Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, October 3, 2013

82 wafariki wakijaribu kwenda Ulayafariki wakijaribu kwenda Ulaya

Maafisa katika kisiwa kikubwa cha Sicily katika bahari ya meditarenia wanasema kuwa wamepata maiti 82 baada ya meli iliyokuwa imewabeba takriban wahamiaji 500 wa kiafrika kushika moto na kuzama katika kisiwa cha Lampedusa.
Wahamiaji wakiokolewa kutoka baharini
Shughuli kubwa ya uokozi inaendelea kuwatafuta manusura.
Meya wa mji huo anasema kuwa walionusurika wako hatika hali ya mshutuko na walimwambia kuwa moto mdogo uliwashwa baada ya meli kukwama na lengo lilikuwa kuitisha msaada.
Lakini alisema kuwa moto ulisambaa kupita kiasi na ikawa vigumu kuudhibiti.
Kisiwa cha Lampedusa kiko kati ya Tunisia na Sicily na kimekuwa kiingilio kikuu cha wahamiaji kuingia barani Ulaya.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment