati akirudisga Form ya kugombea ubunge katika jimbo hilo la ilala tukio lililofanyika katika ofisi za kanda za chama hicho Akizungumza na wanahabari mara baada ya kurejesha Form hiyo Bwana MUSLIM amesema kuwa lengo lake ni kuhakikisha kuwa Jimbo la ilala linarudi katika hadhi yake ya kuwa jimbo la mfano katika majimbo yote ya Dar es salaam ukizngatia kuwa jimbo hilo ndilo linalobeba Jina la Dar es salaam kwa kuwa na ofisi mbalimbali na kubwa za serikali. “Ukizngumzia uchafu Dar es salaam lazima uitaje ilala,ukigusia ubivu wa miundombinu lazima uitaje ilala,ukitaja wananchi kuishi kwa hali duni lazima uitaje ilala,sasa sisi kama chama tumeamua kuhakikisha kuwa hali hii inafutika na tutalirejesha jimbo la ILALA mikononi mwetu kama ukawa watanipa nafasi ya kugombea katika jimbo hilo”alisema mtia nia huyo anayeonekana kujiamini sana. kinondoni Jijini Dar es salaam. Ameongeza kuwa ukimtizama unawezaa k,udhani yeye sio mtanzania ila kwa ufupi yeye ni mzaliwa wa Tanzania na maisha yake yote amekulia kariakoo,hivyo anajua matatizo ya wananchi wa ilala kwa ujumla,na amejipanga kuhakikisha kuwa anashirikiana na chama chake kwa kupitia ukawa kuwasaidia wananchi hao. Bwana MUSLIM HASSANAL aliwahi kugombea ubunge katika jimbo la kigoma kaskazini uchaguzi uliopita lakini hakufanikiwa kupita ambapo DAVID KAFULILA wa NCCR-MAGEUZI alishinda,ambapo akizunguzimzia hilo amesema kuwa kigoma ndipo walipo babu zake na ndio maana aliwahi kugombea huko lakini kwa sasa anadhani ni muda wa kumuunga mkono KAFULILA kwani bado anastahili kuongoza jimbo hilo.

Chadema yazindua 'Operesheni Amsha Wanawake

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezindua operesheni maalum ya kuwaamsha wanawake nchini kote kwa nia ya kuhakikisha kuwa wanashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 na kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupiga kura nyingi za ndiyo kwa wagombea wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Aidha, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani , Mabele Marando, amewataka wanachama wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika daftari la wapigakura ili kufanikisha kumpeleka Ikulu mgombea atakayesimamishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao unaundwa na Chadema, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na NLD. Akizungumza katika uzinduzi wa operesheni hiyo inayofahamika kama ‘Operesheni Amsha Wanawake Tanzania’, kwenye viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam jana, Marando alisema ni vizuri wananchi wakajitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuacha kusikiliza majungu ya baadhi ya watu dhidi ya Ukawa. Alisisitiza kuwa umoja huo haujateteleka na utasimamisha mgombea mmoja wa urais. Marando alisema madai kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, kuchukua fomu za urais ndiyo sababu Ukawa inatetereka yasiwashitue wanachama kwa kuwa huo ni utaratibu wa chama (CUF)ambao hauhusiani na mipango ya Ukawa. Mkurugenzi wa bendi ya wanawake, Lilian Wasira, aliwataka wanawake wajitokeze kwa wingi kwa kuwa wao ndiyo wenye mchango mkubwa katika kupiga kura. Alisema kuwa uongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umewafanya wanawake kubaki katika maisha ya kimasikini hivyo kupitia bendi hiyo itasaidia wanawake kuchagua rais kupitia ukawa na moja kwa moja kwenda ikulu na kubadirisha maisha yao kwa ujumla. “Mimi ni mwanasheria lakini nimeamua kuimba ili wanawake wanielewe kwa sababu CCM imefilisika. Ikulu Oktoba 25, mwaka huu ni ya Ukawa,”alisema Wasira.

Kamati yakubali kuondoa Muswada wa Habari

Dodoma/Dar. Muswada wa Haki ya Kupata Habari uliokuwa usomwe, kwa mara ya pili Jumamosi wiki hii, uko kwenye hatihati baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kukubali uondolewe na kurudishwa kwa wadau kwa ajili ya kuujadili kabla ya kurudishwa tena bungeni na kusomwa. Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga alisema jana kuwa baada ya kikao na Kamati ya Bunge, wamekubaliana kuwa muswada huo uliokuwa usomwe kwa mara ya pili unatakiwa kupata baraka za wadau. “Kamati ya Bunge ilituita, lakini tuliwaambia yetu. Muswada ni mbovu, haujashirikisha maoni ya wadau na mambo mengi hayaendani na lengo la muswada,” alisema Mukajanga. “Tuliwaambia muswada unakuja kwa mara ya pili, lakini ni bomu, na tumeiomba Kamati ya Bunge kumwambia Spika kuwa, kwa sasa, hakuna muda wa kuujadili, tupate muda wa kuujadili zaidi, ufanyiwe kazi kikamilifu,” alisisitiza. Hata hivyo, Mukajanga alisema kuwa Kamati itamshauri Spika kuwa kuna haja ya kuujadili pamoja na kutoa muda zaidi wa kuufanyia kazi na hakuna sababu ya kuukimbiza kupitishwa. Kwa upande wake Deus Kibamba alisema muswada huo utabana uhuru wa upatikanaji wa habari na kwamba kuruhusu kupitishwa kwa muswada huo, kutaviweka vyombo vya habari na waandishi wa habari katika wakati mgumu kutokana na sheria na kilichomo kwenye muswada wenyewe. Alipoulizwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kuhusu makubaliano kati ya MCT na Kamati ya Bunge ya Jamii, alisema wanasubiri taarifa kwa kuwa lazima mwenyekiti wa kamati amweleze Spika sababu za kuurudisha kwa wadau ndipo atoe uamuzi. “Kamati haina mamlaka ya kurudisha muswada kwa wadau,”alisema Dk Kashililah. Moat waisihi Serikali Wakati MCT pamoja na wadau wa habari wakikutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, jijini Dar es Salaam kilifanyika kikao cha wamiliki wa vyombo vya habari ambao wameiomba Serikali kuuondoa bungeni muswada huo hadi hapo watakaposhirikishwa, kwani ukipitishwa kuwa sheria utawanyima wananchi haki ya kupata habari. Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (Moat), Reginald Mengi aliwaambia waandishi wa habari, baada ya kikao hicho kwamba, muswada huo ukipitishwa kuwa sheria, utavinyima uhuru wa usambazaji habari vyombo vinavyomilikiwa na watu binafsi, kitendo ambacho ni kinyume na Katiba ya nchi. “Ibara ya 5 ya Katiba inasema kila mtu ana haki ya kupata taarifa zilizopo chini ya mamlaka na kwamba kila mwenye taarifa atatoa kwa umma taarifa ambayo iko chini ya mamlaka yake,” alisema Mengi. Alisema cha kushangaza katika ibara ya 18 ya muswada huo, kuna taarifa nyingi ambazo haziruhusiwi kutolewa zikielezwa kuwa ni kwa maslahi ya Taifa na anayekiuka na kuziandika habari hizo atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia atafungwa jela miaka isiyopungua mitano. “Huo ni mkanganyiko usioeleweka na kwa maoni yangu Serikali inajaribu kuzima uhuru wa kukusanya na kusambaza habari kwa wananchi; waandishi wengi watafungwa kama muswada huo utapitishwa kuwa sheria,” alisema Mengi. “Kuna haraka gani kupitisha sheria inayobana uhuru wa vyombo vya habari? Tunajiuliza Serikali inataka kuficha nini?” alihoji. Naye, Mfanyabiashara maarufu, Rostam Aziz anayemikiki vyombo vya habari vya New Habari (2006) Ltd, alisema muswada huo ni mbaya na utazaa sheria mbaya, hivyo ameiomba Serikali kuuondoa kwani unahitaji kuangaliwa upya na wadau ili wapate fursa ya kutoa maoni yao. “Muswada huu utaturudisha nyuma kama taifa, hivyo hakuna haja ya kujadili kifungu kimoja kimoja kwani vingi vina athari kwa wadau wa wahabari na wananchi. Tunaomba Serikali iuondoe bungeni muswada huu,”alisihi. Mkutano huo ulihudhuriwa pia na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communication Ltd (MCL), Francis Nanai na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba. Akitoa ufafanuzi wa muswada huo, Mwanasheria kutoka Kampuni ya Maleta and Ndumbalo Advocate, Dk Damas Ndumbalo alisema katika muswada huo kuna mambo mengi yanatajwa kama yenye maslahi kwa Taifa ambayo hayatatakiwa kutolewa kama taarifa. Miongoni mwa taarifa ambazo zina maslahi kwa Taifa ambazo hazitakiwi kuripotiwa ni yoyote itakayoathiri uendeshaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC). Kwa mujibu wa Dk Ndumbalo, muswada huo ukiwa sheria, utakuwa kikwazo kwa waandishi wa habari kutekeleza majukumu yao. Akifafanua zaidi, Dk Ndumbalo alisema kifungu cha 11 na 12 cha muswada huo kinatoa muda wa siku 30 mamlaka husika kukupa taarifa ulizoomba. “Siku zote thelathini unasubiri taarifa uliyoomba, sasa hiyo itakuwa bado habari?”alihoji.

Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

Sengerema. CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25. Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa. Neno “bao la mkono” hutumiwa kama goli lililofungwa kwa kuupiga mpira kwa mkono kinyume cha taratibu za mpira, lakini hukubaliwa kwa kuwa mwamuzi anakuwa hajaona kitendo hicho. “Rangi inayoenda Ikulu ni hii (anaonyesha shati lake la kijani ambayo hutumiwa na chama hicho). Tuna uhakika na ushindi wa Rais. Kwa namna yoyote ile, CCM itarudi Ikulu hata kama ni kwa bao la mkono... bao ni bao tu ili mradi refa hajaona,” alisema Nape. Nape, aliye kwenye ziara ya katibu mkuu wa CCM, aliwataka wananchi wa Sengerema kusubiri ushindi wa chama hicho na kuwakumbusha kuwa wanapaswa kuiweka CCM kuanzia udiwani mpaka ubunge kwa nafasi ya urais tayari kuna uhakika. Katika mkutano huo, Nape alisema ana uhakika CCM itashinda baada ya kushuhudia mwitikio wa Watanzania tangu alipoanza kuongozana na Kinana katika ziara zake za kuizunguka nchi na kuzungumza na wananchi pamoja na kusikiliza kero zao. Amebainisha kuwa amejifunza na kujiridhisha kuwa chama chake bado kinapendwa miongoni mwa wapigakura waliofikiwa tofauti na vyama vya upinzani. “Tumefika maeneo mengi ambayo upinzani haujafika. Huko tuna hazina kubwa ya wanachama. Hakuna namna Ukawa wanaweza kuingia Ikulu mwaka huu,” alisisitiza. Wapinzani waja juu Kauli hiyo ya Nape ilipingwa na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani waliosema kuwa mtendaji huyo anamaanisha kuwa CCM itaiba kura. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa hakutaka kabisa kuzungumzia kauli ya Nape zaidi ya kusema watakutana Oktoba. “Kwa bahati mbaya kauli za Nape siwezi kuzijibu. Kauli za Nape zichukue kama zilivyo, ingekuwa ni (katibu mkuu wa CCM, Abdulraham) Kinana, ningemjibu lakini ajue kuwa tutakutana Oktoba,” alisema Dk Slaa alipoulizwa na Mwananchi kuhusu suala hilo. Chanzo:mwananchi.co.tz

Sunday, June 21, 2015

Mwandishi wa aljazeera akamatwa Ujerumani

Kituo cha runinga cha Al Jazeera kinasema kuwa mmoja wa waandishi wake wa habari amekamatwa nchini Ujerumani kufuatia ombi la Misri. Ahmed Mansour, ambaye anafanya kazi na idhaa ya kiarabu ya al Jazeera alizuliwa alipojaribu kupanda ndege kutoka Berlin kwenda nchini Qatar. Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa bwana Mansour amezuiliwa kufuatia waranti ya kimataifa ya kutaka akamatwe kutoka kwa utawala nchini Misri. Mahakama nchini Misri ilimhukumu Mansour kifungo cha miaka 15 jela kutokana na mashtaka ya mateso. Aljazeera imeyataja mashtaka hayo kuwa ya uongo.

Saturday, June 20, 2015

Prof Lipumba ampongeza rais Kikwete kwa kufanikiwa kuimarisha ofisi ya CAG.

Dar es Salaam. Viongozi wa vyama vya siasa vya CUF, NCCR-Mageuzi, NLD na ACT-Wazalendo wameitupia lawama Serikali kwa kushindwa kutekeleza maagizo yanayotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Wakizungumza kwenye mdahalo wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kuhusu masuala ya Sera juzi jijini hapa, viongozi hao Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Mwenyetiki wa NLD, Dk Emmanuel Makaidi na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe walisema kuwepo kwa mfumo mbovu serikalini na kukithiri kwa rushwa ndiyo chanjo cha kupuuzwa kwa ripoti za CAG. Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi maalumu wa miaka mitano ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo ya CAG, imeeleza bayana kumekuwepo na ufisadi wa takribani Sh600 bilioni zilizochotwa katika matumizi mbalimbali ambayo hayana maelezo ya kutosha. Ripoti hiyo maalumu inaonyesha kuwa uovu huo umekuwa ukiwezekana kutokana na mapendekezo ya CAG ya kuziba mianya ya upotevu wa fedha, kutofanyiwa kazi. Akifungua mdahalo huo, Mwenyekiti wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi nchini (CEOrt), Ali Mufuruki alisema kuwa awali mdahalo huo uliwalenga wagombea kiti cha urais, lakini kwa kuwa wengi walishindwa kushiriki kwa sababu mbalimbali, sasa utaitwa mdahalo wa uchaguzi mkuu kuhusu sera. “Ni matumaini yetu kuwa kushiriki mdahalo kwa njia hii kutaleta ujumbe ule ule tuliokuwa tumeukusudia kutoka kwa waliotangaza nia, ambapo masuala ya uchumi, utawala bora na utawala wa sheria yatakuwa msingi wa mazungumzo,” alisema Mufuruki. Akijibu swali kuhusu kupuuzwa kwa ripoti za CAG, Zitto alisema kuwa ili kazi ya CAG iwe bora ni vyema idara za Polisi, Mwendesha Mashtaka wa Serikali (DPP) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) zishirikishwe katika kuchukua hatua zinazostahili. “Kuijadili ripoti ya CAG pekee yake haitoshi. Tatizo hili linatokana na kuwepo kwa mfumo wa kuiwajibisha Serikali, wananchi wanahitaji wafahamu wabunge wanatakiwa kuunda kamati nzuri ya kukagua hesabu za serikali,”alisema Zitto. Kwa upande wake Mbatia alisema ripoti za CAG zimekuwa zikiibua madudu yanayofanya Serikalini lakini hakuna mhusika anayechukuliwa hatua yoyote. Akitolea mfano, alisema kuwa fedha zilizotajwa na CAG kupotea mwaka zikigawanywa kila mstaafu anayeidai Serikali angelipwa Sh800, 000. Mbatia alisema ‘dawa’ ya kuidhibiti serikalini bungeni ni kwa kuhakikisha kuwa hakuna chama kinachokuwa na zaidi ya asilimia 40 ya wabunge wote. Alisema kwa kufanya hivyo, wabunge watakuwa na nguvu ya kutoa maamuzi ya pamoja. “Jiulize kwanini mapato yasiyo ya kodi yanazidi kushuka wakati bajeti inazidi kuongezeka. Hakuna nidhamu ya matumizi, hii ya kutengeneza bajeti ni kuwadanganya Watanzania,” alisema Mbatia. “Nafikiria kwa hali ilivyosasa tuweke watu ambao si wala rushwa na kupunguza nguvu ya CCM. Ndani ya Bunge watu wanapokea rushwa hawawezi kutekeleza ripoti ya CAG,” alisema Makaidi na kuongeza kuwa hata bajeti zinazoandaliwa bungeni huanza ‘kutafununwa’ siku ya pili baada ya kupitishwa kutokana na kukithiri kwa rushwa. Akitumia dakika zake tatu kuelezea msimamo wa chama chake kuhusu ripoti za CAG, Profesa Lipumba alisema kuwa pamoja na Rais Jakaya Kikwete kunyooshewa kidole kwa kushindwa kutekeleza mambo kadhaa, anampongeza kwa kufanikiwa kuimarisha ofisi ya CAG. “Jambo kubwa sasa ni kwa taarifa hizo kufanyiwa kazi. Katika kesi za Escrow kuna makosa ya wazi, lakini mpaka sasa watu hawajawajibishwa,” alisema Profesa. Kuhusu ajira Pia, viongozi hao wa vyama waliulizwa watatumia mikakati gani kupunguza tatizo la ajira nchini iwapo watapewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi. Mbatia ambaye pia ni mbunge wa kuteuliwa ndiye aliyekuwa wa kwanza kujibu swali hilo kwa kusema kuwa sekta binafsi ikishirkiana na Serikali ina nafasi kubwa kuhakikisha kuwa ajira zinapatikana. Suala la kuwapa wazawa nafasi ya kwanza liliibuliwa na Dk Makaidi, aliyesema kuwa sera ya vijana inapaswa kuweka kipaumbele kwa wazawa kwa kuwa kufanya hivyo siyo kuhubiri ubaguzi. Kwa upande wake mtaalam wa uchumi, Profesa Lipumba alisema chama chake kitatumia fursa ya kijiografia iliyopo nchini kwa kuhakikisha bandari zinatumika vizuri kuhudumia nchi jirani na hivyo kuongeza ajira kwa wananchi. Zitto, alisema itakapofika mwaka 2030 Tanzania itakuwa na vijana milioni 36, na ongezeko hilo linahitaji kufanyiwa maandalizi. Chanzo: gazeti la mwananchi

