Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, May 31, 2014

Christian joy is based in hope, Pope Francis reflects

Pope Francis greets pilgrims during his general audience on May 14, 2014 Credit: Daniel Ibanez/CNA
Pope Francis greets pilgrims during his general audience on May 14, 2014 Credit: Daniel Ibanez/CNA
.- In his first daily homily since returning from the Holy Land Pope Francis centered on the theme of Christian joy, explaining that it comes not from our immediate circumstances, but what Jesus promised.

“Be courageous in suffering and remember that after the Lord will come; after joy will come, after the dark comes the sun” the Pope encouraged in his May 30 daily Mass. “May the Lord give us all this joy in hope.”

Basing his homily on the first reading, taken from the Acts of the Apostles in which the Lord tells St Paul not to be afraid of preaching to the people of Corinth, the pontiff explained to those in the Vatican’s Saint Martha guesthouse that the apostle “was very brave, because he had strength in the Lord.”

But despite this confidence even Paul was afraid at times and needed reassurance from God, the Pope observed, stating that “It happens to all of us in life, to have some ‘fear.’”

However, Paul didn’t let the fact that “neither the Jews nor the Gentiles” liked what he was saying stop him from proclaiming the Gospel, he continued, adding that even Jesus in Gethsemane was afraid.

“We must tell the truth: Christian life not just one big party. Not at all! We cry, we cry so many times,” the Roman Pontiff continued, “When we are sick; when we have a problem with our son, in the family, with our daughter or wife, or husband.”

“When we see that our salary does not reach the end of the month and we have a sick child; when we see that we cannot pay the mortgage on the house and we must somehow survive” he went on, adding that although we have “So many problems” Jesus tells us “Do not be afraid!”

Noting that there is another type of sadness that comes “when we take the wrong road” and try “to buy (the) happiness, joy, of the world, of sin,” Pope Francis explained that this “is the sadness of the wrong sort of happiness” but that Christian happiness “is a joy in hope, which comes.”

“However in times of trial we do not see this. It is a joy that is purified by trials, our everyday trials” the Pope continued, observing that “it's hard to go to a sick person who is suffering greatly and say: ‘Come on! Come on! Tomorrow you will have joy!’”

“No, you cannot say this! We have to help them feel what Jesus made us feel.”

Going on, he explained that “When we are in the dark” and “we do not see anything” we need to make an act of faith in the Lord, saying “I know, Lord that this sorrow will turn to joy. I do not know how, but I know it!”

Using the example of a woman in labor to illustrate how sadness turns into joy, the Bishop of Rome stated that “It’s true, women suffer a lot in childbirth, but then when she holds her child she forgets” and what is left is “the joy of Jesus, a purified joy.”

It is “the joy that remains” he observed, noting that although “hidden in some moments of life, we do not feel it in bad times, it comes later: a joy in hope.”

This, then, “is the message of the Church today: Do not be afraid!”

Concluding his reflections, the Pope prayed that all might receive “this joy in hope,” explaining that “the sign that we have this joy in hope is peace.”

“How many sick, who are at the end of life, in pain, have that peace of soul” he noted, affirming that “This is the seed of joy, this is the joy of hope and peace.”

“Do you have peace of soul in times of darkness, in times of trouble, in times of persecution, when everyone else rejoices at your suffering? Do you have peace?” he asked. “If you have peace, you have the seed of joy that will come later. May the Lord help us understand these things.”

“Fast for the Climate” to Launch International Campaign



Hngia hapa kwa habari kwa kina
 http://www.lutheranworld.org//news




K“Fast for the Climate” to Launch International Campaign - See more at: http://www.lutheranworld.org//news/fast-climate-launch-international-campaign#sthash.KQcKmgEC.dpuf

'You can make a better world,' Pope tells disadvantaged children

Pope Francis embraces a young student on May 31, 2014 in Paul VI audience hall. Credit: Daniel Ibáñez/CNA.
Pope Francis embraces a young student on May 31, 2014 in Paul VI audience hall. Credit: Daniel Ibáñez/CNA.
- This morning the “Ode to Joy” rang out from a teenaged orchestra as Pope Francis entered a room packed with 400 Italian school children from disadvantaged homes. They waved and cheered as the Pope spoke to them in simple terms about the importance of light and love in a dark world.

“Is it possible to make a better world?” he asked the children gathered in the atrium of the Paul VI hall on May 31, as they shouted “yes!” in reply.

“Yes! And better than the world I live in?” Pope Francis continued, as his young audience again shouted, “yes!”

“Yes. And to make a better world, how do we do it? With hate? Do we make it with hate?”

Some children stood up out of their chairs to shout, “no!”

“Good, say it, say it louder,” he encouraged the, explaining that the task is done “with love. With love. Everyone together, as brothers, struggling alongside the other for love. And for this, I will tell you something: when the Apostle John, who was a very close friend of Jesus - a very close friend - wanted to say who God is, do you know what he said? ‘God is love.’ It’s beautiful.”

Pope Francis’ encounter with the school children, who come from disadvantaged homes in Naples and outlying areas of Rome, was marked by a joyful informality as he continued his simple question and answer style.

One little boy presented him with the gift of a clay pot containing dirt from the catacombs in Naples; a young girl brought him a plant.

The Pope used these objects as a theme for his simple catechesis, noting that the earth came from a place of darkness, but the plant grows in the light.

“The darkness is for the light,” he explained. “When it is is nighttime, it’s completely dark. But we wait for the first (time of) morning, when the light begins. What is more important - this is the question - the darkness, or the light?”

“The light!” his young audience replied enthusiastically.

“The light. Inside of ourselves, always. Because the light gives us joy, gives us hope. And do all of us have that possibility to find the light?”

When the children replied, “yes!” he explained, “because in the light there are good things, and in the light you can do what you told me when you have given me the plant: the fruits help us to make a  world that is…”

“Better!” the children finished for him.

In addition to the plant and dirt from the catacombs, the children and their teachers had prepared a special song for Pope Francis: the traditional Italian ballad, “O Solo Mio,” with an added verse of “O Papa Mio.”

Today’s meeting was the second of its kind, a collaboration between the Pontifical Council for Culture’s “Court of the Gentiles” and Trenitalia, the Italian train company which sponsored the children’s ride from Naples to Rome.

Cardinal Gianfranco Ravasi, head of the Pontifical Council for Culture, told CNA that the “Court of the Gentiles” program was established as an opportunity for “dialogue between believers and nonbelievers,” but he does not want it to remain “only at a high intellectual (or) social level.”

He hopes that they will also be willing to confront “the mess, the knots, the obscure things” of life.

Vincenzo Soprano, CEO of Trenitalia, told CNA that he was touched by how hard these children’s lives had been, living in the inner-city like atmosphere of Naples. When he asked one child what his favorite part of the trip was, “he answered, ‘the landscape along the trip.’ Because they have only lived in a small part of Naples.”

“It’s not for nothing that (today’s) symbol was the excavation of the light,” Cardinal Ravasi noted, since the small boy who brought up the jar filled with dirt from the catacombs comes from a home with parents involved in drugs, living in terribly impoverished circumstances. His presentation of that gift “profoundly signifies for the children what it is to conserve the interior light.”

Polisi Malawi watumia gesi ya machozi kutawanya waandamanaji

Rais Joyce Banda aliposhiriki kwenye upigaji kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika Mei 20, 2014
Rais Joyce Banda aliposhiriki kwenye upigaji kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika Mei 20, 2014
Polisi nchini Malawi wamefyatua gesi ya kutoa machozi kuwasambaratisha waandamanaji wanaodai kuhesabiwa tena kura za uchaguzi wa rais zilizopigwa wiki iliyopita.

Waandamanaji walichoma matairi na waliharibu maduka Ijumaa katika mji mkuu Lilongwe kabla ya kilichotarajiwa na mahakama kuu nchini humo kutangazwa kama matokeo ya uchaguzi uliokuwa na mzozo yatatolewa hadharani au kura zitarudiwa kuhesabiwa.

Uchaguzi uligubikwa na matatizo yakiwemo kuchelewa kufunguliwa kwa vituo vya kupiga kura na kasoro nyingine kwenye karatasi za uchaguzi. Matatizo hayo yalichochea tume ya uchaguzi nchini humo kuongeza muda wa kupiga kura kwa siku moja zaidi na kisha siku ya tatu upigaji kura ulifanyika kwenye baadhi ya maeneo.

Wakati huo huo Rais Joyce Banda anasema uchaguzi uligubikwa na wizi mkubwa ikiwemo wizi wa kuongeza kura katika masanduku ya kupigia kura na watu kupiga kura zaidi ya mara moja.

Aliagiza uchaguzi mpya ufanyike ndani ya muda wa siku 90 na alisema hatokuwa mgombea katika duru hiyo ya upigaji kura. Lakini mahakama kuu ilipuuzia matamshi yake wakati chama kikuu cha upinzani kilipolalamika.

Rais mpya wa malawi aapishwa rasmi



Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi
Rais mpya wa Malawi Peter Mutharika ameapishwa rasmi baaada ya kucheleweshwa kwa matokeo ya uchaguzi kufuatia madai ya udanganyifu na wizi wa kura.
Mutharika aliibuka mshindi wa uchaguzi huo baada ya kujipatia zaidi ya asilimia 36 ya kura zilizopigwa.
Rais anayeondoka mamlakani Joyce Banda alikuwa katika nafasi ya tatu.
Banda amewataka wafuasi wake kuheshimu matokeo hayo.
Mahakama kuu ilipinga ombi la kura kuhesabiwa upya baada ya Banda kudai kuwa kumekuwa na udanganyifu mkubwa katika shughuli hiyo.
Peter Mutharika aliwahi kuhudumu kama waziri wa maswala ya kigeni na ndugu ya aliyekuwa rais wa taifa hilo marehemu Bingu wa Mutharika aliyefariki mwaka 2012 akiwa afisini.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Jaji Mackson Mbendera amesema uchaguzi huo ulikumbwa na changamoto nyingi lakini mwishowe nchi ikalazimika kupata kiongozi wake na akawaomba wananchi kuwa na utulivu .

Uingereza yakemea hukumu ya kifo Sudan

Miriam Ibrahim na mumewe
Viongozi wa kisiasa nchini Uingereza akiwemo waziri mkuu nchini humo wamekemea hukumu ya kifo iliopewa mwanamke mmoja wa kikristo kwa kukataa kubadili dini yake.
Wameitaja hukumu hiyo kama ya kuudhi.
Mwanamke huyo Mariam Ibrahim anazuiliwa katika jela moja ambapo alijifungua mtoto wa kike juma hili.
Mwanawe wa kiume aliye na miezi 20 pia yuko naye katika jela hiyo.
Amekuhukumiwa kwa kuwacha dini yake baada ya kukataa kubadilika kuwa muislamu.
Bi Ibrahim ambaye ameolewa na mkristo pia amehukumiwa kuchapwa viboko 100 kwa kuzini kwa kuwa ndoa na mtu ambaye si muislamu si halali chini ya sheria za Sudan.

Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya

wahamiaji kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika
Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.
Inadaiwa kuwa zaidi ya raia laki tatu wamo nchini Libya wakitaka kuvuka bahari ya Mediterenean.
Walinzi wa pwani ya Libya wameiambia BBC kwamba wamepata miili zaidi baharini, ya watu ambao wamepoteza maisha yao kwa kutaka kuvuka bahari hiyo.
Wale wanaokamatwa wakitaka kuanza safari hiyo huwekwa katika jela ndogo ambazo zimejengwa katika pwani ya bahari hiyo.
Mwandishi wa BBC katika mji wa bandari ya Misrata amesema kuwa Libya sasa ndio mlango wa raia wa afrika kuingilia Ulaya.
Muungano wa Ulaya umeonya kuwa mwaka 2014 utakuwa na wahamiaji wengi watakaowasili katika fukwe za mataifa ya Ulaya.

Friday, May 30, 2014

Palestinian, Israeli leaders to pray with Pope at Vatican June 8


Pope Francis praying. Credit: Lauren Cater/CNA.
Pope Francis praying. Credit: Lauren Cater/CNA.
.- An encounter among Pope Francis, the Palestinian president, and the Israeli president at the Vatican to pray for peace in the Holy Land has been set for June 8, the Holy See has announced.

“The encounter to pray for peace, to which the Holy Father Francis has invited the president of Israel, Shimon Peres, and of Palestine, Mahmoud Abbas, will take place Sunday, June 8, in the afternoon, at the Vatican,” the Holy See press office announced May 29.

“This date has been accepted by both parties.”

At the close of his Mass said in Bethlehem May 25, Pope Francis invited the two leaders to the Vatican for the meeting: “I offer my home in the Vatican as a place for this encounter of prayer.”

“In this, the birthplace of the Prince of Peace I wish to invite you, president Mahmoud Abbas, together with president Shimon Peres, to join me in heartfelt prayer to God for the gift of peace.”

He continued, “all of us want peace. Many people build it day by day through small gestures and acts; many of them are suffering, yet patiently persevere in their efforts to be peacemakers.”

“All of us – especially those placed at the service of their respective peoples – have the duty to become instruments and artisans of peace, especially by our prayers. Building peace is difficult, but living without peace is a constant torment. The men and women of these lands, and of the entire world, all of them, ask us to bring before God their fervent hopes for peace.”

Both presidents accepted the invitation the same day; Peres’ office stated that “we welcome Pope Francis' invitation to the Vatican. President Peres has supported and will continue to support all avenues to bring about peace.”

Pope Francis’ invitation was issued on the second day of his pilgrimage to the Holy Land, where his addresses focused heavily on the theme of peace.

Speaking to Abbas and other Palestinian officials that day, he lamented the “protracted conflict which has inflicted many wounds so difficult to heal.”

“For the good of all, there is a need to intensify efforts and initiatives aimed at creating the conditions for a stable peace based on justice, on the recognition of the rights of every individual, and on mutual security.”

“The time has come for everyone to find the courage to be generous and creative in the service of the common good, the courage to forge a peace which rests on the acknowledgment by all of the right of two states to exist and to live in peace and security within internationally recognized borders,” he said, adding that peace “must resolutely be pursued, even if each side has to make certain sacrifices.”

Meeting with Peres May 26, Pope Francis said that “peacemaking demands first and foremost respect for the dignity and freedom of every human person, which Jews, Christians and Muslims alike believe to be created by God and destined to eternal life. This shared conviction enables us resolutely to pursue peaceful solutions to every controversy and conflict.”

“Here I renew my plea that all parties avoid initiatives and actions which contradict their stated determination to reach a true agreement and that they tirelessly work for peace, with decisiveness and tenacity.”

US bishop: Broken laws – not immigrants – must change

Auxiliary Bishop Eusebio Elizondo of Seattle. Courtesy of Seattle Archdiocese.
Auxiliary Bishop Eusebio Elizondo of Seattle. Courtesy of Seattle Archdiocese.
The desperation of many immigrants who have no choice but to break existing U.S. laws shows the need for comprehensive immigration reform, said the head of the U.S. bishops’ migration efforts.

Bishop Eusebio L. Elizondo, auxiliary bishop of Seattle and chairman of the U.S. Bishops' Committee on Migration, told CNA that while some migrants break U.S. immigration laws to enter and work in the country, their worth as “my brothers and sisters” is not diminished.

“There are many things that are lawful that are immoral,” he noted, adding that simply because an action “is unlawful doesn't mean it is immoral.”

The bishop explained that a wide array of circumstances place people in a situation where they are forced to break the law in order to provide for their families, and that this situation calls for a change in the laws to reflect what is moral and just.

Bishop Elizondo spoke to CNA after a May 29 Mass at St. Peter’s Catholic Church on Capitol Hill. The Mass was held by a group of bishops from across the U.S. who had come to speak up about the importance of reforming current immigration policies.

Lawmakers and leaders of faith, business and labor groups were invited to the Mass, which was offered for immigrants and their families who have been separated from one another as a result of current U.S. immigration policy.

“When laws fail to advance the common good, they can and they should be changed,” said Archbishop Thomas G. Wenski of Miami, who delivered the homily.

Reflecting on the parable of the Good Samaritan, he explained that laws “must take into account both human dignity and the national interest.”

Current U.S. immigration laws are “ill adapted” to the challenges of today, the archbishop said.

Also at the Mass were Bishop Gerald F. Kicanas of Tucson, Ariz., Auxiliary Bishop Martin D. Holley of Washington, D.C., and Bishops Oscar Cantu and Emeritus Ricardo Ramirez of Las Cruces, N.M.

Before the Mass, the bishops met with young people who were brought to the United States by their parents when they were children. Known as “DREAMers,” these individuals have grown up in the U.S., but many face a wide array of challenges due to their family's lack of documentation.

Afterwards, the bishops met with several members of the House of Representatives, including Speaker of the House John Boehner (R-Ohio). During a press conference after the Mass, they said that they are also working to ask U.S. President Barack Obama to issue an executive order so that immigrant families can more easily stay together.

The May 29 Mass was part of the bishops’ larger Mission for Migrants. Last month, a group of bishops visited the U.S.-Mexico border to say Mass in remembrance of migrants who died during their journey to cross it.

Momentum behind immigration reform increased last year as a bipartisan “Gang of Eight” senators worked together to introduce legislation aimed at both providing a path to citizenship for undocumented immigrants and securing the U.S. border. In June 2013, the Senate approved the bill in a bipartisan 68-32 vote. However, it stalled in the House of Representatives amid sharp divisions within Republican leadership.

The U.S. bishops’ conference has laid out several goals for comprehensive immigration reform, including an “earned legalization program” with an “eventual path to citizenship” for those who pass background checks and pay a fine, along with “targeted, proportional, and humane” enforcement measures.

The conference has also called for a program to help low-skilled migrant workers to enter and work in the U.S. legally, as well as the restoration of due process protections for immigrants, an emphasis on family unification, and policy changes to address the deeper causes of immigration.

Bishop Elizondo explained that the bishops’ conference is hoping to make the moral case for immigration reform during this “key moment for the government,” with the hope of enacting some sort of change before the end of the president's term in January 2017.

He called on Catholics to provide “testimony, witness” on behalf of migrant persons, emphasizing that “they have feelings, they have hopes and they have dreams,” as well as the potential to play a vital role within the U.S. Church.

Archbishop Wenski pleaded for a change to the “broken” and “cynical” system, calling current laws a “stain on the soul of the nation” for their role in keeping “families separated for an intolerable length of time” and placing people who are trying to make a living in dangerous situations.

In addition, the undocumented status of many families leads to the creation of “a new underclass” of people who lack access to the same legal structures and institutions as other residents, he said.

“We're asking Congress, the House, to act,” the archbishop said. “Laws are designed to the benefit – not the harm – of humankind.”

Matumizi ya Nguvu Yazidi Makali Jamhuri ya Afrika Kati

Hali inatisha katika mji mkuu wa jamhuri ya Afrika Kati-Bangui ambako vizuwizi vimewekwa majiani na mapigano kuripotiwa kati ya vijana na vikosi vya polisi huku maelfu wakiandamana kudai serikali ya mpito ijiuzulu.

Wananchi wanafuatilizia hali namna ilivyo nchini mwao kupitia Radio,mfano wa bibi huyu
Mizinga kadhaa imefyetuliwa katika eneo la kati la mji mkuu wa jamhuri ya Afrika Kati -Bangui,karibu na kasri la rais katika wakati ambapo makundi ya waandamanaji waliongozana majiani.Kwa mujibu wa shirika la habari la Ufaransa AFP,hali ilitulia kidogo saa moja baadae baada ya waandamanaji kulihama eneo hilo.
Katika mitaa mengine na hasa karibu na uwanja wa ndege,mikururo ya watu wanaandamana wakidai serikali ya mpito ijiuzulu,wanajeshi wa kigeni waihame nchi hiyo na hasa wale wa kutoka Burundi wanaotuhumiwa kuwachia matumizi ya nguvu dhidi ya waumini wa dini ya kikristo.Watu wawili wanasemekana wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mapigano kati ya waandamanaji na vikosi vya kulinda amani vya kutoka nchi za Afrika Misca mjini Bangui.
Mji mkuu Bangui umejiinamia
 Vifo na Majeruhi kufuatia mapigano mjini Bangui
Vikosi vya jeshi na polisi vimefyetua risasi hewani kuwatawanya waandamanaji.Vizuwizi vimewekwa majiani katika mitaa kadhaa ya mji mkuu.Hakuna magari yanayozunguka na,maduka yamefungwa.Mji mkuu mkuu huo umejiinamia helikopta ya kijeshi ya Ufaransa tu ndio inayopiga doria.Vikosi vya Ufaransa Sangaris na vile vya Misca vya kutoka nchi za Afrika vimeonya "vitapambana kikamilifu na aina yoyote ya mapendeleo".Vikosi hivyo vimetoa wito waa utulivu mjini Banguii.
Matumizi ya nguvu yamepamba moto tangu siku kadhaa sasa katika mji mkuu huo wa jamhuri ya Afrika Kati.Vizuwizi kadhaa viliwekwa katika njia muhimu na mapigano kuzuka kati ya vijana na vikosi vya nchi za Afrika kufuatia shambulio la kanisani lililoangamiza maisha ya watu wasiopungua 15.
Waziri mkuu André Nzapayéké anasema kuzidi nguvu machafuko "ni njama iliyoandaliwa" na "wanasiasa walio karibu na serikali."
"Kuna baadhi ya wanasiasa wanaoingia majiani wakidai serikali ijiuzulu,watu walio karibu na serikali,na karibu na rais wa mpito na baraza la mawaziri"Anasema waziri mkuu huyo.
Miito ya walimwengu dhidi ya matumizi ya nguvu
Rais wa mpito Sanba -Panza na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon wakihudhuria mkutano wa kilele Kati ya Umoja wa ulaya na Afrika,mapema mwezi uliopita wa April
Umoja wa Ulaya unasema umeingiwa na wasi wasi wasi kutokana na hali namna ilivyo na kuwataka viongozi waendeleze bila ya kuchoka juhudi za kuleta suluhu ya taifa.
Kwa upande wake katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban ki-Moon amelaani vikali mashambulio yanayoendelea ikiwa ni pamoja na lile dhidi ya kanisa kuu la Fatima mjini Bangui.
Mwandishi:Hamidou Oummilkheir/AFP/Reuters
Mhariri:Yusuf Saumu

Papa ajutia mauaji ya wayahudi na wanazi

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewakumbuka wayahudi walioangamizwa katika mauaji ya Holocaust na mashambulizi ya kigaidi, katika siku ya mwisho ya ziara yake ya siku tatu ya mashariki ya Kati.
Papa Francis alitoka kwenye ratiba yake aliyopangiwa, na kukitembelea kituo cha kumbukumbu ya wahanga wa ugaidi nchini Israel, akiipa nchi hiyo usikivu kamili, siku moja baada ya kueleza kuwa anashikamana kikamilifu na Wapalestina katika harakati zao za kupata taifa lao huru.
Papa akiweka shada la maua kwenye kituo cha kumbukumbu ya wahanga wa mauaji ya Holocaust. Papa akiweka shada la maua kwenye kituo cha kumbukumbu ya wahanga wa mauaji ya Holocaust.
Katika kituo cha kumbukumbu ya mauaji ya Wayahudi cha Yad Vashem, Francis alifanya sala mbele ya chumba yalikohifadhiwa majivu ya wahanga, na kuweka shada la maua ya rangi nyeupe na njano katika ukumbi wa kumbukumbu.
'Kamwe isitokee tena'
Na baadae alivibusu viganja vya manusura sita mmoja baada ya mwingine, huku akisikiliza simulizi zao na za wapendwa wao waliouawa na wanazi wakati wa vita vikuu vy apili vya dunia.
"Kamwe isitokee tena, eeh Mungu, kamwe isitokee tena," alisema Papa Francis na kuongeza kuwa wako pale wakijiskia aibu kutokana na mwanadamu alichoweza kuwafanyia wanaadamu wenzake.
Mapema, Papa Francis alifanyia maombi katika ukuta wa magharibi mwa Jerusalem, ambao ni eneo takatifu zaidi wanakoweza kusalia wayahudi, na kuacha kikaratasi chenye sala ya "baba yetu" ilioandikwa katika lugha yake ya asili ya kihispania, katika moja ya nyufa zilizopo kati ya mawe ya ukuta huo.
Baadaye alimkumbatia rafiki yake Abraham Skorka, Padri wa Kiyahudi wa Argentina, na kiongozi wa jumuiya ya Waislamu wa Argentina Omar Abboud, ambao wote walikuwa katika ujumbe wake rasmi wa ziara hiyo kama ishara ya urafiki baina ya dini zote.
Papa Francis akikutana na Mufti mkuu wa Jerusalem. Papa Francis akikutana na Mufti mkuu wa Jerusalem.
Marais Israel, Palestina kuombea amani Vatican
Ziara ya Papa Francis imeainishwa na mwaliko wa ghafla kwa marais wa Palestina na Israel kwenda mjini Vatican mwezi ujao kwa lengo la kuombea amani. Viongozi hao wote waliukubali mwaliko, na papa Francis alitarajiwa kukutana na rais wa Israel anaemaliza muda wake Shimon Perez baadae leo.
Papa Francis alianza siku ya leo kwa kuvua viatu vyake na kuingia katika msikiti wa al Aqsa, ambao ndiyo eneo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu, inakoaminika kuwa Mtume Muhammad alipandia kwenda mbinguni.
Akizungumza na Mufti mkuu wa jiji la Jerusalemu na viongozi wengine wa Waislamu, papa Francis aliwataja Waislamu si tu kama marafiki wapendwa, bali kama ndugu wapendwa. Papa Francis anatajiwa kurejea mjini Rome kabla ya saa sita za usiku.
Mwandishi: Iddi Ssessanga
http://www.dw.de/ 

Pope's historic prayer deeply moves Jerusalem bishop

Bishop William Shomali, Auxiliary Bishop of Jerusalem, speaks with CNA on May 26, 2014. Credit: Paul Fifield/CNA.
Bishop William Shomali, Auxiliary Bishop of Jerusalem, speaks with CNA on May 26, 2014.
The auxiliary bishop of Jerusalem described the recent prayer shared between Pope Francis and Patriarch Bartholomew I as a moving event, predicting future blessings from the encounter.

“Really, it was moving. It was very moving and emotional,” Bishop William Shomali of Jerusalem told CNA May 25, explaining that he had never witnessed anything like it before.

“The humility of the Pope, the friendship which was born between the Pope and the Patriarch of Constantinople, the atmosphere, the nature of people present of the Holy Sepulcher. It was historical in all ways.”

Bishop Shomali, who was present during the communal prayer at the Church of the Holy Sepulcher  May 25 during the Pope's trip to the Holy Land earlier this week, said that the importance of that moment in terms of unity amongst the varying rites was never doubted.

“The fruits are unpredictable – we don't know what it will result in,” he said. “But at least something will come out of it,” the bishop added, noting that one concrete hope is “that the unification of the Calendar of the Easter should be an immediate result of this.”

Sunday's meeting between the Pope and the Patriarch marks the 50th anniversary of the meeting between Paul VI and the then Patriarch Athenagoras in Jerusalem on Jan. 6, 1964.

Pope Francis and Patriarch Bartholomew wished to commemorate the historical encounter again in Jerusalem, thus pushing to foster the ecumenical path toward the unity of Christians.

Housing both the tomb of Christ and the site of his crucifixion, the Holy Sepulcher has been a source of conflict among varying Christian denominations, including Roman Catholics, Orthodox and Armenians, as to who claimed property rights over the holy sites.

These rights as are currently under negotiation between the Vatican and the State of Israel.

Implemented during the 17th and 18th centuries in order to relieve tensions surrounding ownership, a “status quo” currently dictates the times and durations of events and liturgies among the varying rites, as well as how they are practiced, whether sung or read.

Also under negotiation are is a more lenient policy allowing Christians to worship in the Cenacle, which they traditionally believe to be the site where Jesus appeared to the disciples after his resurrection and where the Holy Spirit descended upon them at Pentecost.

Observing the importance of how Pope Francis was able to celebrate Mass there during his three day pilgrimage to the Holy Land, Bishop Shomali explained that “In some occasions yes,” the Christians can hold Mass, but it is not common and “you have to ask for permission.”

“Normally, only visits are allowed to this place because it is a place which is contested and claimed by Israelis and Muslims” he noted.

“Muslims consider it to be a mosque,” while “Israelis say ‘this is the Tomb of David area compound' and that “it was ours after 1948.’ So really the Vatican doesn’t want sovereignty over it,” the bishop explained. “They only want sometimes during the day to have the possibility of holding prayers.”

“But this Mass today is exceptional,” he said, referencing Pope Francis' Eucharistic celebration there on May 26. “It’s not part of the normal sequence of events for the daily basis use of the Cenacle.”

Voicing his hopes for the outcome of the negotiations, which Israeli Ambassador to the Holy See Dr. Zion Evrony stated could conclude this summer, Bishop Shomali said that “we hope that the Vatican will be able to have more usage.”

“More hours of prayer, in the early morning before the pilgrims start to come so no one will be ‘hurt’ by these two hours.”

Women are Reforming the Church

SHANGILIENI ARUSHA KUACHIA DVD MPYA WIKI MBILI ZIJAZO


Kwaya maarufu nchini ya Tumaini Shangilieni kutoka kanisa la Kianglikana parokia ya Mtakatifu James Kaloleni jijini Arusha, inatarajia kuachia DVD yake mpya iitwayo 'Nisamehe' tarehe 8 mwezi June mwaka huu, katika ibada itakayofanyika kanisani kwao Arusha.

DVD hiyo ambayo inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa muziki wa injili nchini, itakuwa inavionjo na madhari ya kipekee hasa kutokana na kwaya hiyo kuwa na wadada wapya ambao wameongoza baadhi ya nyimbo kwa umaridadi lakini pia baadhi ya picha katika DVD hiyo, zilirekodiwa nchini Afrika ya Kusini  wakati kwaya hiyo ilipotembelea nchini humo mwishoni mwa mwaka jana.

Tumaini ni moja kati ya kwaya kongwe ambazo zinaendelea kuhimili mitego ya shetani kwa kuendelea kusimama katika wito ilioitiwa lakini pia umoja na upendo katikati ya wanakwaya wa kwaya hiyo umewafanya kumiliki vyombo vya kisasa, mabasi mawili ya kusafiria, duka kubwa la kanda ambalo pia limekuwa likiiongezea kwaya hiyo kipato katika kusukuma gurudumu la injili.

Aidha kwa wale wapenzi wa kwaya hiyo, wanaweza kupata miito ya simu kwa kununua nyimbo za Tumaini kupitia kampuni ya Tigo, album ambayo inapatikana kwasasa 'Unishike'. Namna ya kupata miito na wimbo kuchagua angalia picha chini. Wakati huo huo kwaya hiyo inatarajia kuelekea mkoani Tabora wiki inayofuatia baada ya uzinduzi kwa ajili ya huduma.








    Habari na Gospel Kitaa

Mawaziri acheni jeuri, ubabe kuweni wasikivu

Kwa muda mrefu sasa, serikali imekuwa ikijinadi kuwa ni sikivu kwa matatizo ya wananchi wake.
Hiyo imetokea kuwa kaulimbiu muhimu kwa viongozi wake wengi kwa ngazi mbalimbali, wakiwamo mawaziri kila wanapozungumzia masuala mazito ya jamii.
Kwa kutumia kaulimbiu hiyo, mara nyingi Serikali imekuwa ikijinadi kuwa ipo makini, inawatumikia wananchi au Watanzania wote kwa umakini na uadilifu.
Lakini, kwa kuangalia majadiliano na mijadala mingi ambayo imekuwa ikiendelea ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma, usikivu huu wa Serikali kwa hakika unatia shaka.
Tunasema kauli hizi zinatia shaka hasa kwa sababu inaonekana maoni na ushauri unaoonekana kuwa mzuri na wenye tija unaotolewa bungeni, umekuwa hautiliwi maanani na wakati mwingine kubezwa na hata kufanyiwa mzaha.
Ushauri huo ambao hutolewa ama na wabunge au kupitia maoni ya kamati za Bunge na mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani, umekuwa ukitolewa majibu mepesi na pengine kubinafsishwa na matokeo yake yamekuwa ni kushambuliwa kwa msemaji au mtoaji ushauri.
Hii imetokea karibu katika wizara zote zilizowasilisha hotuba zao za makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2014/15.
Mawaziri hao walitumia muda mwingi kushambulia kambi ya upinzani, wasemaji wao na kutotolea majibu mapungufu ambayo yalibainishwa na kamati husika za wizara hizo.
Matukio ya hivi karibuni ni yale yaliyomuhisisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Wizara wa Maliasili na Utalii ambao walitumia muda mwingi kushambulia maoni au hoja za wabunge, hasa wa upinzani, na hivyo kutotoa majibu yanayolenga kuondoa utata kwenye masuala yaliyohojiwa.
Hatutaki kuamini kuwa maoni, maswali na hoja zinazotolewa dhidi ya serikali zote si sahihi na zinastahili kubezwa na kutolewa majibu yasiyoondoa utata unaotakiwa uwekwe bayana.
Mawaziri na Serikali hawana budi kutambua kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi na mambo wanayohoji wanafanya kwa niaba ya wananchi na huweza kuhoji kwa sababu wanatumia muda wao mwingi kufanya tafiti kwa ajili ya kupata uwezo wa kuihoji na kuisimamia serikali.
Kwa hiyo, tunadhani Serikali haina budi kujitazama upya jinsi inavyopokea na kufanyia kazi ushauri na maswali yanayoibuliwa na wabunge.
Kwa habari zaidi ingiaMawaziri acheni jeuri, ubabe kuweni wasikivu

Prof Tibaijuka asalimu amri Kigamboni


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka.PICHA|MAKTABA 
Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka juzi aliwekwa kitimoto na wabunge waliotishia kuondoa shilingi kukwamisha bajeti ya wizara yake kiasi cha kumlazimisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuingilia kati na kuokoa jahazi.
Pinda aliokoa jahazi baada ya mbunge wa Kigamboni, Dk faustine Ndungulile kukataa kurudisha shilingi akieleza kuwa Serikali haijashirikisha wadau katika mradi huo utakaogharimu Sh11.7 trilioni utakapokamilika.
“Nimeona kuna tatizo la elimu kwa umma kuhusu mradi huu na ushirikishwaji,” alisema Pinda baada ya mbunge wa viti maalum (CCM), Esther Bulaya kumuomba aingilie kati ili kuondoa aibu kwa Serikali.
“Serikali tunaomba tuachiwe suala hili. Wizara itaanza kutoa elimu kuhusu mradi huu.”
Awali Tibaijuka, ambaye alikuwa na kazi ya kujibu tuhuma za ufisadi wa kutumia madaraka vibaya katika mgogoro wa Chasimba na kiwanda cha saruji cha Wazo Hill jijini Dar es salaa, alijitahidi kupangua hoja za kambi ya upinzani na wakati mwingine kumshambulia mbunge wa Kawe, Halima Mdee aliyeshikia bango mgogoro wa wananchi wa Chasimba na kiwanda cha saruji cha Wazo Hill.
Tibaijuka, ambaye alikuwa mkurugenzi wa Shirika la Makazi ya Umoja wa Mataifa (UN-Habitat), baadaye alisema anakubaliana na mawazo ya wengi kuhusu hali na mazingira ya mji wa Kigamboni uliopo jijini Dar es Salaam hivyo kwa kuwa kuna kasoro na kwamba suala la ushirikishwaji linawezekana.
Sakata hilo, ambalo lilionekana kumnyima raha Waziri Tibaijuka kadri mjadala ulivyokuwa unaendelea, lilitokea wakati Bunge lilipokaa kama kamati kupitisha vifungu vya bajeti hiyo ya Sh88.9 bilioni.
Mbunge wa Kigamboni, Dk Ndungulile aliondoa shilingi katika mshahara wa waziri akipinga namna Serikali inavyoutekeleza mradi wa uendelezaji wa wa mji wa Kigamboni bila ya kuwashirikisha wakazi wa Kigamboni.
Dk Ndungulile alisema kuwa wananchi hawashirikishwi katika mradi huo wala hawaelewi hatima ya malipo ya fidia ya nyumba zao.
Badala yake, mbunge huyo alisema, wananchi wanalazimishwa kununua hisa kwa ajili ya umiliki wa mradi huo, kitu ambacho alikipinga.
“Suala la kuwa na hisa si la lazima ni hiari, kwanza waziri anazidi kuwachanganya wananchi wa Kigamboni ambao hawajaelimishwa kuhusu suala hilo, hivyo naondoa shilingi katika bajeti yako,” alisema Dk Ndungulile.
Mbunge huyo aliungwa mkono na wabunge wengine akiwamo mbunge wa viti maalum (CCM), Esther Bulaya, mbunge wa Temeke, Zuberi Mtemvu na mbunge wa viti maalumu (CCM), Zarina Madabida.
Kwa habari zaidi ingiahttp://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Prof-Tibaijuka-asalimu-amri-Kigamboni/-/1597296/2331324/-/fdskv8z/-/index.html

Google kufuta historia ya watu Ulaya

Google ina wasiwasi kuwa mataifa kandamizi yatafurahia sana amri ya mahakama Ulaya
Kampuni ya Google inatarajiwa kuzindua huduma ambayo, itawawezesha raia wa Ulaya kuomba viambatanishi vya mitandao yenye taarifa kuhusu maisha yao kufutwa
Google ambao hutumiwa kwa ukubwa duniani kutafuta taarifa imesema kamati ya wakurugenzi wakuu na wataalamu wa kujitegemea wataunda mpango wa muda mrefu kushughulikia maombi hayo ya watu kutoka Ulaya.
Hatua hiyo inajiri baada ya mahakama ya haki Ulaya kuamua kwamba viambatanishi vya data za zamani au zisizo muhimu za watu zinapaswa kufutwa iwapo watu wataomba hivyo.
Mkurugenzi mkuu wa Google, Larry Page amesema kampuni hiyo itafuata hukumu hiyo ya Ulaya lakini ameonya huenda ikaathiri ubunifu na ikafurahisha nchi zenye watawala wakandamizaji.

Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto

DodomaKambi Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).
Hii ni mara ya kwanza kwa kambi ya upinzani kumhusiaha mbunge ‘mwenzao’ na tuhuma za ufisadi tofauti na kawaida yao ya ‘kuwashughulikia’ ubadhirifu katika Serikali.
Zitto, mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema na ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), anadaiwa kuchota fedha hizo kupitia kampuni ya Leka Dutigite ambayo ina hisa nyingi katika kampuni nyingine ya Gombe Advisors Limited ambayo Zitto ni mkurugenzi wake.
Akiwasilisha maoni ya upinzani bungeni jana kuhusu makadirio na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo mwaka 2014/15, waziri kivuli wa wizara hiyo, Joseph Mbilinyi alisema Zitto hakutakiwa kuchota fedha hizo kwa kuwa anabanwa na sheria ya maadili ya viongozi wa umma.
Alisema Zitto, ambaye katika miezi ya karibuni aliingia kwenye mgogoro na uongozi wa chama chake, ni mwenyekiti wa PAC, kamati ambayo jukumu lake ni kushughulikia maeneo yenye matatizo sugu ya matumizi mabaya ya fedha za umma katika wizara na mashirika ya umma, yakiwamo Tanapa na NSSF, hivyo kulikuwa na mgongano wa kimasilahi katika suala hilo.
Tuhuma za Zitto
Katika hotuba yake, Mbilinyi alisema taarifa za kibenki ambazo kambi hiyo imezipata zinaonyesha kuwa Desemba 10, 2012, Hifadhi ya Taifa ya Saadani ilihamisha Sh12 milioni kwenda katika akaunti ya kampuni ya Leka Dutigite.
“Siku moja baadaye fedha hizo zilitolewa kwa pesa taslimu kutoka kwenye akaunti hiyo. Januari 14 na Februari 7, 2013 akaunti ya Leka Dutigite iliingiziwa Sh28.6 milioni,” alisema Mbilinyi.
Sugu alisema fedha hizo ziliingizwa na mtu aitwaye Mchange na kwamba ilipofika Februari 7 zote zilikuwa zimetolewa.
Alisema Februari 28 mwaka jana, akaunti ya Leka Dutigite iliingiziwa Sh32.3 milioni kutoka NSSF na kwamba siku hiyo hiyo fedha hizo zilitolewa kwenye akaunti hiyo. Siku nne baadaye shirika hilo lilifanya malipo mengine kwenye akaunti ya Leka Dutigite.
“Ziliingizwa Sh46.6 milioni ambazo zilitolewa kutoka kwenye akaunti hiyo kwa mikupuo miwili. Katika kipindi cha miezi mitatu, kati ya Desemba 10, 2012 na Machi 4, 2013 kampuni hiyo (ya Zitto) ililipwa Sh119.9 milioni kwa utaratibu huohuo wa ingiza-toa fasta,” alisema Mbilinyi.
Alisema kati ya fedha hizo Sh12.2 milioni zililipwa na Tanapa na Sh79 milioni zililipwa na NSSF.

Mume atumai mkewe atanusurika kifo Sudan

Mume wa mwanamke aliyehukumiwa kifo kwa kuuasi uislamu na kuolewa na mkristo, ameielezea BBC juu ya matumaini yake kwamba rufaa yake itafaulu.
Dani Wani, mumewe Meriam Yahya Ibrahim, amemtembelea mkewe jela anakozuiliwa ambako amejifungua mtoto wa kike.
Dani Wani na wanawe, ameelezea matumaini yake kuwa rufaa ya mkewe itafaulu.
Amesema anahudumiwa vyema lakini mazingira hayo ya jela yamemuathiri sana mtoto wao wa kwanza.
Hukumu hiyo ya kifo kwa mwanamke huyo imeshtumiwa vikali na jamii ya kimataifa.
Ni matumaini yao kuwa rufaa hiyo itafaulu kabla ya mda wa miaka miwili aliyopewa kumwezesha kumnyonyesha mwanawe ipasavyo kukamilika.
Meriam alishtakiwa kwa kukataa kuurudia uislamu.
Nchini Sudan mwanamke wa kiislamu haruhusiwi kuolewa na mume asiyekuwa muislamu.

Kampeini kukomesha ndoa za watoto Afrika


Baadi ya jamii afrika huoza watoto wao wadogo kwa sababu za kifedha
Umoja wa Afrika umeanzisha kampeini kabambe barani Afrika kusitisha ndoa za watoto wadogo.
Kampeini hiyo ilizinduliwa mjini Addis Ababa katika makao makuu ya umoja huo .
Wataalamu wameonya kuwa ndoa za watoto wadogo zinakatiza ujana wa wasichana zaidi ya milioni kumi na saba, au mmoja kati ya wasichana watatu barani Afrika.
Inakisiwa kuwa asili mia tisini ya nchi zinazoathiriwa na ndoa hizi ni za Afrika
Watetezi wa haki za watoto, wanasema kuwa ndoa za watoto zinakiuka haki za msingi za wasichana kama vile elimu kwasababu wakiolewa wanalazimishwa kuacha shule na kuwahudumia waume zao.
Pia kuna hofu kubwa za kiafya kwa kila msichana mwenye umri mdogo anayepata mimba.
Baadhi wanasema kuwa wasichana hawa pia mara nyingi wanaishi kama wafungwa kwenye nyumba zao huku wakinyimwa ruhusa ya kutoka nje na huenda hata wanapigwa na kunyanyaswa.
Barani Afrika, nchi inayoaminika kuwa na idadi kubwa zaidi ya wasichana wadogo wanaoolewa, mara nyingi kwa lazima, ni Niger ambayo imefikia asilia mia sabini na tano.
Inafuatiwa kwa karibu zaidi na Jamhuri ya Afrika ya Kati na Chad.

Thursday, May 29, 2014

Rais Goodluck atangaza vita vikali

Wasichana wamekuwa wakizuiliwa na Boko Haram kwa wiki saba sasa
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameagiza kufanywa oparesheni kali zaidi ili kudhibiti alichokiita mauaji ya kiholela yanayofanywa na magaidi.
Katika hotuba kwa taifa kuadhimisha siku ya demokrasia, rais Jonathan alitaja utekaji nyara wa zaidi ya wasichana mia mbili wa shule na kundi la Boko Harama kuwa unyama usiokubalika kamwe.
Waandishi hata hivyo wanasema kuwa haijulikani rais Jonathan anazungumzia kuchukua hatua zipi au ni oparesheni gani itafanywa kwa sababu tayari eneo hilo la Kaskazini mashariki mwa Nigeria tayari limewekwa chini ya hali ya hatari.
Rais Jonathan pia ameahidi kufanya mashauriano na upatanishi na watu watakaoweka silaha chini na kukoma kujihusisha na ugaidi.
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu
Alipongeza jamii ya kimataifa kwa kuisaidia Nigeria kukabiliana na tatizo la ugaidi na usalama kwa jumla.
Rais Jonathan ameahidi kushughulikia swala la umasikini ambalo limechochea harakati kama za Boko Haram, lakini akasisitiza hilo litafanyika tu ikiwa ugaidi unaotendwa na Boko Haram utakomeshwa.
Benki ya dunia inasema kuwa zaidi ya watu milioni miamoja na kumi na tatu wanaishi kwa umaskini katika taifa hilo linalozalisha kiwango kikubwa zaidi cha mafuta Afrika.
Rais Goodluck, ametoa fursa kwa Boko Haram ikiwa wanataka kufanya mazungumzo na serikali kama njia ya kusuluhisha matatizo yao.
Maelfu ya watu wameuawa katika miaka mitano ya harakati za kundi hilo.Mwaka huu pekee watu 2,000 wameuawa huku zaidi ya wengine 750,000 wakiachwa bila makao.

Lutherans in Crimea to Decide their Church Affiliation

Abdel-Fattah al-Sisi rais mpya wa Misri

Rais mpya wa Misri Al Sisi
Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini Misri , Abdel-Fattah al-Sisi, ndiye Rais mpya wa Misri baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.
Vyombo vya habari vya kitaifa nchini Misri vinasema matokeo ya mapema yanaonyesha kwamba amejinyakulia zaidi ya asilimia 96 ya kura hizo.
Muslim Brotherhood na makundi mengine yaliususia uchaguzi huo na idadi ya waliojitokeza kupiga kura inakadiriwa kuwa chini ya asilimia 45.
Hii ni licha ya kuongezwa siku ya kupiga kura, kutangazwa siku ya kitaifa ya mapumziko na hata pia kutolewa usafiri wa bure kuwapeleka wananchi kupiga kura.
Sisi alimng'oa mamlakani aliyekuwa Rais Mohammed Morsi ambaye alikuwa Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Misri.
Sherehe za baada ya kutangzwa ushindi wa Al Sisi
'Vita dhidi ya Brotherhood'
Aliongoza vita dhidi ya vuguvugu la Muslim Brotherhood, lake Mohammed Morsi ambapo wanachama zaidi ya 1,400 waliuawa na wengine 16,000 kuzuiliwa.
Vuguvugu la Brotherhood lilisusia uchaguzi huo,kama walivyofanya wanaharakati wa makundi mengine ya kisiasa.
Hamdeen Sabahi, mgombea mwengine wa pekee katika uchaguzi huo,alisema hapo awali kuwa chama chake kilishuhudia ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi.
Hata hivyo alikatalia mbali wito kutoka kwa wafuasi wake kujiondoa katika uchaguzi akisema kuwa jambao kama hilo lingekiuka matakwa ya wamisri.
Sabahi alipata kura 760,000 kati ya kura milioni 24.7 zilizohesabiwa , na kushindwa katika maeneo mengi ya nchi ambako kura nyingi zilizopigwa zilikuwa na makosa.
Shughuli ya kuhesabu kura ikiendelea
Mamia ya wafuasi wa Sisi walisherehekea ushindi wake mjini Cairo nyakati za asubuhi na mapema, wakipeperusha bendera za Misri huku wakipiga honi kwa fujo.
Maafisa wa uchaguzi waliongeza muda wa kupiga kura kwa siku nyingine moja na ya tatu kwa matumaini kuwa wangepata idadi kubwa ya wapiga kura.
Licha ya hilo vituo vingi vya kupigia kura viliripotiwa kutokuwa na watu Jumatano.

Wabakwa kisha kunyongwa India

Wasichana wawili wa kihindi waliopatikana wakiwa wananing'inia kwenye mti katika jimbo la Uttar Pradesh, walikuwa wamebakwa kisha wakanyongwa.
Polisi wanasema kuwa mwanamume mmoja amekamatwa kuhusiana na mauaji hayo huku polisi watatu wakiachishwa kazi kwa kutosajili kesi hiyo iliporipotiwa kuwa wasichana hao walikuwa wametoweka, kabla ya kupatikana wakiwa wameuawa.
Wasichana hao walipatikana katika wilaya ya Badaun na wanadhaniwa kuwa na umri mdogo kuanzia 13 hadi 15
Ubaguzi dhidi ya wanawake umekita mizizi katika jamii nyingi nchini India.
Visa vya dhuluma za kingono vimeendelea kukithiri nchini India tangu mwaka 2012 ambapo msichana mmoja alibakwa na genge la vijana hadi kufa
Serikali ililazimika kuweka sheria kali kwa wanaopatikana na hatia ya kutenda vitendo vya dhuluma za kingono baada ya maandamano kufanyika kote nchini kufuatia shambulizi hilo.
Polisi mmoja aliambia BBC kuwa wasichana hao walikuwa na uhusiano wa kifamilia na walipatwa wakiwa wananing'inia kwenye mti kijiji cha Badaun mnamo siku ya Jumatano.
Alisema kuwa polisi wanawasaka wanmaume wawili waliowabaka wasichana hao na kisha kuwanyonga.
Wasichana hao walichomwa kuambatana na tamaduni za maziko ya kihindi Jumatano.
Polisi wanasema wanachunguza ambavyo wasichana hao walipotea, kubakwa na kisha kuwekwa kwenye mti.

Pope Francis meets with doctor who saved his life


Pope Francis greets pilgrims during the Wednesday General Audience on April 23, 2014. Credit: Kyle Burkhart/CNA.
Pope Francis
Pope Francis met recently with Dr. Juan Carlos Parodi, the Argentinean surgeon who operated on him for gall bladder failure in 1980 and whom he attributes with saving his life.

Dr. Parodi recounted the story to the Argentinean daily La Nacion May 20.

“It was a surprise for me. In 1980 I was called by a doctor who said he was treating a humble priest who was very sick. He was a Jesuit and had taken the vows of poverty, chastity and obedience and did not have any money. He asked me, ‘Are you able to help him?’ I was honored. I dropped everything and went to see this priest. He was very sick.”

“I operated on him, I don’t remember much else but that he came out okay and gave me a book. He insisted on paying me and of course I refused. He gave me a book which he signed. Later I found out that that humble and very sick priest was Bergoglio,” Parodi recalled.

Speaking on Radio Continental, he shared details about his recent visit with his former patient.

“On April 9 I was at a congress in London, and I was told I could have a private audience. It was one of the most beautiful experiences of my life. First, because I learned many things that I did not know, and plus to see the Holy Father.”

“He was radiant as he came into St. Martha’s and he said to me, ‘Juan Carlo, you look the same as that night when I saw you and I thought I was dying. You saved my life.’ ‘What?’ I said. ‘Yes, you saved my life because I had gall bladder failure, and everyone knows that that is very deadly. You operated on me that very night. I will never forget your face, because when I saw your face I began to feel better, I got better’,” the Pope told him.

“He was very ill, and according to him, I saved his life. That made me very happy,” Dr. Parodi said.

The two men had “a very beautiful conversation for 40 minutes,” the Argentinean surgeon recalled, adding that he found the Pope to be in “perfect, incredible, very, very good health.”

“Obviously I gave him some advice, what all doctors do, but he looked great. With a lot of joy and peace,” he said. “It was a very enriching experience that changed my life.”

On March 19, 2013, a few days after the election of Pope Francis, Dr. Parodi sent a letter to the editor to La Nacion describing the pontiff as “a man who will be much loved and who will do great good for the world. He was my patient and I operated on him some years ago. His humility is a perfect example of his personality.”

“The Church does not need to be rich or ostentatious, but she needs to have resources in order to effectively carry out and fulfill her mission. Let us rejoice in the good fortune of having a good and intelligent man as the new pope of our Church,” he wrote.

Dr. Juan Carlos Parodi was born in Argentina in 1942 is known for his work in developing new techniques to repair the aorta. He studied medicine at the University of El Salvador and obtained his postgraduate degree at the University of Illinois. He is an honorary professor at the University of Buenos Aires and chief resident surgeon at the Cleveland Clinic Foundation.

Serikali yaiongezea Wizara ya Maji Sh100 bil


“Kwa sababu mmesema tusiyazungumze haya mambo kule bungeni, basi tusubiri taarifa ya uchunguzi na mimi nawaambia kama wapo wanaohusika humu ndani nakuambieni ripoti ikija hapatatosha.” Kangi Lugola 
Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi

Dodoma. Kuna kila dalili kwamba homa ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Maji na ile ya Nishati na Madini inazidi kupanda na jana wabunge wa CCM walikutana kwa dharura ili kunusuru bajeti hizo.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema, Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliwatangazia wabunge hao kuwa Serikali imekubali kuiongezea Wizara ya Maji Sh100 bilioni kufidia pengo la Mwaka wa Fedha 2013/2014.
Kadhalika wabunge hao waliambiwa kuwa Serikali pia imekubali kutoa Sh50 bilioni kwenda Wakala wa Umeme Vijijini (Rea) ambazo zilikusanywa na Hazina lakini hazikupelekwa kama taratibu zinavyoelekeza.
Taarifa za uhakika kutoka Hazina, zinaonyesha kuwa katika Mwaka wa Fedha 2013/2014, Rea ilipaswa kupokea Sh123.7 bilioni lakini hadi kufikia Machi mwaka huu, ilikuwa imepokea Sh79 bilioni. Kama ilivyokuwa katika bajeti ya Maji, kitendo cha Hazina kutoipatia Rea fedha hizo kwa wakati kuliibua hasira za wabunge wengi ambao walijipanga kukwamisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini.
Kwa upande wa Maji, katika Mwaka wa Fedha wa 2013/2014, Wizara ya Maji ilikuwa ipewe Sh184 bilioni kutekeleza miradi ya maji lakini hadi kufikia Machi mwaka huu, Serikali ilikuwa imetoa Sh86 bilioni.
Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zinasema kuwa kutolewa kwa fedha hizo ambazo awali ilionekana zisingetolewa, kulitokana na jitihada kubwa zilizofanywa na Kamati ya Bunge ya Bajeti inayoongozwa na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alikiri kwamba wizara hizo zitapatiwa fedha hizo lakini akasema siyo nyongeza bali ni utekelezaji utoaji wa fedha za mwaka 2013/2014.
“Maji tutawapa kama bilioni 50 hivi na Rea pia tutawapa kiasi kama hicho na kwa upande wa Rea tutakuwa tumetoa fedha zote kwa asilimia 100 ila Maji watapata fedha zote kabla ya kuisha kwa mwaka fedha,”alisema.
Serikali kwa Mwaka wa Fedha wa 2013/2014 ina upungufu wa Sh1.8 trilioni za bajeti ya maendeleo hali iliyosababisha baadhi ya wizara kupata asilimia kati ya 19 na 30 ya fedha za maendeleo.
Fedha za escrow
Habari zaidi zinasema ndani ya kikao hicho kuliibuka sakata la kashfa ya Sh200 bilioni ya Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambapo baadhi ya wabunge walitaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo awajibike.
Hata hivyo, Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola ndiye aliyemwokoa Profesa Muhongo baada ya kusema kwa vile suala hilo tayari limekabidhiwa vyombo vya kiuchunguzi, ni vyema wabunge wakasubiri ripoti hiyo.
Kwa habari ziadi ingiahttp://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Serikali-yaiongezea-Wizara-ya-Maji-Sh100-bil/-/1597296/2329942/-/10r1pn0z/-/index.html

Membe aikaribisha Takukuru wizarani


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.PICHA|MAKTABA 
Na Daniel Mjema, Mwananchi
Dodoma. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ataipa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) jukumu la kuchunguza ufisadi wa mamilioni ya fedha katika ununuzi wa tiketi za safari za nje za wizara yake.
Ahadi hiyo ilitokana na tishio la Mbunge wa Ole, Rajab Mbaruku la kutishia kuondoa shilingi endapo Waziri Membe asingetoa mkakati wa kupambana na ufisadi huo ulioibuliwa kwenye taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ambayo ilifichua ununuzi wa tiketi kwa bei ya juu zaidi ya mara 16 ya bei halisi ya soko.
Katika taarifa yake alibaini ukiukwaji wa sheria za ununuzi na kwamba tiketi 56 zilizotakiwa kununuliwa kwa Sh700.9 milioni, zilinunuliwa kwa Sh974.5 milioni ikiwa ni ongezeko la Sh273.6. milioni jambo ambalo ni kinyume cha mikataba ya Mawakala wa Huduma za Manunuzi (GPSA).
CAG pia alibaini kuwa katika tiketi 22 zilizochukuliwa zikiwakilisha safari 239 za maofisa wa wizara, zilionyesha kuwa tiketi hizo zilitozwa zaidi ya kiwango kilichokubaliwa.
Juzi, Mbaruku ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), alimbana Waziri Membe akitaka atoe ahadi ya jinsi wizara yake itakavyoshughulikia suala hilo na asipofanya hivyo, angeondoa shilingi kwenye mshahara wake, hatua ambayo ingesababisha kukwama bajeti hiyo.
Hata hivyo, katika majibu yake Waziri Membe alijikita zaidi katika kutetea misafara ya Rais, baada ya wabunge kulalamikia kuwa inatumia fedha nyingi za serikali kwa kuwa inakuwa na watu wengi, jibu ambalo halikumlidhisha Mbaruku.
“Sijaridhika na majibu ya waziri amejielekeza zaidi kwenye safari za Rais. Nilichokizungumza mimi ni kuzingatia kanuni za ununuzi wa umma kwamba inakiukwa,” alisema Mbaruku.
“Pia nimetoa mifano miwili ya safari ambazo zimefanywa na maofisa wake na hazikuwa za kushtukiza ambazo zimetumia fedha nyingi tofauti na zile zilizotakiwa kutumiwa katika uhalisia wake.”
“Kwa hiyo bado nashikilia shilingi ya mshahara wa waziri hadi atoe commitment (hakikisho) namna ya kushughulikia ufisadi unaofanywa na maofisa wake.”
Ndipo Membe aliposema: “Mimi nilikuwa nataka tu nimshauri mwenzangu... kwa kuwa ni kitu specific cha watu... Kwa nini asitupe muda sisi twende tukalifanyie kazi kwa sababu siyo jambo kubwa.
“Siyo suala la sera ni watu mafisadi kama anavyowaita. Wako mle, tutakwenda kuchunguza na tutaomba wenzetu wa Takukuru waliangalie halafu mambo yakienda vizuri nitaleta taarifa hapa bungeni,” alisema.
Kauli ya Membe ilionekana kumgusa Naibu Spika, Job Ndugai, ambaye alimsihi Mbaruku alichukue jambo hilo ili likashughulikiwe na kamati za Bunge hasa ikizingatiwa yeye ni mwenyekiti wa LAAC.
Kwa habari ziadi ingia http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Membe-aikaribisha-Takukuru-wizarani/-/1597296/2329916/-/wnc526z/-/index.html

HUYU NDIO MTUNZI WA NYIMBO MAARUFU ZA AIC CHANG'OMBE WANA WA GUSA

Haya msomaji wetu wa Gospel Kitaa karibu katika kipengele chetu maalumu ''KWA TAARIFA YAKO'' ambacho kinakujia kila siku za alhamisi ndani ya GK kikiwa na lengo la kukupatia habari ambayo iliwahi kutukia lakini yawezekana huijui pia yawezekana ilitukia ukawa unaijua lakini GK ikawa imesahau mahali au kuna sehemu haina usahihi utapata fursa ya kusahihisha kwa kuweka comment yako chini kabisa kwenye habari husika. Karibu


Mdau wa GK hapana shaka kwamba kama kuna mtu hii leo akiulizwa ni kwaya gani ya kanisa la African Inland Church (A.I.C) Tanzania anayoifahamu, hapana shaka jibu jina la kwaya ya AIC Chang'ombe (CVC) halitakosekana mdomoni mwake, je unajua ni kwasababu gani? KWA TAARIFA YAKO ni kwamba kwaya hii yenye makazi yake Chang'ombe kwa sokota jijini Dar es salaam, imejizolea mashabiki lukuki ndani na nje ya nchi yawezekana kuliko kwaya yoyote ya kanisa la A.I.C Tanzania.

KWA TAARIFA YAKO moja ya vitu vilivyoitambulisha kwaya hii, ni uimbaji wao hasa utunzi wa
Papaa Clement Buhembo
nyimbo waziimbazo ambazo zimeonekana kuwagusa wengi toka walipotoa album ya Vunja nguza za giza ikiwa ni DVD yao ya kwanza kuwatambulisha wakiwa wamerekodi Habari Maalum ya jijini Arusha, baada ya hapo wakaja na Gusa, kabla mambo hayajapoa wakatoa Jihadhari na mpinga Kristo, mambo yakanoga zaidi wakatoa album ya Usiku wa manane ambayo bado hawajaipatia mdogo wake.
Je umewahi kujiuliza kwamba imekuwaje kwaya hii imeweza kuvuta maelfu kununua kanda zao kila wanapotoa toleo jipya? KWA TAARIFA YAKO licha ya kuwa na watunzi mbalimbali wa kwaya hiyo wakiongozwa na mwalimu wao aitwaye Steven Deffa, kwaya hii inamtunzi wake mwingine wa nyimbo ambaye nyimbo alizozitunga zimeitambulisha kwaya hiyo zaidi huyu si mwingine bali ni mwalimu Clement Buhembo almaarufu kama Papaa, mwalimu huyu ametunga nyimbo kama Vunja, Gusa, Badirika, Jihadhari na mpinga Kristo, Usiku wa manane na nyimbo nyinginezo za kwaya hiyo ya Chang'ombe.

KWA TAARIFA YAKO mwalimu huyu kipawa chake amekifundisha na kwa kwaya nyingine kama Kinondoni Revival wimbo uitwao Hakikisha ulio kwenye album yao ya Mtu wa nne, hapana shaka unaipata album ya Kekundu kutoka kwa kwaya ya vijana Makongoro Mwanza ni kazi nzuri ya mwalimu huyu, je umewahi kuisikiliza album iliyopita ya AIC Dar es salaam Choir? moja ya album ambayo mimi binafsi mpaka leo naona ni kati ya album bora zilizowahi kurekodiwa na kwaya hiyo, sikiliza wimbo uitwao Huwezi utunzi wake Papaa huku pia ukipata muongozaji makini mwanadada Mercy Nyagwaswa Mwalukasa. KWA TAARIFA YAKO Papaa hakuishia hapo ameifundisha kwaya ya Ukombozi Msasani Lutheran nyimbo mbili ambazo hata hivyo bado kwaya hiyo haijaingia studio kuzirekodi.






KWA TAARIFA YAKO Papaa amezitungia nyimbo kwaya mbalimbali za kanisa lake la AIC na nje ya kanisa hilo kama nilivyozitaja hapo juu. Licha ya kufundisha katika kwaya nyingi lakini bado Chang'ombe wameonekana kuendana na namna ya utunzi wa nyimbo zake, kwakuwa katika album zote alizoshiriki utunzi na kwaya hiyo, basi zitatokea kupendwa sana, hata sasa GK imepata taarifa kwamba wakati album ya Usiku wa manane ikingali ikifanya vizuri sokoni, tayari mwalimu huyo ameshafundisha nyimbo nyingine kali za album nyingine ya kwaya hiyo ambayo bado haijajulikana wataingia lini studio, mwezi Disemba mwaka jana ilitimiza miaka 25 toka kuanzishwa kwake.

Papaa wa tatu kutoka kushoto, akiwa na watunzi wengine wa nyimbo wa kwaya ya Chang'ombe wakati wa jubilee ya miaka 25 ya kwaya hiyo Desemba mwaka jana.

KWA TAARIFA YAKO Papaa ana wanafunzi wake ambao nao wanafuata nyayo zake kwakufundisha kwaya mbalimbali kwa nyimbo zenye muelekeo wa Papaa. Pamoja na uimbaji mzuri wa kwaya ya Chang'ombe, GK inaweza pia kuthubutu kwamba kwa Tanzania ndiyo kwaya inayoongoza kwakuwa na sare nyingi na nadhifu hata unapoangalia video zake unajua hii kwaya wote vibosile kutokana na kuonekana kuvaa sare za gharama kumbe ni mpangilio tu wa mavazi na uchaguzi mzuri wa sare. Ni kwaya yenye maono makubwa ya kiroho na kimwili pia kwa maana ya kuwasaidia wanakwaya wake BONYEZA HAPA


Mrs Lydia Kashimba akiongoza wana wa Gusa, kugusa pindo la Mungu uwanja wa Kambarage Shinyanga.
Mrs Bahati Meshack akiongoza wenzake kumsifu mungu, uwanja wa Kambarage Shinyanga.

Hiyo ni KWA TAARIFA YAKO kwa leo vinginevyo, tukutane wiki ijayoo…...
Habari ni kutoka  www.gospelkitaa.co.tz

‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’

Akizungumza na Mwananchi nyumbani kwake, Sinza jijini Dar es Salaam, Kamata alisema ingawa ndoa hiyo haijafungwa, moyo wake una amani kwa kuwa alimwomba Mungu kuhusu suala hilo kwa muda mrefu na hicho ndicho Mungu alichojibu.PICHA|MAKTABA
Dar es Salaam. Suala la kukwama kufungwa kwa ndoa ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata limechukua sura mpya baada ya mzazi mwenza wa mchumba wa mbunge huyo, kukanusha taarifa kwamba alikwenda Dodoma kwa lengo la kuomba msaada kwa viongozi wa Bunge.
Kauli ya mama huyo imezidisha utata katika sakata la kukwama kufungwa kwa ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike Jumamosi baada ya kutokea habari kuwa mwanamke mmoja alikwenda bungeni mjini Dodoma kutaka kuonana na Spika kwa lengo la kuomba Bunge limsaidie kupata haki yake kabla ya harusi hiyo kufungwa na hivyo kusababisha harusi kutofanyika.
Kamata, ambaye alijizolea umaarufu kutokana na wimbo wake wa “Wanawake na Maendeleo” na baadaye kuingia bungeni katika uchaguzi wa mwaka 2010, alikuwa afunge ndoa na mtu aitwaye Charles Gardiner Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam, lakini haikufanyika kutokana na mbunge huyo kuwa mgonjwa kiasi cha kulazwa hospitali maeneo ya Tabata.
Jana, Kinavi Dadi, ambaye ni mzazi mwenza wa Gardiner, alikanusha kufunga safari hadi Dodoma kwa lengo hilo.
“Ni kweli kwamba Charles ni baba watoto wangu, lakini sijawahi kwenda Dodoma na wala sifahamu chochote kuhusu safari hiyo. Nadhani inatosha,” alisema mama huyo na hakutaka mazungumzo zaidi.
Baadaye kidogo mmoja wa ndugu wa Kinavi, ambaye aliomba asitajwe jina lake gazetini, alikiri ndugu yao kufunga ndoa na Gardiner Juni 2004 na kujaliwa kupata watoto wawili, lakini walitofautiana na baadaye ndoa yao kuvunjwa mwaka 2012.
“Ni kweli kwamba dada yetu alifunga ndoa na Charles, lakini pia ni kweli kwamba walipeana takala halali two years ago (miaka miwili iliyopita), kwa hiyo taarifa kwamba eti amezuia ndoa isifungwe, siyo za kweli na wala huko Dodoma hajawahi kwenda,” alisema.
Alisema taarifa kwamba aliyepata kuwa mke wa Gardiner alikwenda Dodoma kuomba msaada wa Bunge zimewaumiza sana kama familia kutokana ukweli kwamba Kinavi ndiye anayefahamika kuwa mke wa kwanza.
“Ndugu yetu analia sana kutokana na kuumizwa na wale wanaomchafua. Sisi katika familia tumelelewa kwa maadili hivyo Kinavi siyo mtu wa kuzuia ndoa ya Gardiner maana walishatengana, mawasiliano yaliyopo ni yale yanayohusu watoto ambao wana haki ya wazazi wote wawili. Hatujui waliozitangaza hizo habari walikuwa na malengo gani,” alisisitiza.
Bungeni Dodoma
Wakati hayo yakiendelea, habari kutoka bungeni Dodoma zinasema mwanamke aliyedaiwa kuwa mke wa Gardiner ni ‘feki’ na alikuwa wa kutengenezwa na baadhi ya wabunge kwa lengo la kumtibulia Kamata.
Mpango huo unadaiwa kuwahusisha wabunge wanawake wanne; watatu kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) na mmoja kutoka Chadema ambao awali waliapa kwamba ndoa ya mbunge mwenzao isingefungwa.
Kwa habari ziadi ingia http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-Sijavuruga-ndoa-ya-Vicky-Kamata-/-/1597296/2329926/-/qruiewz/-/index.html

Mdee amvuruga Tibaijuka


Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee akiwasilisha bajeti mbadala ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2014/15, bungeni Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi 
Na Fidelis Butahe na Sharon Sauwa, MwananchiDodoma. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka jana alijikuta katika wakati mgumu wakati alipokuwa waziri wa kwanza kuhusishwa na tuhuma za ufisadi wa kutumia vibaya madaraka yake na lawama lukuki kuhusu kasoro za kiutendaji katika wizara anayoiongoza.
Mawaziri wengine wamekuwa wakiwekwa kitimoto kutokana na tuhuma za utendaji mbovu na udhaifu kwenye wizara zao, lakini hali ilikuwa tofauti jana wakati Waziri Kivuli wa Ardhi, Halima Mdee aliposoma hotuba ya kurasa 77 ya upinzani kuhusu makadirio na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, huku kurasa 30 zikielekeza tuhuma kwa waziri huyo.
Miongoni mwa tuhuma zilizotolewa dhidi ya waziri huyo ni pamoja na kujinufaisha kupitia mgogoro wa ardhi katika eneo la Chasimba na kiwanda cha Saruji cha Wazo Hill jijini Dar es Salaam.
Mdee, ambaye pia ni mbunge wa Kawe, alimhusisha waziri huyo na ufisadi katika kazi ya utafiti uliofanywa na wataalamu wa masuala ya ardhi, uliogharimu Sh700 milioni. Tuhuma hizo zilimchanganya Waziri Tibaijuka kiasi kwamba wakati akitoa majibu alijikuta akitoka nje ya mada na kumshambulia Mdee, huku Spika Anne Makinda akimrudisha kila mara na kumtaka ajikite kwenye hoja na kuacha kushambulia wapinzani.
Waziri Tibaijuka pia alidai hotuba ya upinzani ilijaa uongo na kumtaka Spika Makinda kumchukulia hatua Mdee.
Akisoma maoni ya Kambi ya Upinzani bungeni jana, Mdee alisema utafiti huo ulikuwa na timu ya watu 140 kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo, sekta binafsi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Alisema waziri huyo anatuhumiwa kuingilia mchakato huo kwa kuingiza jamaa zake na taasisi ambazo ana uhusiano nazo kama sehemu ya kikosi kazi cha utafiti kwa jina la wataalamu washauri.
“Matokeo yake, Idara ya Uchumi ya UDSM ilitumika kama chambo huku kiasi kikubwa kikimrudia mwenyewe kwa mlango wa nyuma,” alisema Mdee.
“Ilifika hatua wataalamu walimsusia kazi waziri kutokana na kuwepo ujanja ujanja katika masuala ya fedha, hivyo kumlazimu waziri kujifungia na wasaidizi wake kukamilisha kazi iliyobaki.”
Kadhalika Mdee alimtuhumu Tibaijuka kwamba ana uhusiano na Taasisi ya Tanzania Women Land Access Trust (TAWLAT) ambayo ililipwa kiasi cha Sh300 milioni kutoka Manispaa ya Kinondoni kwa ajili ya kutoa elimu na kuendesha mazungumzo kwa diplomasia, kati ya viongozi na wananchi wa Chasimba kuhusu mgogoro wa ardhi.
“Licha ya kulipwa fedha hizo, TAWLAT haikufanya kazi yoyote ya uthamini katika eneo la Chasimba, badala yake aliyekuwa mkurugenzi wa upimaji, mthamini mkuu wa serikali pamoja na wataalamu wa wizara walikuja kuniomba niwatulize wananchi waliokuwa wanawarushia mawe kwa kuwa hawakuwa na imani na viongozi hao,” alisema Mdee.
Mdee, ambaye pia ni mbunge wa Kawe (Chadema), aliitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuichunguza TAWLAT kuhusu ushiriki wake aliosema una shaka katika kazi kadhaa za Wizara ya Ardhi.
Kwa habari zaidi ingiahttp://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Mdee-amvuruga-Tibaijuka/-/1597296/2329902/-/52j5exz/-/index.html