CHURCHES “PROPHETIC VOICE” WILL BE BUSY IN 2015

As head of policy at Christian Aid, a key member of the ACT Alliance (ACT), Alison Kelly has an eye on sustainable development in what is seen as the prophetic voice of the church, which has a busy year in 2015. “We often talk of the prophetic church, and we are clear in articulating our understanding of a world ‘where all shall be included in the feast of life’. But is it now time also to be more prophetic not only about the what, but also the how?” she asked at a recent meeting. Kelly questions if those involved with the prophetic voice can really say they are using all their resources and talents to the best effect to help marginalized and vulnerable communities across the world link with the power structures that affect their lives. She notes that 2015 is a momentous year, marked by a series of summits and global meetings in which decisions taken by political leaders globally - “or by their inaction and lack of political will” - will shape our world for the foreseeable future. Early on, the World Conference on Disaster Risk Reduction took place in Japan, in March. Then in July many of the world’s political and business leaders will fly into Addis Ababa for the third Global Summit on Financing for Development. “This meeting is critical in that what is agreed here will affect all the other global agreements on development and climate,” explains Kelly. “Across all these summits and the long processes to get to them, there has been strong faith-based advocacy, significant civil society engagement and imaginative campaigning.” ACT, the World Council of Churches (WCC), the World YWCA (W-YWCA) and their members have been actively involved, and often lead, such initiatives “aiming to influence these agreements to shape a better world”. September will see world leaders jet into New York for the United Nations General Assembly, which many hope will adopt a new set of Sustainable Development Goals that includes 17 goals and 169 targets for 2015 – 2030. “October will see the Global Forum on Migration and Development in Istanbul – perhaps a bit lost in the midst of all the other global events, but also ever more important in the current context,” said Kelly. The year will end with the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) COP in Paris that is intended to sign a binding global deal to go into effect in 2020. That will limit global greenhouse emissions fairly across nations to prevent global warming above 2 degrees. Kelly noted, “The year 2015 may end in December, but the global summits don’t stop there, as 2016 will see the World Humanitarian Summit [in Istanbul] and the UN Special Session on Drugs and Development.” The Ecumenical Strategic Forum has a new format and a new configuration in which the fellowship are called to discuss critical issues and strategies for our response as churches, councils and ecumenical partners. The first meeting took place 21-22 May and was convened by the WCC in close cooperation with the ACT Alliance.

Stronger engagement makes the Lutheran communion tangible

General Secretary Junge’s report to Council GENEVA, 18 June 2015 (LWI) - The Lutheran World Federation (LWF) must continue to grow in its dynamic engagement that has enabled Lutherans to serve millions worldwide and deepen relationships that make the communion tangible, LWF General Secretary Rev. Dr Martin Junge has urged. Delivering his report to the Council, the LWF’s governing body between assemblies, on the opening day of its 18-22 June meeting in Geneva, Junge said there was no reason for the LWF to pause in its growth. “Because we are seeing millions of eyes looking to the LWF as a source of hope and empowerment, there is no reason for us to turn our back on them while becoming occupied with ourselves,” Junge said. In his wide-ranging report on LWF’s work over the last one year, the general secretary offered highlights from the different activities that affirmed the communion’s vibrant witness in the world. He said many churches face the challenge of providing theological education for lay people and pastors in changing realities and contexts, thus calling for innovative approaches. Junge noted that during his extensive travels to visit member churches, he had encountered many individuals, scholarship holders, volunteers and church leaders whose encounters with LWF were life-changing and faith-growing experiences. “The LWF adds something very fundamental to the way of being a believer, and the way of being the church. The LWF offers a dimension, which churches and people on their own wouldn’t be able to see and grasp,” he emphasized. Growing mutuality On LWF’s humanitarian aid and long-term development work, Junge said that service to refugees and those in crisis in countries such as South Sudan, Syria and the Central African Republic had touched 2 million lives, an 80 percent increase over two years. Collaboration has increased with longstanding partners, notably the United Nations High Commissioner for Refugees, and there are new agreements with organizations such as the Islamic Relief Worldwide. During this time of growing service, the Lutheran communion has supported capacity training and development programs for member churches and LWF-supported projects in 54 member churches. There is vitality in the communion, for which Lutherans must thank God, Junge said. “How else can one explain the growing mutuality between member churches, their working together to serve refugees, the displaced and marginalized?” he asked. Reformation anniversary The general secretary’s report also focused on activities related to the 500th Reformation anniversary and the Twelfth Assembly. H mentioned the ongoing “Women on the Move” initiative celebrating women’s contribution to the Reformation; and the Global Young Reformers’ Network and its international conference this August. He thanked LWF’s ecumenical partners for the ongoing collaboration in bilateral dialogues and for supporting “LWF’s commitment to approach the Reformation anniversary with a sense of ‘ecumenical accountability.’”. Challenges and moving forward Still, there are financial and relationships-based challenges that the LWF must continue to deal with, Junge said. Referring to the Augusta Victoria Hospital in East Jerusalem, he reported a much improved financial situation. He stressed the need to proactively address the financial market volatility that threatens LWF’s sustainability. Junge emphasized the need to continue envisioning vitality in the Lutheran communion, despite challenges along the way. “Because we have journeyed thus far and continue to grow and move dynamically every day, step by step, there is no reason to press the pause button now,” he added. One of the documents that the Council will discuss this week is the “The Self-Understanding of the Lutheran Communion,” which the general secretary also mentioned in his report.

World Refugee Day 2015 – Ordinary people living through extraordinary times

Many people who are today refugees once had relatively ordinary lives. They went to school, pursued careers, played sports, worshipped, farmed, enjoyed the company of family and friends and dreamed of bright futures. Until the moment natural disaster, conflict or persecution forced them to flee. The World Refugee Day 2015 theme "Refugees. Ordinary people living through extraordinary times" calls on people living in peace and stability to remember that shared humanity. The Lutheran World Federation provides relief to refugees and internally displaced people. The LWF World Service has programs in 32 African, Asian and Latin American countries, touching the lives of more than 2 million people in some of the most challenging environments. LWF support will never replicate what people once had but it does enable them to live in as dignified a manner as possible. To make this happen, we need your continued financial support.

Misa ya waliouawa yafanyika Charleston

Maelfu ya watu wamehudhuria misa katika mji wa Charleston jimbo la South Carolina nchini Marekani kuwakumbuka waamerika tisa weusi ambao waliuawa kwa kupigwa risasii na jamaa mmoja mzungu walipokuwa kwenye mafunzo kanisani. Wakishikana mikono waombolezaji waliimba nyimbo za kujifariji. Viongozi wa wakirsto na wayahudia wametaka kuwepo amani Mapema mshukiwa Dylann Roof alifikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka tisa ya mauaji Mmoja wa marafiki zake Christon Scriven aliiambia bbc kuwa, Roof alikuwa amesema kuwa angewaua wanafunzi katika chuo kilicho karibu lakini alitulia baada ya kuhojiwa .

Friday, June 19, 2015

Jaji Ramadhani awavuruga wagombea urais CCM

Dar es Salaam. Hatua ya Jaji Mkuu wa zamani wa Tanzania, Augustino Ramadhani kujitosa kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais imewavuruga wagombea wenzake wa urais na kuibua mjadala mzito katika maeneo mbalimbali nchini. Mitandao ya kijamii ilijaa mijadala inayohusu kuingia kwake katika kinyang’anyiro hicho, huku baadhi ya wapambe wa wagombea wakieleza wazi kukatishwa tamaa na mgombea huyo ambaye wasifu wake unaonyesha ana sifa za ziada zaidi ya baadhi ya wagombea. Miongoni mwa hoja zilizoibuliwa ni sifa ambazo CCM huzitumia bila kuzitaja, hasa kile kinachoitwa zamu kati ya Bara na Zanzibar na nyinginezo, ikielezwa kuwa akihitajika mgombea kutoka Zanzibar kumrithi Rais Jakaya Kikwete, Jaji Ramadhani anaonekana kufaa zaidi. Katika mijadala hiyo, wapo waliohusisha hukumu alizowahi kuzitoa akiwa Jaji na baadaye Jaji Mkuu kwamba zililenga kukibeba chama hicho tawala kwa sababu anaonekana alikuwa na mapenzi nacho siku nyingi lakini wengine walieleza kuwa hawaoni tatizo kwa jaji huyo ambaye ni Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Jaji Ramadhani ajibu hoja Wakati maoni ya wananchi yakitofautiana juu ya hatua ya Brigedia Jenerali huyo mstaafu kuchukua fomu, mwenyewe aliliambia gazeti hili jana kwamba kwa sasa si jaji tena, hivyo ana haki ya kugombea urais na hakuna kanuni wala sheria inayomzuia. Alitoa ufafanuzi huo baada ya kuulizwa swali kuhusu Ibara ya 113A ya Katiba ya Tanzania inayotajwa kumzuia, ikisema; “Itakuwa ni marufuku kwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji wa Mahakama Kuu, Hakimu wa ngazi yoyote kujiunga na chama chochote cha siasa, isipokuwa tu kwamba atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba.” “Ukisoma Ibara hiyo inasema kama mhusika ni jaji. Mimi huko nimeshaondoka sasa nitashindwa kugombea kwa lipi? Wacha watu waibue mambo tu, lakini hata ukisoma Katiba utaona mwenyewe wao wanazungumzia past tense (wakati uliopita), sasa tunazungumzia present tense (wakati uliopo),” alisema. Kuhusu mapenzi kwa CCM yanayoweza kuathiri utendaji, Jaji Ramadhani alihoji, “Hukumu gani niliipendelea? Hakuna kitu kama hicho. Kuanzia 1961 tulivyopata uhuru, majaji hawakuwa kwenye chama? Sasa kuna ajabu gani mimi kuwa katika chama maana kipindi hicho kulikuwa na chama kimoja tu, watu wote walikuwa katika chama si majaji tu. “Zamani (wakati wa chama kimoja), ulikuwa huwezi kupata kazi ya aina yoyote kama wewe si mwanachama. Leo ajabu ni mimi tu. Hata wanahabari ilikuwa lazima wawe wanachama.” Jaji Ramadhani ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, juzi mchana alichukua fomu kuwania nafasi hiyo ya kuongoza Serikali ya Awamu ya Tano huku akisema; chema chajiuza, kibaya chajitembeza. Katika maelezo yake alisema alikuwa mwanachama wa Umoja wa Vijana wa Tanu tangu Agosti, 1969 wakati huo akiwa mwanafunzi wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alisema alipotuma maombi ya kujiunga na jeshi alitakiwa kuwa mwanachama wa Tanu ndipo ajiunge na jeshi na baada ya kufanikiwa kupata kadi ya Tanu aliendelea kuwa mwanachama wa CCM hadi mwaka 1992. Alisema wakati mfumo wa vyama vingi vya siasa ulipoanza na Katiba kukataza majaji kuwa wanachama wa vyama vya siasa, alijiondoa CCM na alirejea alipostaafu ujaji mwaka 2011. Wanasheria wampinga Hata hivyo, Makamu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasheria nguli, Profesa Abdallah Safari alisema: “Anajipa moyo tu. Nchi zilizopo katika Jumuiya ya Madola, ikiwamo Tanzania, zinazuia majaji kujiingiza katika shughuli za siasa, japo wanatakiwa kufanya shughuli nyingine, ikiwamo kufundisha. “Haki ili itendeke lazima ionekane. Inakuwaje Jaji anakaa mahakamani na baadaye kuamua kujitosa katika siasa. Akifanya hivyo inatafsiriwa kwamba akiwa jaji alikuwa akikilinda chama alichopo sasa.” Profesa Safari alitolea mfano hukumu ya Jaji Ramadhani na wenzake sita katika kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila ya kutaka Mahakama itambue mgombea binafsi na kusisitiza kuwa ilipingwa na wananchi, akiwamo Jaji Mkuu aliyemtangulia, Barnabas Samatta. “Jaji Samatta aliiponda hukumu ile na kufanya Jaji Ramadhani na wenzake waonekane hawakufanya kitu. Watu walihoji iweje majaji wote saba wawe na mtazamo wa pamoja labda walikuwa wakiilinda CCM,” alisema Profesa Safari na kusisitiza kuwa uamuzi wake wa sasa utawashangaza majaji wa nchi za Jumuiya ya Madola. Mhadhiri wa Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Jesse James alisema: “Uamuzi wake unaleta utata. Hakuna sheria inayombana ila inaonekana kama aliendelea kubaki na kadi ya CCM au mapenzi na chama hicho kipindi chote cha ujaji wake.” Alisema kwa sasa Jaji Ramadhani yupo Mahakama ya Afrika na jambo hilo halileti picha nzuri kwa demokrasia nchini. “Tunaonekana hatuheshimu misingi ya sheria. Hii inaweza kuleta picha kwamba Serikali inatumia watendaji wake kwa masilahi ya chama.” Jesse alitolea mfano jinsi Rasimu ya Katiba ya iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilivyopendekeza muda wa miaka mitano kwa watumishi wa Serikali kujiingiza katika siasa lakini kipengele hicho kikaondolewa licha ya kuwa na maana kubwa. Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Bashiru Ali alisema hakuna tatizo kwa Jaji Ramadhani kugombea urais, akitolea mfano Jaji Mark Bomani kuwa aliwahi kujitosa kuwania urais wakati amewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). “Kwa sasa Jaji Ramadhani si jaji tena, hivyo ana haki zote za kugombea urais. Kama angekuwa jaji, polisi au mwanajeshi angejiuzulu na kuingia katika siasa lakini kwa sasa hayupo tena huko,” alisema Bashiru. Mtaalamu wa Lugha ya Kiswahili, Dk Aldin Mutembei alisema, “Katiba inamruhusu kugombea ni haki yake. Katiba ya CCM Kwa mujibu wa Katiba ya CCM Ibara ya 7, raia yeyote wa Tanzania mwenye umri usiopungua miaka 18, anaweza kuwa mwanachama wa chama hicho iwapo anakubali imani, malengo na madhumuni yake.

Madada 3 wa Bradford waliingia Syria

Madada watatu kutoka mjini Bradford nchini Uingereza na watoto wao tisa wanaohofiwa kusafiri kuelekea nchini Syria wamevuka mpaka ,mfanyibiashara mmoja wa kusafirisha bidhaa kwa njia ya magendo mpakani ameiambia BBC. Mfanyibiashara huyo wa kundi la Islamic State ambaye anasimamia mipaka inayodhibitiwa na kundi hilo amesema kuwa familia hizo ziligawanywa katika makundi mawili ili kuvuka mpaka na kuingia Syria. Amesema kuwa kundi la kwanza lilivuka mpaka mapema siku ya jumatano na la pili likaelekea siku ya Alhamisi. Madada hao Khadija,Sugra na Zohra Dawood pamoja na watoto wao tisa walitoweka baada ya kusafiri nchini Saudia. Siku ya Jumanne,waume zao walitoa ombi wakiwataka wake zao kurudi nyumbani. Mwandishi wa BBC Paul Wood,ambaye yuko katika mpaka wa Uturuki na Syria amesema kuwa alizungumza na mfanyibiashara huyo ambaye alithibitisha kuvuka kwa madada hao. Amesema kuwa habari hizo zinaingiliana na taarifa kwamba mmoja ya madada hao Zohra alituma ujumbe kwa njia ya simu kwa familia yake na kusema kwamba alikuwa nchini Syria,lakini hakusema ni wapi haswa alipo.

Monday, June 15, 2015

Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan

Rais Omar al Bashir wa Sudan amewasili mjini Khartoum Sudan kutoka nchini Afrika Kusini. Rais Bashir amekariri kuwa hana hatia yeyote wala hajui kwanini mahakama ya kimatiafa ya ICC inasisitiza kumchafulia jina. Shirika la habari ya AFP limemnukuu rais Bashir akifoka ''Allah Akbar'' aliposhuka kutoka kwa ndege iliyombeba. Aidha aliinua mkongojo wake juu na kushabikiwa na wafuasi wake. Waziri wa maswala ya kigeni wa Sudan Ibrahim Ghandour aliwaambia waandishi wa habari kuwa serikali ya Afrika Kusini ilikuwa imemkariria rais Bashir kuwa kuwepo kwake mjini johannesburg ilikuwa ni tukio la kushabikiwa na lenye heshima kubwa kwa hivyo hakukuwa na uwezekano wowowte wake kukamatwa. Rais Huyo alikuwa ameratibiwa kuhutubia umma lakini kinasa sauti kikaharibika na akaondoka. Rais bashir aliingia katika gari lake lililowazi na akaondoka uwanjani huku akishabikiwa na wafuasi wake. Awali kuondoka kwake nchini Afrika Kusini kulikumbwa na atiati, baada ya mahakama moja kuamuru rais huyo asiondoke nchini humo hadi mahakama hiyo itakaposikiza kesi na kuamua iwapo atakamatwa na apelekwe mjini the Hague Uholanzi au la. Awali Mwandishi wa BBC aliyeko Afrika Kusini Nomsa Maseko, alisema kuwa ndege ya rais al Bashir ilijazwa mafuta jana usiku na kuwekwa mstari wa mbele tayari kabisa kuondoka katika uwanja wa ndege wa kijeshi. Rais Bashir aliondoka licha ya kuwepo amri ya mahakama ya kumzuia kuondoka nchini humo hadi kesi dhidi yake itakaposikizwa na kuamuliwa. Mahakama hiyo ilikuwa inapaswa kuamua ikiwa Bwana al-Bashir atakabidhiwa mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC yenye makao yake mjini Hague Uholanzi ilikukabiliana na mashtaka ya uhalifu wa kivita na mauaji yahalaiki yanayomkabili . Majaji watatu waliokuwa wanasikiza kesi hiyo dhidi yake wamemtaka waziri wa usalama wa ndani nchini humo kueleza ni vipi rais Bashir aliruhusiwa kukaidi amri ya mahakama .

Saturday, June 13, 2015

WCC EXECUTIVE COMMITTEE GATHERS IN ARMENIA TO MAP THE ECUMENICAL PILGRIMAGE

Introducing 2015 as “a sacred year in the life of our people and our land,” His Holiness Karekin II, Supreme Patriarch and Catholicos of all Armenians, welcomed the 20-member Executive Committee of the World Council of Churches (WCC) to the Mother See of Holy Etchmiadzin at the start of their semi-annual meeting that is taking place from 8 to 13 June. A traditional site of pilgrimage at the spiritual and historic heart of the Armenian Apostolic Orthodox Church, Etchmiadzin (or Vagharshapat, Republic of Armenia) is attracting large number of visitors this year in commemoration of the 1.5 million martyrs who died during the Armenian Genocide beginning in 1915. Patriarch Karekin II, a president of the WCC since 2013, extended his blessing on the work of the council and its executive committee. He pledged his church’s support in the quest for unity and expressed his people’s desire to “take the hand of victims” amid the world’s conflicts today, “particularly when religious extremism leads to violence.” WCC Moderator Agnes Abuom expressed the executive committee’s gratitude at having been invited and generously welcomed to Armenia at this significant time both in the life of the nation and in the World Council of Churches as it undertakes the “pilgrimage of justice and peace” mandated by 10th Assembly of the WCC at Busan, Korea in 2013. She and the WCC’s two vice-moderators, Metropolitan Gennadios of Sassima and Methodist bishop Mary Ann Swenson, shared recollection of commemorations of the Armenian anniversary in many parts of the world. Under Abuom’s leadership, the executive committee will review reports from programme areas and consultative bodies, consider drafts of statements on public issues, share information from their own churches and regions, as well as beginning discussion of the process for election of a new executive committee in the summer of 2016. The executive committee is scheduled to approve a policy defining clear criteria for introducing new projects in the context of the strategic plan of the WCC. One example for discussion is the integration of the formerly independent Ecumenical Advocacy Alliance into the ongoing work of the council. Additions and alterations in policy and programming will be addressed within the framework of priorities arising from commitment to a pilgrimage of justice and peace. Having approved a balanced 2015 budget for the council at their meeting last year, the executive committee will examine amendments that had to be made in the Geneva offices because of an unforeseen adjustment by the Swiss National Bank to exchange rates for the Swiss franc. A feature of the opening day was a report on events of the past year by WCC general secretary Rev. Dr Olav Fykse Tveit. He analysed the council’s work in addressing climate change, peace processes among a variety of nations, the search for economic justice and interfaith cooperation and mutual commitments. Throughout his remarks, Tveit held up the “unifying motif of the Pilgrimage of Justice and Peace” as a reminder to Christians that “we are called to move together in faith.” He continued, “Sharing together the richness of being in communion with the triune God and with one another, we find new ways to move forward. The presence of God in the world, particularly among the marginalized, oppressed, poor and victims of injustice and war, is to be explored in our shared pilgrimage of justice and peace.” Thanking the committee’s hosts in Armenia and noting the significance in honouring the martyrs of one hundred years ago, Tveit recalled that “the WCC was one of the first international organizations to recognize the tragedy as a genocide, making that declaration during the 6th Assembly at Vancouver in 1983.”

Afrika yatakiwa kutotegema misaada

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema wakati umefika kwa mataifa ya Afrika kukoma kutegemea misaada kutoka mataifa ya nje. Kwenye ujumbe alioutuma katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter, rais Kenyatta amesema misaada hiyo ya kigeni mara nyingi huwa na vikwazo na masharti ambayo yanakandamiza. Ameongeza kusema kuwa hatma ya bara la afrika siku zijazo haipaswi kuwa mikononi mwa mataifa ya magharibi ambayo mara nyingi huweka maslahi yao kwanza. Kenya hutegemea mabilioni ya dola kila mwaka yanayotolewa na mataifa ya kigeni na katika bajeti ya mwaka wa 2015-16 waziri wa fedha wa Kenya alijumuisha misaada kutoka nje katika makisio ya serikali ya mwaka huu.

SOUTH SUDAN COUNCIL OF CHURCHES BACKED BY WCC IN PEACE BID FOR WAR-TORN COUNTRY

The executive committee of the World Council of Churches (WCC) discussed at their meeting 8-13 June the alarming situation in South Sudan where people continue to be killed, raped, displaced and tortured. The humanitarian situation is reported to be deteriorating. The tragic conflict in South Sudan has moved into its 18th month, and the World Council of Churches (WCC) has pledged its support of the church leaders in the country making a commitment to work for peace. Twenty-five leaders and representatives from the member churches of the South Sudan Council of Churches gathered in Kigali, Rwanda for a retreat from 1 to 7 June 2015 along with members of the laity, the World Council of Churches and partners to reflect and propose a plan to achieve peace and reconciliation in South Sudan. “We lament that sustainable peace has not been attained in South Sudan. Peace must be sustained and it must be peace with justice. People’s lives are in danger, the whole country cries out in pain. We pray for the church leaders in their efforts to make peace and reconciliation, and for the conflicting parties to listen to the voice of the church leaders,” said Dr Agnes Abuom, moderator of the WCC Central Committee Abuom added “We are pilgrims and we have to work, walk and pray together. The WCC supports the church in South Sudan during these difficult times. We have a long commitment in the region of more than 40 years and the WCC supports the statement of the church leaders on 7 June. .” The leaders from the South Sudan Council of Churches (SSCC) said in their statement issued on 7 June: “We have repeatedly stated that this is a senseless war which must stop immediately. There is no moral justification to continue killing ourselves, regardless of any legitimate political issues with government or opposition.” They also said in their statement: “A cessation of hostilities must be implemented before any detailed negotiations for the future; it is unacceptable to negotiate posts and positions while people are killing and being killed. Negotiations are about to begin again while innocents continue to suffer. What will be different this time?” The church leaders stated: “The needs of the people must be met, not the needs of political and military elites. It appears that pride, power and politics have become a greater priority than peace.”

Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi

Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki. Upinzani unasema kuwa rais Pierre Nkurunziza hafai kuwania muhula wa tatu. Pia wanataka uchaguzi huo kuahirishwa ,msimamo unaoungwa mkono na viongozi wa eneo hili. Taifa la Burundi limekumbwa na maandamano na majaribio ya mapinduzi yaliofeli tangu rais Pierre Nkurunziza kutangaza mwezi Aprili kwamba atawania muhula mwengine.

WCC LEADERS MEET PRESIDENT SERZH SARGSYAN

On Wednesday 10 June, Armenian President Serzh Sargsyan formally received a delegation led by His Holiness Karekin II, Supreme Patriarch and Catholicos of all Armenians, who introduced the visitingleadership of the Central Committee of the World Council of Churches (WCC): Dr Agnes Abuom, moderator of the WCC Central Committee, Metropolitan Dr Gennadios of Sassima and Bishop Mary Ann Swenson, vice-moderators, and the WCC general secretary Rev. Dr Olav Fykse Tveit. In recognition of centenary observances throughout 2015 and at the invitation of the Catholicos, the 20-member WCC executive committee is holding the first of their two meetings this year near Yerevan at the church centre in the Mother See of Holy Etchmiadzin. The session lasts from 8 to 13 June. President Sargsyan expressed to his guests the importance of the activities of the World Council of Churches, of which the Armenian Apostolic Church has been a member for more than half a century. The president expressed his gratitude for the council’s caring attitude towards issues of Armenian concern, and extended gratitude to the council which officially recognized the Armenian Genocide in 1983. Dr Agnes Abuom said “We are grateful to be here and to commemorate the victims and the martyrs of the Armenian Genocide. The church has been the pillar of strength and brings hope for the future.” Abuom emphasized: “We are grateful that you, the state and the church, working closely together, focus on the needs of the Armenian people. This is a good example. We are all working for peaceful existence and a peaceful world.“ Abuom added, “In this centenary year, we call the international community, the WCC’s member churches and all people of faith and good will to remembrance, and to re-commit to the prevention of genocide and all crimes against humanity.” The Armenian president stressed “the special significance of the Armenian Apostolic Holy Church to our people, which always served as a centre for preservation of national identity in default of Armenian statehood”. According to the president, the state and the church continue to cooperate closely after the restoration of independence to ensure development and prosperity for the Armenian people and the Republic of Armenia. The president also underlined the importance of the WCC mission to work on promoting religious tolerance. Karekin II expressed his gratitude to the president for his constant commitment to the churches and for the courage to lead the nation in tackling all kind of challenges. The leaders of the World Council of Churches thanked President Serzh Sargsyan for the meeting and all the hospitality that has been shown since the delegation arrived in Armenia. The WCC, with its member churches, has participated in several events marking the centenary, including the official commemoration of the 100th Anniversary of the Armenian Genocide and canonization of the martyrs in Yerevan, Armenia, on 21-25 April. The WCC and its member churches will continue to participate in the ongoing centennial commemorations this year throughout the Armenian diaspora, including observances hosted by the Armenian Church’s Holy See of Cilicia in Antelias, Lebanon, on 18-19 July.

YOUNG ECUMENICAL LEADERS EXAMINE RELIGION AND VIOLENCE IN ASIA

Young ecumenical leaders from Asia have met in Siam Reap in Cambodia to examine how religious traditions can offer resources to overcome religious violence in a changing Asian context. Some 25 young Asian ecumenical leaders are engaged in the World Council of Churches (WCC) Youth in Asia Training for Religious Amity (YATRA) programme, from 7 to 20 June. ""The YATRA training is an important emotional and spiritual learning experience," said Marietta Ruhland, WCC staff member and co-organiser of the YATRA programme. "For many of the participants,” she added, “this is the first time they have travelled alone, on a flight, outside their country. But here they have found a second, broader family - that of international ecumenical fellowship." The consultation is organized by the Interreligious Dialogue and Cooperation Programme of the WCC in close cooperation with the Cambodia-based Centre for Peace and Conflict Studies (CPCS). With the support of various WCC member churches in Asia, the YATRA course is designed to equip member churches with a new generation of inter-religiously competent ecumenical leadership Among questions they face is that of religions playing a responsible and response-led role in peace-building and conflict resolution in Asia. They are also looking at how modest yet remarkably resilient stories of hospitality and hope found in several Asian countries engender transformation in situations characterized by religious conflict. "Asia is a region of diversity, hope, promise. Together we face significant challenges in conflict such as the Stateless Rohingya and the South China Sea, where regional tensions are pervasive", said Emma Leslie, the executive director of the Centre for Peace and Conflict Studies. "Yet in the Philippines, Malaysia and Myanmar efforts for peace in recent years have shown us the possibility we have to solve problems non-violently and to build a sustainable peace for our region", she said. "Let's mobilize hope and optimism to inspire the Asian oikumene - an interfaith harmony and aspiration for just peace." In the opening session of the gathering, participants introduced themselves using symbols, signifying peace-building for them in their respective contexts. They noted oneness and openness as essential ecumenical elements for living, along with interreligious learning relating to Asia. Combining theoretical, empirical and spiritual elements as learning tools, YATRA seeks to embody a holistic learning methodology which involves the head, heart and hands. Speaking on the opening day, Leslie enabled the participants to discern the interconnected nature of religious conflicts in Asian settings. She encouraged them to identify and celebrate the often hidden stories of peace-making which can prove to be prophetic and pertinent resources for overcoming violence and fostering hope in an increasingly fragile context.

Tuesday, June 9, 2015

G7 yatishia kuiongezea Urusi vikwazo

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema kuwa, viongozi wa mataifa saba yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi Duniani-G7, wamekubaliana kuwa vikwazo dhidi ya Urusi vinafaa kuendelea. Bi Merkel amesema hadi pale muafaka wa kukomesha mapigano nchini Ukraine utakapoheshimiwa vikwazo sharti ziendelee. Akiongea katika siku ya mwisho ya mkutano wa siku mbili, Merkel amesema kuwa mataifa ya G7 yalikuwa tayari kuzidishia Urusi vikwazo zaidi, iwapo hali ingeruhusu. Kuhusu mzozo wa kifedha unaokumba Ugiriki, Bi Merkel, alionya kuwa muda uliosalia kabla makubaliano hayajatiwa sahihi ni mchache mno. Alishauri Ugiriki kuchukua hatua madhubuti ilikunusuru sarafu ya taifa hilo. Viongozi hao wanafanya mazungumzo katika siku ya pili ya mkutano mkuu, wenye nia ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku pia swala la kuongezeka kwa makundi yenye itikadi kali likijadiliwa. Bi Merkel pia amewataka wanachama wa G7 kuchangia hazina ya kuyasaidia mataifa maskini ambayo yanaathirika na mabadiliko ya hali ya anga. Viongozi kutoka Nigeria na Tunisia watahudhuria kikao maalum, kuhusiana na hatari iletwayo na makundi yenye itikadi kali hasa yale ya Afrika. Kwa mara ya pili tangu mzozo huo na Ukrain utokee rais Putin wa Urusi hakualikwa kwenye kikao hicho licha ya Urusi kuwa mwanachama wa G7.

Saturday, June 6, 2015

HUMANITY NEEDS TO TEND THE GARDEN OF CREATION, SAYS WCC LEADER

Humanity cannot ignore its responsibility for creation, the general secretary of the World Council of Churches (WCC), the Rev. Dr Olav Fykse Tveit, has stated in Stuttgart during the German Protestant Kirchentag. “We can care for the garden or we can destroy the garden of life,” Tveit said in a sermon at a 4 June service during Germany’s biggest Protestant gathering, which meets every two years. “We are dependent upon what other parts of nature provide – nutrition, fresh air, light, water and material for shelter and heating,” he said at the service on the theme of “justice and peace within one world.” The service was organized by Bread for the World – Protestant Development Service, Germany’s main Protestant humanitarian and development agency. It was opened by Bread for the World’s president, the Rev. Cornelia Füllkrug-Weitzel. In her introduction, she noted how, particularly in the countries of the South, the diversity of traditional wild plants and cultivated crops is being increasingly squeezed out to make way for global food production. “In this service we want to affirm the richness and diversity that our creator has given to creation,” she said. Tveit and Füllkrug-Weitzel were joined in leading the service by the Rev. Chris Ferguson, general secretary of the World Communion of Reformed Churches, Archbishop Ephraim Fajutagana of the Philippine Independent Church and the Rev. Yusuf Wushishi, general secretary of the Christian Council of Nigeria. The WCC general secretary recalled in his sermon how his great grandfather, who was also named Olav Tveit, had bought a small piece of land to cultivate in order to provide for his family. “He had to work extremely hard. In his life and work, there had to be an understanding of the relationship of human beings in creation.” In fact, the name Tveit means “a place in the forest cleared for something to grow” and to live, he said. Cultivating, sowing and planting, said Tveit, are “an expression of faith in the power of God to create life through the work of our hands.” The power of God’s grace and forgiveness, he continued, “can renew our generation, our people, our political leaders.” It “can transform us to see the decisions that are necessary to change, to reverse climate change, to ensure the right to food for all, and the right to enjoy clean water, clean air, clean soil.”

UK:Hatuna haja kuandaa dimba la 2018

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limesema kuwa halina haja ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2018 ama lile la mwaka 2022 nchini Qatar iwapo mataifa yanayoandaa yatapokonywa fursa hiyo. Maafisa wa mashtaka wa Uswizi wanachunguza zabuni za michuano hiyo ,ijapokuwa FIFA inasema kuwa hakutakuwa na ushindani mwengine wa kutolewa kwa zabuni hizo. Katibu wa utamaduni nchini Uingereza John Whittingdale anasema kuwa Uingereza huenda ikachukua maandalizi ya kombe hilo iwapo itaombwa kufanya hivyo. Lakini afisa mkuu wa shirikisho la FA Martin Glenn amesema kuwa Uingereza haina haja. Akizungumza na SkyNews,Glenn ameongezea kwamba michuano hiyo ya mwaka 2018 itaandaliwa na Urusi kwa njia nzuri.

Mwana wa Mugabe apatikana na hatia

Mwana mkubwa wa kiume wa mke wa rais wa Zimbabwe Grace Mugabe amepatikana na hatia ya kuua bila kukusudia na kupigwa faini ya dola 800. Russell Goreraza alimgonga na kumuua mwanamume mmoja ambaye hakutambuliwa katika gari lake katika mji mkuu wa Harare manmo mwezi Februari. ''Ninajuta na ningependa kuomba msamaha kwa kitendo hicho'', Kijana huyo wa miaka 31 aliimbia mahakama. Hakimu huyo alisema kuwa aliamua kuifutilia mbali leseni ya kijana huyo na kumpatia hukumu ya kifungo cha jela lakini akabadilisha nia yake kutokana na majuto yake. Douglas Chikwekwe amesema kuwa hatua kwamba Goreraza alitekeleza kitendo hicho kwa mara ya kwanza pia kuliathiri uamuzi wake.

Watu 400 wafariki katika mto Yangtse

Msemaji wa serikali nchini China anasema kuwa karibu watu 400 wanahofiwa kuaga dunia wakati feri ilipozama kwenye mto Yangtze siku ya jumatatu. Idadi hiyo imeongezeka kwa haraka baada ya makundi ya uokoaji kusaka vyumba vya feri hiyo. Kwa sasa meli hiyo imendolewa majini kwa kutumia mitambo mikubwa. Jumla ya watu 456 walikuwa ndani ya feri hiyo wakati ilipokumbwa na dhoruba ambapo ni watu 14 tu walioripotiwa kuponea ajali hiyo. Ajali hiyo inaripotiwa kuwa mbaya zaidi nchini humo tangu miaka 60 iliyopita.

Friday, June 5, 2015

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa . Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean. Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 . Bwana Mbeki mwenyewe hajatoa kauli yoyote kuhusiana na swala hilo. Barua inayosemekana iliandikwa na shirikisho la soka nchini Afrika kusini , inaonekana kuongeza uzito kwenye shutuma kwamba serikali ya nchi hiyo ilitoa malipo hayo kwa siri.

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa . Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean. Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 . Bwana Mbeki mwenyewe hajatoa kauli yoyote kuhusiana na swala hilo. Barua inayosemekana iliandikwa na shirikisho la soka nchini Afrika kusini , inaonekana kuongeza uzito kwenye shutuma kwamba serikali ya nchi hiyo ilitoa malipo hayo kwa siri.

Renewal of the Lutheran church in Africa must address today’s realities

(LWI) – Ongoing renewal of the church must be a priority for African Lutheran church witness, in a context in which progress and abundance exist with struggles for justice, peace, reconciliation and a dignified life. These were the key messages from speakers at The Lutheran World Federation (LWF) Africa regional consultation and 60th anniversary celebrations, 20-24 May, in Moshi, Tanzania. Over 200 delegates including heads of churches from the 31 LWF member churches, representatives from sister churches around the world, and global LWF leaders reflected on the vision of the first gathering of African Lutherans in Marangu, Tanzania, in 1955. They also analyzed their contribution to the Lutheran communion and the future of the African Lutheran church with a view to the 500th Reformation anniversary in 2017 and beyond. A presentation by Bishop Dr Musa Filibus of the Lutheran Church of Christ in Nigeria (LCCN) summarized the critical issues for the renewal of the African Lutheran church in today’s context. These include theological education, church sustainability, good governance, ecumenism and interfaith relations. In his paper, “Being a reforming Lutheran church in Africa today,” Filibus emphasized that “renewal of the church is not change for the sake of change or fashioning after popular opinions in an attempt to be relevant to modern styles and developments.” Churches, he said, “need to be relevant for the context in which they witness.” Theological education Filibus called for a more creative approach to theological education, formation, and pastoral training to ensure adequate response to the needs of the church and its mission work. Citing his own country, Nigeria, he expressed deep concern that seminary curricula are loaded with courses designed by their affiliate universities, leaving the church institutions with little time for in-depth work on doctrinal and ministerial courses. “How then do we train pastors to meet up with the yearnings of members and congregations?” he asked. On the need to reform liturgy and worship, Filibus said many Lutheran Christians argue that the liturgy and ancient hymnals still used by churches are very distant from today’s realities. “What is critical in trying to rediscover our worship heritage, however, is keeping in mind that those songs and liturgies were born out of specific realities.” The LCCN bishop also asked the African churches to critically look at why “we are still struggling under the so-called dependency syndrome and lacking the financial independence to develop much-needed human resources and various ministries.” Confronting corruption He decried the general lack of accountability and transparency, and its negative impact on the life and ministry of the church. “If we are serious about renewal, we should boldly name and confront corruption and financial scandals in the church. A reforming Lutheran church in Africa cannot turn deaf ears to widespread rumors on the disappearance of church funds sometimes suspected to be diverted into personal projects, corruption in the form of abuse of power and nepotism in the churches.” On leadership renewal, he reminded the church representatives of the Christian calling to servanthood leadership. He said it was “indeed sad” that people fight for leadership positions not as a calling to serve, but to fulfill personal ambitions. “We need to understand that Christian communities today increasingly appreciate leaders who live and lead by example.” Filibus noted that despite democratic changes and economic progress since the 1960s, there is growing impoverishment of huge sections of Africa’s population, high unemployment rates especially among the youth, poor social infrastructure and basic services, and extremist-related violence. “We are going through a very sad period, when human life has become so cheap, evident in the senseless killings and destruction of human life across the region. This is a bit of our story within which we reflect on reforming the Lutheran churches in Africa today,” he added. Other topics discussed at the conference included human beings’ contribution to inequality and ecological destruction; the church’s public responsibility in view of violence against women; and the importance of ecumenical and interfaith encounters in the public space.

Thursday, June 4, 2015

Kofi Annan amtaka Nkurunziza kujiuzulu

Aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Koffi Annan amemtaka rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kujiuzulu huku uchaguzi mkuu ukiahirishwa. Kumekuwa na maandamano ya ghasia nchini Burundi pamoja na mapinduzi yaliofeli tangu Nkurunziza atangaze kuwa atawania muhula mwengine wa tatu wa urais katika kile watu wanaamni ni ukiukaji wa katiba. Annan ameiambia BBC kwamba rais huyo amepoteza uhalali wake na sasa anafaa kujiuzulu iwapo anawajali raia wa Burundi. Matamshi hayo ya Annan yataongeza shinikizo kwa rais Nkurunziza ,ambaye hadi sasa hajatoa ishara zozote za kujiuzulu. Uchaguzi wa bunge pamoja na ule wa urais umehairishwa kufuatia wiki za maandamano ya ghasia. Viongozi wa jumuia ya Afrika Mashariki walipendekeza uchaguzi wa bunge na urais uahirishwe kwa wiki sita kufuatia ghasia za kumpinga rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu. Uchaguzi wa Rais unatarajiwa kufanyika tarehe 26 mwezi Juni.

Jack Warner aapa kufichua ufisadi FIFA

Aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Jack Warner amesema katika hotuba ya kushangaza aliyotoa katika runinga kwamba atafichua kila anachojua kuhusu ufisadi katika shirikisho hilo. Bwana Warner ambaye alisema kuwa anahofia maisha yake pia amesema kuwa anaweza kuwahusisha maafisa wa FIFA na uchaguzi mkuu katika taifa la Trinidad and Tobbago mwaka 2010. Ni mmoja wa watu 14 walioshtakiwa na Marekani kuhusiana na ufisadi katika FIFA. Mmoja wa maafisa wakuu wa FIFA na shahidi muhimu Chuck Blazer alikubali kuchukua hongo. Afisa huyo alikiri kufanya hivyo mnamo mwaka 2013,ikiwa ni miongoni mwa mashtaka yaliofunguliwa ambayo yameikabili FIFA na kumlazimu rais wake Sepp Blatter Kujiuzulu. Idara ya mahakama ya Marekani inadai kuwa watu 14 walioshtakiwa walikubali hongo ya zaidi ya dola milioni 150 katika kipindi cha miaka 24. Watu wengine wanne walikuwa tayari wameshtakiwa akiwemo Blazer.

Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge

Serikali ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa rais na wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa hii umehairishwa mpaka tarehe nyingine itakapopangwa. Msemaji wa rais Nkurunzinza,Wily Nyamitwe ameiambia BBC kuwa tarehe itapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo. Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere Nkurunzinza kutangaza nia ya kuongoza kwa awamu ya tatu baada ya kuwa rais kwa miaka 10. Umoja wa Mataifa imeelezea jinsi mgogoro huo ulivyoongeza idadi ya wakimbizi wanaoikimbia Burundi. Hivyo kumtaka rais huyo kuachia ngazi mwezi huu kama makubaliano ya Azimio la Arusha yalivyoelekeza.

Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa

Wizara ya Sheria ya Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa yeye pamoja na wenzake walipokea rushwa ikiwa ni pamoja kuichagua Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa fainali ya kombe la dunia mwaka 2010. Katika taarifa hiyo imeweka wazi mtandao wa malipo ya rushwa ulivyokuwa ukifanywa ndani ya shirikisho la soka duniani FIFA, taarifa zinazoegemea uchunguzi uliofanywa na shirika la kijasusi la Marekani FBI. Taarifa hiyo ambayo inamwelezea Afisa humo wa zamani wa Fifa Chuck Blazer kukiri kupokea rushwa sasa huenda ikaibua mengi kwenye kashfa ya rushwa inayoindamana shirikisho la FIFA. Mmerakani huyo kwenye taarifa hiyo inadai alikuwa ni mmoja wa watu waliosuka mipango ya kupokea rushwa katika tukio jingine la fainali la kombe la dunia 1998. Taarifa za Kukiri zipo katika maandishi wakati wa kesi yake mwaka 2013 wakati kesi yake ilipokuwa akisikilizwa katika mahakama ya Easten New York huko Marekani ambapo alikiri makosa kumi yaliyokuwa yanamkabili. Blazer alikuwa afisa wa ngazi juu wa FIFA eneo la kanda ya Amerika Kaskazini na Kati na ukanda wa nchi Caribbean kuanzia mwaka 1990 hadi mwaka 2011. Marekani imefungua kesi ya rushwa inayowakabili maafisa wa FIFA jambo lililofanya Rais wa FIFA Sepp Blatter kuamua kutangaza kujiuzulu. Mwendesha mashtaka wa Marekani wiki iliyopita aliwashtaki maafisa 14 wa ngazi wa juu wa FIFA tuhuma za rushwa, kutakatisha fesha,

Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunda uchunguzi wa nje kuhusu kashfa ya kuwadhalilisha watoto kulikofanywa na wanajeshi wa Ufaransa wa kulinda amani nchini Jamahuri ya Afrika ya Kati. Katika taarifa hiyo, Bwana Ban Ki Moon amesema Umoja wa Mataifa umedhamiria kuhakikisha kuwa hauwangushi waathirika wa vitendo hivi vya udhalilishaji, hasa vinapofanywa na watu wanaotegemewa kuwalinda. Kuundwa kwa kamati huru ya uchunguzi ni moja ya madai ya wakosoaji ambao wamekuwa wakiukosoa Umoja wa Mataifa kwa kutochukua hatua madhubuti kuchunguza madai hayo ya udhalilishaji watoto wengine wakiwa na miaka tisa.Hatua hii imekuja mwaka mmoja kamili baada ya watafiti wa Umoja wa Mataifa kusikia kwanza kutoka kwa watoto walioathirika kutokana na udhalilishaji huo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika Kati, Bangui.

Wednesday, June 3, 2015

Wadhamini waunga mkono hatua ya Blatter

Wadhamini wakuu wa FIFA wameafiki tangazo la Bwana Blatter kujiuzulu, wakisema kuwa ni hatua bora kuelekea mageuzi ya shirikisho hilo. Kampuni ya Coca-Cola inasema inaamini kuwa uamuzi huo utaisaidia FIFA kuchukua hatua za dharura kushughulikia masuala yaliyoibuka . Wakuu wa soka barani Ulaya pia wameridhishwa na uamuzi huo. Wakati huo huo Mwanamfalme wa Jordan Ali bin al Hussein aliyeshindwa katika uchaguzi wa rais wa FIFA wiki iliyopita ameashiria kuwa anaweza kujiandaa tena kuwania nafasi hiyo.

China:Meli haikuweza kuzuia upepe mkali

Maafisa wa Uchina wanasema meli ndogo iliopatwa na ajali na kuzama katika mto Yangtse ikiwa na abiria zaidi ya 450 haikuwa na uwezo wa kuhimili dhoruba ya upepo mkali. Meli hiyo iitwayo The Eastern Star ilizama dakika chache tu ilipokumbwa na upepo uliovuma kwa kasi usiku wa Jumatatu. Miaka miwili iliyopita meli hiyo ilichunguzwa kwa madai ya kukiuka vigezo vya ubora na usalama. Hata hivyo maafisa wanasema kuwa hawajakata tamaa ya kuwapata watu walionusurika ajali ya meli na vikosi vya uokoaji vinaendelea kuwatafuta walionaswa ndani ya meli hiyo kwa siku ya pili. Watu saba wamethibitishwa kufariki huku watu kumi na tano wakiokolewa.

Kenya Airways yarudisha safari za S.Leone

Shirika la ndege la Kenya limeanza tena kusafirisha wateja wake baina ya miji ya Nairobi na Freetown nchini Sierra Leone. Ni shirika la kwanza kurejea nchini humo baada ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kuzuka mwaka uliopita. Idadi ya maambukizi inapungua na kumekuwa na watu 12 tu waliopata maradhi hayo katika wiki moja iliyopita. Shirika la ndege la Ufaransa pia linatarajiwa kurejea nchini humo baadaye mwezi huu.

Idadi kubwa ya ndovu yatoweka Tanzania

Wanaharakati wa wanyamapori wameelezea hali ya kutoweka kwa idadi ya ndovu kwa asilimia sitini nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kama janga. Kundi linalofuatilia maisha ya wanyamapori, TRAFFIC, linasema idadi hiyo inaashiria kiwango halisi cha uwindaji haramu. Waziri katika serikali ya Tanzania Lazaro Nyalandu, amesema kuwa tatizo hilo lipo kwa kiwango tofauti nchini humo, akitoa mfano kuwa eneo la Serengeti idadi yao inaongezeka . Amesema mamia ya walinzi wa wanyamapori wamekodiwa kukabiliana na uwindaji haramu

Benitez ndio kocha mpya wa Real Madrid

Aliyekuwa kocha wa Napoli Rafa Benitez amethibitishwa kuwa k ocha wa Real Madrid katika kandarasi ya miaka mitatu. Benitez mwenye umri wa miaka 55 anachukua mahala pake Carlo Ancelotti ambaye aliondoka katika kilabu hiyo miezi 12 tu baada ya kuisaidia kushinda kombe lao la kumi la vilabu bingwa Ulaya. Benitez ambaye ni mzaliwa wa Madrid amehudumu misimu miwili kama mkufunzi wa Napoli ,baada kufanikiwa na vilabu kadhaa vya Ulaya. Baada ya kuisaidia Valencia kushinda kombe la Uefa mwaka 2004,mwaka unaofuatia alielekea Liverpool na kuisaidia kilabu hiyo kushinda kombe la vilabu bingwa ikiwa ni msimu wake wa kwanza katika kilabu hiyo ya Mersyside. Miaka miwili baadaye aliisaidia Liverpool kufika katika fainali za kombe la vilabu bingwa Ulaya na mwaka 2013 alikuwa kaimu mkufunzi wa Chelsea waliposhinda kombe la Yuropa.

Ghana yaicharaza Argentina

Ghana ilinusurika na kuishinda Argentina 3-2 katika kundi Ba la michuano inayoendelea ya kombe la dunia la vijana wasiozidi umri wa miaka 20. Benjamin Tetteh,Clifford Aboagye na Penalti ya Yaw Yeboah iliipatia Ghana mabao 3-0 kufikia dakika ya 70. Lakini Giovanni Simeone na Emiliano Buendiabefore alifunga bao la pili ikiwa zimesalia dakika 10. Matokeo hayo yanamaanisha kuwa Ghana ina pointi nne pamoja na Austria ambayo awali waliifunga Panama 2-1 . Lakini vijana hao wa Black satelite wanaongoza kunda ba kwa tofauti ya mabao.

FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa

Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi. Agizo hilo linawalenga maafisa wanne wa mashirika makuu pamoja na maafisa wawili wakuu wa zamani wa shirikisho la soka duniani FIFA akiwemo aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho hilo Jack Warner. Sita hao tayari walikuwa wametajwa katika mashtaka yaliofunguliwa dhidi yao na mamlaka ya mahakama za Marekani wiki iliopita. Ilani hiyo inawalenga watu wanaotafutwa kwa lengo la kuwakamata ili wasafirishwe hadi mataifa waliohusika na ufisadi huo ili washtakiwe ,lakini mataifa hayawezi kulazimishwa kumzuilia mtu yeyote aliyetajwa.

Maafisa wa Marekani kumchunguza Blatter

Imeripotiwa kuwa Raisi wa Fifa,Sepp Blatter anafanyiwa uchunguzi na maafisa wa marekani ili kuthibitisha tuhuma za rushwa zinazomkabili vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti. Taarifa hiyo inakuja baada ya Blatter kutangaza kuwa atajiuzulu wadhifa wake. Wakati ambao waendesha mashtaka nchini Marekani wanaoifuatilia tuhuma za rushwa walikamata maafisa saba wa Fifa nchini Switzerland kati ya watu 14 wanaotuhumiwa kwenye kashfa hiyo. Hata hivyo Blatter alisema anatumia mamlaka aliyopewa hata kama hayakubaliwi na kila mtu duniani. Fifa inahitaji mabadiliko makubwa ili kukemea rushwa. Mwandishi wa BBC,Nick Bryant mjini New York anasema kuwa bado maafisa hao wa marekani wana matumaini ya kupata ushirikiano kutoka kwenye takwimu za Fifa kwa sasa ili kubaini namna ambavyo mzunguko wa pesa chafu unavyomuhusisha Blatter. Katika taarifa iliyoripotiwa kutoka kwa maafisa wa Marekani wiki iliyopita kuhusu rushwa katika shirikisho hilo la soka ulimwenguni, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Loretta Lynch haikumshutumu Blatter moja kwa moja . Ingawa alisema kuwa huu ni mwanzo tu wa uchunguzi na si mwisho. Mwandishi wetu anasema huu ni msingi wa maafisa wa marekani katika kuikomboa dunia katika majanga makubwa kama haya. Mwanzoni FBI,mamlaka ya ndani ya huduma za Mapato nchini Marekani na mwanasheria wa New York , ambaye alishiriki katika uchunguzi huo walisema kuwa hawana maoni juu ya kujiuzulu kwa Blatter.

Tuesday, June 2, 2015

Rais Bashir aapishwa kwa muhula mwengine

Rais Omar al-Bashir, ameapishwa kwa muhula mwengine wa miaka mitano baada ya kupata ushindi mwengine kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika April. Al- Bashir,angali na kesi na koti ya kimataifa ya ICC inayomtuhumu kwa mauaji yaliyofanywa dhidi ya baadhi ya wakaazi wa Darfur, nchini humo. Kura hiyo ilisusiwa na vyama vya upinzani lakini ikaendelea licha ya wapiga kura wachache kujitokeza.. Viongozi wa Kenya , Misri na Zimbabwe ni baadhi ya waliohudhuria sherehe hiyo ya kuapishwa kwa Al Bashir ambaye amekuwa madarakani tangu alipochukua hatamu za uongozi kupitia mapinduzi ya mwaka 1989.

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.

Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya. Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi . Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu.Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake kutokana na mashtaka ya ufisadi ikiwa ni miongoni mwa mashtaka yaliofunguliwa na marekani . Uchunguzi mwengine unaofanywa na serikali ya Switzerland kuhusu vile michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2018 na 2022 ilitolewa pia unaendelea.''Nimehusika sana na FIFA na maslahi yake.Kilicho muhimu kwangu ni taasisi ya FIFA na Soka duniani''.

HONG KONG PASTOR SAYS WOMEN AND CHILDREN NEED A STRONG VOICE

In the house of God we have to take seriously the needs of the excluded, marginalized and oppressed, says the Rev. Phyllis Wong Mei Fung. It is a question of how all may receive the creator’s love, grace, justice and peace, says Wong, minister-in-charge at the Kowloon Union Church (KUC) in the Hong Kong Special Administration Region of China. "We would like to give a strong voice and highlight the sad realities that women and children face, and address the causes of problems,” she says. Wong’s concern is how best to formulate and create concrete plans, programmes and strategies to achieve these goals. Before taking up her position at KUC, Wong was an instructor at the Hong Kong Polytechnic University. She holds a Master of Education degree from Manchester University and a Bachelor of Education from the Hong Kong Baptist University. Wong, who represents the Hong Kong Christian Council in negotiations to join the Christian Conference of Asia (CCA), recently played an active role at the CCA’s pre-assembly forum ahead of their assembly held 20-27 May. She was among a group of women who formulated a clear and ambitious statement on "Equal and fuller participation of women, children and gender minorities in the Household of God". She sees the CCA, the Asian regional ecumenical organization representing 17 National Councils and 101 church denominations in 21 countries, as a significant forum for ecumenical discussion. She hopes that the statement will inspire participants to share knowledge and thoughts on this issue with churches in their various home areas. "A main value of this conference is to affirm the CCA’s vision and ambition, which translate into a workable and practical practices that we can bring back into a local context,” affirms Wong. It also involves "networking with representatives from different countries in sharing experience and knowledge. We must keep up the spririt of the ecumenical movement,” says Wong. She also raises her concern for the gender minorities of the LGBTQIA community (lesbian, gay, bisexual, transgender, questioning, intersex, and asexual), which she says have to be addressed. "The conference has to result in concrete action and allocation of resources,” Wong insists. Delegates at the forum strongly expressed a need to challenge the patriarchal structure, the ecological effects of globalization and the economic landscape in terms of distribution of resources. "Awareness is growing in many important areas, but we have to sustain efforts and keep on addressing these issues,” said Phyllis Wong.